Mambo gani umejifunza 2024?

Jamaa upo smart sana...
 
Mkuu ujafukia mate yako
 
Blaza mifano gani hiyo..
Hivo nikitaka kuwa rubani nishindw na marubani seriously 😳 😳 😳 😳
 
Tatu kavu inakuaje.....

Mbona nilienda 15hrs saa mbili natetemeka 🥺
Huna imani wewe😂😂😂,.

Unafunga siku tatu mfululizo,. Ila mama angu alinambia kama huwezi kuvumilia unaweza ukawa unakunywa maji ule mda wa kufuturu jioni lakini usile kitu kingine chochote zaidi ya maji mpaka siku tatu zikamilike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…