KijanaHuru
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,822
- 2,320
Hongera sana ndugu! kwa hatua uliyoifikia,
Nakupa pongezi kubwa sana, ila pia nina ushauri kwako,
Kwa ambao huwa wanasoma vitabu kwa hayo uliyoyaandika hapo juu nikwamba tumesoma tayari kitabu kizima,
Bado hatujakutana na wazo jipya, hata kama hakuna mawazo mapya basi sijapata ushawishi sababu naona mbona sina kipya cha kujifunza?
Ushauri wangu tumia lugha zaidi ya uandishi kuliko lugha ya maelezo,
Hata kama nikiwa na majibu yakwamba yai litachemsha ila bado nahitaji kujiuliza litachemshwaje? hii ndio point yangu
Zingatia lugha ya uandishi zaidi ongeza na sanaa yako basi utafanya makubwa zaidi, ila hongera sana kwa ulilolifanya
Nakupa pongezi kubwa sana, ila pia nina ushauri kwako,
Kwa ambao huwa wanasoma vitabu kwa hayo uliyoyaandika hapo juu nikwamba tumesoma tayari kitabu kizima,
Bado hatujakutana na wazo jipya, hata kama hakuna mawazo mapya basi sijapata ushawishi sababu naona mbona sina kipya cha kujifunza?
Ushauri wangu tumia lugha zaidi ya uandishi kuliko lugha ya maelezo,
Hata kama nikiwa na majibu yakwamba yai litachemsha ila bado nahitaji kujiuliza litachemshwaje? hii ndio point yangu
Zingatia lugha ya uandishi zaidi ongeza na sanaa yako basi utafanya makubwa zaidi, ila hongera sana kwa ulilolifanya