Mambo gani umejifunza 2024?

Mambo gani umejifunza 2024?

1
Hakuna rafiki wa kudumu chini ya Mbingu
2.Usujaribu kudhania kuwa flani atakusaidia ,wanakula mezani kwako siku ya shida watakaa mbali nawe
3.Mungu tuu ndiye mwenye urafiki wa kudumu na mtu.
4.usimwamini mwanamke wako asilimia mia.
 
Nmejifunzaa n rahisi kuach sigara kuliko pombe...especially ukiwa kwenye ndoaa...kuna namna pombe inasaidiaa kulala usku..ilaa piaan nmejifunzaa piaa inaezekana kuacha kushabikia mamipiraa kihivyo..watu wako kumake money with our stupidty..kwenye siasaa ndo nmeumia TL ndo yko vile..naaachaa kufatilia sias kbs
 
Happy holidays people and long time...i missed you

Tukiwa tunaelekea kumalizia mwaka 2024 ni mambo gani umejifunza through out the year?

Binafsi mwaka huu nina mengi ya kusimulia kwa hawa the so called "MARAFIKI" nitaandika makubwa mawili tu ili kuokoa muda

KWANZA,nimejifunza kwamba urafiki na pesa haviendani...nikiwa namaanisha mwaka huu 2024 nimepoteza marafiki wengi sana sababu ya zile mambo za kupenda kuonea huruma rafiki akiwa na shida ya pesa matokeo yake mnaanza kusumbuana kwenye malipo

PILI, Usiruhusu rafiki yako awe na usemi wowote kuhusu mahusiano yako ya mapenzi...acha mahusiano yako yawe ya kwako tu,kama ukigombana na mpenzi wako fanya maamuzi bila kumshirikisha rafiki, Kiufupi rafiki yako hatakiwi hata kukutana na mpenzi wako

Niwatakie kila la heri kwa mwaka 2025, Mwenyezi Mungu akatusaidie tutimize kila tutakaloliomba...Amen!

Happy new year in advance,mie nawapenda kinyama!

Uzi tayari.View attachment 3195491
Hahaha
 
Back
Top Bottom