Mambo haya hutafunzwa shuleni katu........

Mambo haya hutafunzwa shuleni katu........

Hahahaha nakumbuka piah. Lakin kuna tofauti ya kuwepo na kufundishwa.

Bhas nipe report hiyo migogoro kwenye jamii yako meisha mkuu?????
Mitaala ya kizungu ,haiwezi tatua matatizo ya jamii za ki Africa.shortly ni complicated to our environment.Maisha yetu yapo zigzag thus why uki apply formula yanagoma ,zaidi utaongeza migogoro
 
Mitaala ya kizungu ,haiwezi tatua matatizo ya jamii za ki Africa.shortly ni complicated to our environment.Maisha yetu yapo zigzag thus why uki apply formula yanagoma ,zaidi utaongeza migogoro
Nashukuru, hili ndilo jawabu. Na ndiomana tunajaribu kuandika vitu ili watu wakumbuke hayo!!
 
Umeandika mambo ya msingi sana sana mkuu..Helpful indeed.
 
KITU NINACHOSHUKURU NI KUWA; Hakuna shule ya kufundisha maisha hapo ndipo hata akija Psychologist, Psyrosopher au ndugu yake hawezi kutoa elimu ya maisha.

Ni kama NDOA huwezi pata elimu yake popote na ndiyo maana mnapewa cheti mapema ili mkajifunze mbele ya safari.
 
Nimekupata mkuu kwa kuwa mawasiliano umeweka kila kitu kipo sawa.
KITU NINACHOSHUKURU NI KUWA; Hakuna shule ya kufundisha maisha hapo ndipo hata akija Psychologist, Psyrosopher au ndugu yake hawezi kutoa elimu ya maisha.

Ni kama NDOA huwezi pata elimu yake popote na ndiyo maana mnapewa cheti mapema ili mkajifunze mbele ya safari.
Hakuna anaeweza kukufunza nikweli, ila sio masomo yote dunian yapo ili ujifunze mengine yapo kutia nguvu na kukufanya wakati wa kufanya maamuzi unakuwa na rejea.
 
Back
Top Bottom