Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Nakazia, Kubet ni Ajira📌🔨-Daaah maisha haya kuwanyenyekevu sana
-Kingine ishi maisha haya haya
-Kama kijana acha kuwa na mwanamke wako mmoja ambaye mnapendana... Acha kuruka ruka
-Kubet ni ajira
-vijana mtaji wetu ni afya play safe
Usiwe kwenye mahusiano na mtu aliyekuzidi shida🤣🤣Money speaks only one language "If you save me today, I will save you tomorrow".
Usiwe kwenye mahusiano na mtu aliyekuzidi shida.
Enjoy maisha kadri uwezavyo.
Kwa kweli nimefaidika mno na PULI. Najuta Kuchelewa kujua faida ya kuchukua sheria mkononi.Wazee wa sheria mkononi mna kitu,mtafika mbali
Amen Jo wanguAmeen🙏
2025 ubarikiwe pia
NaaamMkuu 😂
Yaani kweli mkuu...Mafanikio ndo kisasi cha kweli. Kama hautofanikiwa kwenye maisha, basi hata maadui, maex hata wanaokudharau watazidi kuonekana walikuwa sahihi.
Tunafanywa tupoteze muda wetu na pesa zetu kwenye mambo yasiyo muhimu sana kama mitandao ya jamii ili kutajirisha makampuni makubwa.Nimeelewa kote isipokuwa hapo nilipobold
Ujumbe mzuri mshamba_hachekwi
Nilikua nasubri useme usiwe na mahusiano na aliyekuzidi umri...Money speaks only one language "If you save me today, I will save you tomorrow".
Usiwe kwenye mahusiano na mtu aliyekuzidi shida.
Enjoy maisha kadri uwezavyo.
Ni mikosi kama mikosi mingine aiseeUsiwe kwenye mahusiano na mtu alihekuzidi shida🤣🤣
Mimi ninakupenda ila Nina tabia ya kutokutunza siriHappy holidays people and long time...i missed you
Tukiwa tunaelekea kumalizia mwaka 2024 ni mambo gani umejifunza through out the year?
Binafsi mwaka huu nina mengi ya kusimulia kwa hawa the so called "MARAFIKI" nitaandika makubwa mawili tu ili kuokoa muda
KWANZA,nimejifunza kwamba urafiki na pesa haviendani...nikiwa namaanisha mwaka huu 2024 nimpoteza marafiki wengi sana sababu ya zile mambo za kupenda kuonea huruma rafiki akiwa na shida ya pesa matokeo yake mnaanza kusumbuana kwenye malipo
PILI, Usiruhusu rafiki yako awe na usemi wowote kuhusu mahusiano yako ya mapenzi...acha mahusiano yako yawe ya kwako tu,kama ukigombana na mpenzi wako fanya maamuzi bila kumshirikisha rafiki, Kiufupi rafiki yako hatakiwi hata kukutana na mpenzi wako
Niwatakie kila la heri kwa mwaka 2025, Mwenyezi Mungu akatusaidie tutimize kila tutakaloliomba...Amen!
Happy new year in advance,mie nawapenda kinyama!
Uzi tayari.
Fact!!Tunafanywa tupoteze muda wetu na pesa zetu kwenye mambo yasiyo muhimu sana kama mitandao ya jamii ili kutajirisha makampuni makubwa.
Mwisho wa siku watu wanakuwa watumiaji tu; social media addicts, walevi, wacheza kamari lakini maisha yao hayana muelekeo
Hebu fanya tufanye kama ndo nimesema sasa, haya shusha hayo maneno yatapata wenyewe tu😂😂Nilikua nasubri useme usiwe na mahusiano na aliyekuzidi umri...
Aaaaagh ningekupa maneno mazito mazto adi ningepigwa bani mkuu