Mambo Huangamia cha Chinua Achebe

Mambo Huangamia cha Chinua Achebe

kuna majamaa walipiga msuli kama miez 10 lakini wapi Msuli tembo.matokeo sisimizi.

Yaani kama sio Literature now ningekuwa Advance pale Airwing High School maeneo ya Ukonga au Jitegemee JKT High School
Dah na kweli asee...mi nilipata B asee nililia siku tatu sikuamini coz wengi walizungusha na mswaki kwenye group langu!.....ila nilikuwa nakaza msuli kinoma!
 
Mimi nilicheka pale wakati wanatafuta chumba Gonza sijui Chioko alipofika nyumba ya kwanza akaulizwa je umeoa?
Akasema hapana.
akaaambiwa kama haujaoa humu hautakiwi kukaa coz wengi humu wameoa utasumbua wanawake wa wenzako.



Akaenda nyumba ya 2 akaulizwa umeoa akasema ndio akulizwa mke wako anafanya kazi gan akasema ni sekretari akaambiwa wanaofanya kaz maofisin wanajishaua sana na wana dharau kwahiyo hapa hatuwatak


Akaenda nyumba ya 3 akaulizwa una kula kitimoto akawema hapana akaambiwa basi sisi humu wote tunakula kitimoto usije ukajisikia vibaya bure


Akaenda nyumba ya 4 akaulizwa unakula kitimoto akasema ndio akaambiwa humu ndan wote ni waislamu hatutak mtu ale kitimoto
ahaha jamaa walikula tabu kweli ndo wakaenda kuishi kwenye kinyumba cha mbavu za mbwa huko manzese.
 
Kinavyaanza ni kwamba kuna watalii walikuwa nchi ya Cameroon sasa walikuwa wanaelekea nchi ya Guinea walipokarikia kijiji filan wakasikia ngoma inapigwa si unajua tena la mgambo likilia kuna jambo?
Walipoenda pale ilikuwa ni jioni baada ya kupata chakula walichopewa na wenyeji wakaenda eneo lililokuwa linapigwa ngoma wakamkuta kijana amezungukwa na watu amechoka balaa na yupo katika hali ya kukata roho anawapa mfupo(begi) kisha akakata roho.
Baada ya mazishi yaliyofanyika usiku huohuo wakagundua ndani ya ule mkoba kuna vitabu viwili ambavyo marehemu alikuwa anaandika kama DIARY yake ya mambo yoye yaliyowahi kumkuta.
Wale wazungu wakaanza kukisoma hapo ndio story imapoanza
Good,huyo dogo ndiye Toundi?
 
Nakumbuka baada ya kukisoma kitabu tulionyeshwa movie yake tukiwa form 3, ilikuwa tamu balaa.

Hivi kwanini Nigeria, Kenya, Ghana, Uganda na South Africa zinatoa waandishi wengi wazuri wa literature kwa lugha ya kiingereza kuliko Tanzania na nchi nyingine za Afrika?
 
"If i hold her hand she says don't touch,if i hold her foot she says don't touch,but when i hold her waist-beads she pretends not to know"
This is from Okot P'Bitek and not Chinua Achebe, I stand to be corrected!
 
"A man brags his own penis even if it is small" haka kamsemo alikasema mzee Unoka nadhan

Hadi nimemkumbuka ticha wetu wa literature Bw. Mnaya mitaa ya Usangi pale
Kibamia ni shida!!!!
 
[emoji22] [emoji22] [emoji22] .....kwenye hicho kisegment niliangua kilio asee!

Mwanamke wa kijiji cha okonkwo ndo aliuliwa na mtu wa kijiji cha akina Ikemefuna....Okonkwo ndo akatumwa kwenda kulipiza kisasi, dogo kamleta na wanaishi home fresh badae eti unamkata panga[emoji15] [emoji22]

Unakumbuka wale mapacha waliouliwa eti wana Bad chi mara Tufyakwa?....waigbo hadi sasa hivi ni wana mila za kishenzi hakuna mfano
jamaa walikuwa wanafanya ujinga sana.
Walikuwa na msitu wao ambao walikuwa wanatupa uko mapacha na Albino na kulikuwa wamejaa mizimu wengi ukiingia lazima ufe,sasa walipokuja wamisionari wakaomba sehemu ya kujenga kanisa wazee wa kijiji wakawapa ile sehemu ya msitu wakiamini jamaa watakufa hapohapo maana yale ni makazi ya mizimu.
Wamisionari wakafyeka na kujenga kanisa wiki ikapita,mwezi ukapita hadi mwaka hakuna mmisionari aliyekufa,wanakijiji wakaona miungu yao ni chamtoto mbele ya Mungu wa wamisionari wakaanza kujiunga church.
 
"A man brags his own penis even if it is small" haka kamsemo alikasema mzee Unoka nadhan

Hadi nimemkumbuka ticha wetu wa literature Bw. Mnaya mitaa ya Usangi pale
Huyo ni Ngugi wa Thiong'o kwenye I WILL MARRY WHEN I WANT.
 
Nakumbuka baada ya kukisoma kitabu tulionyeshwa movie yake tukiwa form 3, ilikuwa tamu balaa.

Hivi kwanini Nigeria, Kenya, Ghana, Uganda na South Africa zinatoa waandishi wengi wazuri wa literature kwa lugha ya kiingereza kuliko Tanzania na nchi nyingine za Afrika?
Mbona na sisi tunao wazuri tu kama Emmanuel Mbogo,Kehizilahabi,Mbunda Msokile,Shaban Robert,Shafi A Shafi na wengine wengi.
Sema hawa wa nchi nyingine hasa za magharibi wamepata exposure kimataifa na wanatumia lugha ya kimataifa-english.
Binafsi naona wamebarikiwa kwenye masuala ya sanaa ndiyo maana hata movie zao huwezi kuzilinganisha na zetu.
 
Back
Top Bottom