Yummy kwa hapo sina la kuongeza wala sina la kusemaKwanza kabisa naomba nitumie fursa hii kukushukuru kaka MziziMkavu, pili naomba nijitupie misifa kwani haya yooote uliyoelezea namfanyia Mr Rocky na ndo maana hafukuti si eti bebiii eee??we wala ukiwaona wenye mishepu huwa damu haichemki.....lol
Ni zaidi ya utaalam ulio nao na ndo maana sihangaiki wala kuhangaishwa
nakukubali kama ulivyo na mambo yako hayana mfanowe
Last edited by a moderator: