Mambo gani umeyafanya au kuyapitia maishani mwako ambayo hutamani mwanao/mtu mwingine kuyapitia?

Mambo gani umeyafanya au kuyapitia maishani mwako ambayo hutamani mwanao/mtu mwingine kuyapitia?

Sitaki mwanangu awe polisi kwani walishanifanyia vitendo vibaya tena mbele ya watoto wangu,nilipigwa vibao mbele yao wakawa wanalia,nilijikakamua na kuleta noma ambayo hao PT hawatasahau maishani mwao kwani si mwenye jicho, jino,uso kilichotoka salama,ilinigharamu sana baada ya hapo but nilirudisha heshima kwa wanangu.Toka siku hiyo niliwaambia siku niko hai au nimekufa nikisikia mmojawenu amekuwa polisi namlaani.Sumu ambayo nimewalisha sidhan kuna mwanangu anaweza kuwa PT
NYINGINE :Sitaki wanangu wanywe pombe hata kwa kuonja hili ni somo ambalo nawambia kila nikiwa nao,mie bado nakunywa na wameshuhudia madhara ya pombe kupitia kwangu,sidhani km wanaweza kunywa maishani mwao,pombe imenipotezea kazi za maana kama mara 3 nikawa takakata,nina kazi sasa naitunza km yai wanangu wameona ni jinsi kipindi cha pombe kupita kiasi kilivokuwa na kipindi cha sasa pombe za wastani kilivo
[emoji848]
 
Ni kwamba hakuna faida yoyote anayoipata kijana mdogo kulala na mwanamke anayeweza kumzaa.
Kwa kipindi kifupi unaweza kufurahia lakini majuto yake hayaishi.
Mbaya zaidi ni Uraibu mkubwa.
Hii tabia ni ngumu kuacha.

Kuna mambo unaweza kuyafanya ukiwa kijana mdogo na ukajiona uko sahihi sana,lakini unapopevuka unagundua kuwa ulifanya makosa makubwa.
Na inakuwa too late to correct,hayo majuto ndio mimi siyataki.
Sio kukuelewa tu mkuu ni zaidi ya kukuelewa , lakini majuto yake hua makubwa mnoo.

Hii kitu inanisumbua kwa miaka mingi hadi leo hii
 
M
Sio kukuelewa tu mkuu ni zaidi ya kukuelewa , lakini majuto yake hua makubwa mnoo.hii kitu inanisumbua kwa miaka mingi hadi leo hii
Mkuu hapo yaani bado sijaelewa ni kuwa ukishatembea na wanawake wakubwa kiumri unakuwa huna tena feelings na mabinti wa age yako ama vp?
 
Growing up without a Mom. I always pray that nitawalea watoto wangu wakue na kupata akili za kujisimamia wenyewe. I dont know how to put that better.

I am a doting Mom, I miss my own Mom and I hope am half the woman she was.
to yeye njoo unitafsirie hapa,ngoja nikae kabisa hapa kwenye hiki kitofali.
 
Nimefikiria sana ila sijaona kitu ambacho ni kibaya na nimekifanya na sipendi wanangu wasije kukifanya,
Ila maisha yanabadilika kwa kasi sana na kila zama na kitabu chake,wanangu watachagua wenyewe aina ya maisha watakayo taka kuyaishi kutokana kwa muda huo wa maisha yao,

Namuomba Mungu tu awasimamie wapendane,wajiheshimu na kuheshimu watu,pia wampende Mungu,Discipline, attitude,trust..iwe silaha yao kubwa na kumtanguliza Mungu kwenye kila jambo lao.
 
M

Mkuu hapo yaani bado sijaelewa ni kuwa ukishatembea na wanawake wakubwa kiumri unakuwa huna tena feelings na mabinti wa age yako ama vp?

Ndio maana yake.
Huwezi kuwa na feelings za kutosha.
Huwezi kutoshelezwa kihisia na kingono na kabinti kama umezoea kuwazini hao kinamama.
Hawana tena cha kuogopa,kila kitu ameshafanya!
Kingine Ngono ina muunganiko wa kiroho,Mwanamke mwenye 55 yrs obviously amengonoka na kila design ya mikwaju.
Wamejaa nuksi tu na mikosi.
 
Ahlan wa sahlan

Ukiwa kama mwanadamu lazima kuna mambo mabaya umeyapitia katika maisha yako ambayo hutamani mwanadamu mwingine (mwanao,ndugu n.k) aje kuyajua na kuyapitia.

Binafsi sitapenda mtu yeyote hususani wanangu aje kujua kuhusu Kamari (kubeti).

Why? Ni ulevi ambao mtu akishauonja ni ngumu sana kuuacha.

Je wewe ni mambo gani hutapenda mwanao au ndugu yako ayapitie maishani mwake?

Karibu
Pombe
 
Mi kwangu hakuna jambo nimepitia na mwanangu sitaki apitie.

Mimi ni mwanaume nakula mbususu, nikisema eti asile mbususu ataliwa yeye sasa. Kama ni domo zege basi apige hata malaya wanaojiuza apunguze genye asijebaka wadogo zake na mifugo. Labda awe ni wa kike ila na yeye inabidi aliwe asipoliwa atakua chizi. Ila tu wawe na akili ya baba yao wale/kuliwa kwa akili mingi na timing za hali ya juu sio kimasihara tu.

Nakula gambe, nikisema asile gambe kiukweli kabisa ntakua namnyima uhuru coz pombe ni nzuri sana kwa afya ya mwili na akili.

In short sina tabia mbaya ambazo mwanangu sitaki azirithi toka kwangu.
 
Ndio maana yake.
Huwezi kuwa na feelings za kutosha.
Huwezi kutoshelezwa kihisia na kingono na kabinti kama umezoea kuwazini hao kinamama.
Hawana tena cha kuogopa,kila kitu ameshafanya!
Kingine Ngono ina muunganiko wa kiroho,Mwanamke mwenye 55 yrs obviously amengonoka na kila design ya mikwaju.
Wamejaa nuksi tu na mikosi.
I like mom's b'se are matured
 
Yote ninayopitia mm sitaki aje ajipitie na yeye siku moja.

Kutoamin juu ya kile anachokipenda na kufata kile wengne wanacho kitaka.
Kuamin sana kwenye mapenzi
Kumlea kwa kuopogesha ogopesha kwa vipigo au kauli za ukali.
Nk
 
Back
Top Bottom