πΉπΉπΉMwaka 2025 naomba nikukaribishe in advance upambane nao...mie nimenyoosha mikono
Haya maneno unayatoaga wapi? Mbona huku duniani sijawahi yasikia ππ
Thatβs itπVizuri
Kikubwa kila siku tunaendelea kujifunza,hao ulioachana nao kwa namna mbaya unaweza kurekebisha yasitokee tena
nimejifunza kwamba kutumia mdomo vibaya ni kitu mbaya sana,Happy holidays people and long time...i missed you
Tukiwa tunaelekea kumalizia mwaka 2024 ni mambo gani umejifunza through out the year?
Binafsi mwaka huu nina mengi ya kusimulia kwa hawa the so called "MARAFIKI" nitaandika makubwa mawili tu ili kuokoa muda
KWANZA,nimejifunza kwamba urafiki na pesa haviendani...nikiwa namaanisha mwaka huu 2024 nimpoteza marafiki wengi sana sababu ya zile mambo za kupenda kuonea huruma rafiki akiwa na shida ya pesa matokeo yake mnaanza kusumbuana kwenye malipo
PILI, Usiruhusu rafiki yako awe na usemi wowote kuhusu mahusiano yako ya mapenzi...acha mahusiano yako yawe ya kwako tu,kama ukigombana na mpenzi wako fanya maamuzi bila kumshirikisha rafiki, Kiufupi rafiki yako hatakiwi hata kukutana na mpenzi wako
Niwatakie kila la heri kwa mwaka 2025, Mwenyezi Mungu akatusaidie tutimize kila tutakaloliomba...Amen!
Happy new year in advance,mie nawapenda kinyama!
Uzi tayari.
πππ Ile novena haingopi ukisali kwa kumaanisha jirani.!!Pole sana jirani,.
Huku kwetu watu walikua wanakufa kwa kufatana nyumba kwa nyumba,. Ajali mbaya sana jirani tunakufa mnooo
Tuishi tu kwakweli,.
Halafu niko na ushuhud aaisee,. Ile Novena ni moto wa kuotea mbali jiraniπ
nimejifunza kwamba kutumia mdomo vibaya ni kitu mbaya sana,
lakini pia nimejifunza kwamaba,
" mtaka yote kwa pupa hukosa yote"
Yeah nimeamini,. Nilianza na ile ya Masaa15 nilisali siku tatu mfululizo nikiwa nafunga tatu kavu,.πππ Ile novena haingopi ukisali kwa kumaanisha jirani.!!
Mi huu mwaka nimeupiga mwingi mpk natetemeka.!!
ππ Half american umeona shuhuda hizi za novena?Yeah nimeamini,. Nilianza na ile ya Masaa15 nilisali siku tatu mfululizo nikiwa nafunga tatu kavu,.
Yaani natamani hata kila mtu angekua anaijua π
Yaani Daah!! Kuna muda moyo unakataa unajikuta unatoa tu, roho ngumu nayo kipajiIli uwe tajiri, lazima uwe na roho ngumu, mbaya, usiwe na huruma, usitoe pesa kiboya.
Sisi tunaotoa tu hovyo, tutaishia hivi hivi.
Nimejifunza kuwa TAL ni muongo!Happy holidays people and long time...i missed you
Tukiwa tunaelekea kumalizia mwaka 2024 ni mambo gani umejifunza through out the year?
Binafsi mwaka huu nina mengi ya kusimulia kwa hawa the so called "MARAFIKI" nitaandika makubwa mawili tu ili kuokoa muda
KWANZA,nimejifunza kwamba urafiki na pesa haviendani...nikiwa namaanisha mwaka huu 2024 nimpoteza marafiki wengi sana sababu ya zile mambo za kupenda kuonea huruma rafiki akiwa na shida ya pesa matokeo yake mnaanza kusumbuana kwenye malipo
PILI, Usiruhusu rafiki yako awe na usemi wowote kuhusu mahusiano yako ya mapenzi...acha mahusiano yako yawe ya kwako tu,kama ukigombana na mpenzi wako fanya maamuzi bila kumshirikisha rafiki, Kiufupi rafiki yako hatakiwi hata kukutana na mpenzi wako
Niwatakie kila la heri kwa mwaka 2025, Mwenyezi Mungu akatusaidie tutimize kila tutakaloliomba...Amen!
Happy new year in advance,mie nawapenda kinyama!
Uzi tayari.
Hili lipewe kipaumbele, pia marafiki tushirikiane hata kimawazo ya kutafuta na kuongeza kipato, sio tunakumbukana kwenye kutumia tuYesssssir!
Mtu akiwa na shida ya mkopo ashauriwe akakope bank ili kulinda urafiki