Tayari kiko mikononi labda nikikoseAsikwambie mtu
viroba umepata wapi usiku huu?
Dah na kweli asee...mi nilipata B asee nililia siku tatu sikuamini coz wengi walizungusha na mswaki kwenye group langu!.....ila nilikuwa nakaza msuli kinoma!kuna majamaa walipiga msuli kama miez 10 lakini wapi Msuli tembo.matokeo sisimizi.
Yaani kama sio Literature now ningekuwa Advance pale Airwing High School maeneo ya Ukonga au Jitegemee JKT High School
LanguageLiterature au Language?
Yes kule sio kugumu hata....literature ni noma kutegua mitego japo inaonyesha rahisi ukiwa unaisomamimi ningepiga A aisee
hamna mzee, vipi kipo vizuri?Ulishawahi kukisoma THE CONCUBINE akichoandika ALECHI AMADI?
ahaha jamaa walikula tabu kweli ndo wakaenda kuishi kwenye kinyumba cha mbavu za mbwa huko manzese.Mimi nilicheka pale wakati wanatafuta chumba Gonza sijui Chioko alipofika nyumba ya kwanza akaulizwa je umeoa?
Akasema hapana.
akaaambiwa kama haujaoa humu hautakiwi kukaa coz wengi humu wameoa utasumbua wanawake wa wenzako.
Akaenda nyumba ya 2 akaulizwa umeoa akasema ndio akulizwa mke wako anafanya kazi gan akasema ni sekretari akaambiwa wanaofanya kaz maofisin wanajishaua sana na wana dharau kwahiyo hapa hatuwatak
Akaenda nyumba ya 3 akaulizwa una kula kitimoto akawema hapana akaambiwa basi sisi humu wote tunakula kitimoto usije ukajisikia vibaya bure
Akaenda nyumba ya 4 akaulizwa unakula kitimoto akasema ndio akaambiwa humu ndan wote ni waislamu hatutak mtu ale kitimoto
Good,huyo dogo ndiye Toundi?Kinavyaanza ni kwamba kuna watalii walikuwa nchi ya Cameroon sasa walikuwa wanaelekea nchi ya Guinea walipokarikia kijiji filan wakasikia ngoma inapigwa si unajua tena la mgambo likilia kuna jambo?
Walipoenda pale ilikuwa ni jioni baada ya kupata chakula walichopewa na wenyeji wakaenda eneo lililokuwa linapigwa ngoma wakamkuta kijana amezungukwa na watu amechoka balaa na yupo katika hali ya kukata roho anawapa mfupo(begi) kisha akakata roho.
Baada ya mazishi yaliyofanyika usiku huohuo wakagundua ndani ya ule mkoba kuna vitabu viwili ambavyo marehemu alikuwa anaandika kama DIARY yake ya mambo yoye yaliyowahi kumkuta.
Wale wazungu wakaanza kukisoma hapo ndio story imapoanza
Jamaa alikuwa na misifa balaa na kijiji chote kilikuwa kinamuogopa tangu akiwa chalii.Okonkwo kupeleka kichwa cha binadamu home alikuwa anavimba kichwa balaa[emoji23] [emoji23]
This is from Okot P'Bitek and not Chinua Achebe, I stand to be corrected!"If i hold her hand she says don't touch,if i hold her foot she says don't touch,but when i hold her waist-beads she pretends not to know"
Kibamia ni shida!!!!"A man brags his own penis even if it is small" haka kamsemo alikasema mzee Unoka nadhan
Hadi nimemkumbuka ticha wetu wa literature Bw. Mnaya mitaa ya Usangi pale
Langston HughesBalad of the land lord
jamaa walikuwa wanafanya ujinga sana.[emoji22] [emoji22] [emoji22] .....kwenye hicho kisegment niliangua kilio asee!
Mwanamke wa kijiji cha okonkwo ndo aliuliwa na mtu wa kijiji cha akina Ikemefuna....Okonkwo ndo akatumwa kwenda kulipiza kisasi, dogo kamleta na wanaishi home fresh badae eti unamkata panga[emoji15] [emoji22]
Unakumbuka wale mapacha waliouliwa eti wana Bad chi mara Tufyakwa?....waigbo hadi sasa hivi ni wana mila za kishenzi hakuna mfano
But he never killed even a rat using his gun!!The lad, Ikemefuna, his death...okonkwo was real cruel torture man!
Huyo ni Ngugi wa Thiong'o kwenye I WILL MARRY WHEN I WANT."A man brags his own penis even if it is small" haka kamsemo alikasema mzee Unoka nadhan
Hadi nimemkumbuka ticha wetu wa literature Bw. Mnaya mitaa ya Usangi pale
Mbona na sisi tunao wazuri tu kama Emmanuel Mbogo,Kehizilahabi,Mbunda Msokile,Shaban Robert,Shafi A Shafi na wengine wengi.Nakumbuka baada ya kukisoma kitabu tulionyeshwa movie yake tukiwa form 3, ilikuwa tamu balaa.
Hivi kwanini Nigeria, Kenya, Ghana, Uganda na South Africa zinatoa waandishi wengi wazuri wa literature kwa lugha ya kiingereza kuliko Tanzania na nchi nyingine za Afrika?
it is the old saying copied by both authors.This is from Okot P'Bitek and not Chinua Achebe, I stand to be corrected!
huyu jamaa namkubali sana, umesoma poem yake ya THE NEGRO SPEAKS OF RIVERS?Langston Hughes