a45
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 1,389
- 1,485
Ha ha ha ha ha wenzetu wanasom sisi tupo busy kuruka ukuta na kukaa chooni hapa tunapita kama hatupaoni
Wale wenzangu na mimi tulikua tunabeba mahindi ya kuchoma na maandazi kwenye mabegi ya shule mnaonaje hii mada? Naomba muwasalimie hapo wizara ya chakula