Mambo kama haya yanamtafsiri Rais Samia kuwa kiongozi wa gani?

Mambo kama haya yanamtafsiri Rais Samia kuwa kiongozi wa gani?

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
JE, RAIS SAMIA NI DIKTETA?
1. Kwanini hakemei viongozi wake wanaotoa vitisho dhidi ya watu wanaotoa maoni yao kuhusu mkataba tata wa bandari?

2. Kwanini serikali yake iliuficha mkataba huu mpaka ulipo vujishwa na mtu mtandaoni ndipo ukapelekwa bungeni?

3. Kwanini ametoa kauli kuwa ameziba masikio yaani anamaanisha kuwa hataki kusikia maoni ya wananchi wake kinyume na matakwa ya demokrasia?

4. Kwanini watumishi wa umma wanatishuwa huko maofisini kujiepusha na mjadala wa bandari kwa hoja kuwa wanapaswa kuwa upande wa serikali iliyo waajiri?

Haya mambo si yanafanywa na madikteta?
 
Mwache mama atukande yule kiumbe alituumiza sana
 
Naomba nimtaarifu waziri mkuu kuwa hata Dp world akipewa mda sawa na mwekezaji aliyekuwepo sisi hatupo tayari ila tutakuwa tayari kuona vifungu vyenye mashaka vikirekebishwa! nakujuwa nchi yetu itanufaikaje na uwekezaji huo, , hatuhitaji maneno ya jumlajumla kama anavyosema , mara meli zitakaa mda mfupi bandarini mara trion 26 kwa mwaka , mara wafanyakazi 70, 000 wataajiriwa kutoka vifungu gani kwenye mkataba , maneno ya jumlajumla hayawezi yakafanya mjadala wa bandari ukapoa ni bora mrekebishe hivo vifungu kuliko kutangaza faida za jumlajumla ambazo hazionekani kwenye mkataba.

Bandari na raslimali za nchi siyo ya viongozi wa serikari mmepewa kusimamia tu na wananchi kwa hiyo lia!uliwe kwa mapana kelele ni nyingi na watu wanauelewa.
 
Bora Tanganyika itawaliwe na dikteta mtanganyika kuliko na dikteta mzanzibari, Samia hatumtaki
 
Naomba nimtaarifu waziri mkuu kuwa hata Dp world akipewa mda sawa na mwekezaji aliyekuwepo sisi hatupo tayari ila tutakuwa tayari kuona vifungu vyenye mashaka vikirekebishwa! nakujuwa nchi yetu itanufaikaje na uwekezaji huo, , hatuhitaji maneno ya jumlajumla kama anavyosema , mara meli zitakaa mda mfupi bandarini mara trion 26 kwa mwaka , mara wafanyakazi 70, 000 wataajiriwa kutoka vifungu gani kwenye mkataba , maneno ya jumlajumla hayawezi yakafanya mjadala wa bandari ukapoa ni bora mrekebishe hivo vifungu kuliko kutangaza faida za jumlajumla ambazo hazionekani kwenye mkataba.

Bandari na raslimali za nchi siyo ya viongozi wa serikari mmepewa kusimamia tu na wananchi kwa hiyo lia!uliwe kwa mapana kelele ni nyingi na watu wanauelewa.
Na shida iko hapo kwenye usimamizi wanajiona ni maliasili ni mali zao sie hatuna sababu ya kuhoji.
 
JE RAIS SAMIA NI DIKTETA?​
1. Kwanini hakemei viongozi wake wanaotoa vitisho dhidi ya watu wanaotoa maoni yao kuhusu mkataba tata wa bandari?

2. Kwanini serikali yake iliuficha mkataba huu mpaka ulipo vujishwa na mtu mtandaoni ndipo ukapelekwa bungeni?

3. Kwanini ametoa kauli kuwa ameziba masikio yaani anamaanisha kuwa hataki kusikia maoni ya wananchi wake kinyume na matakwa ya demokrasia?

4. Kwanini watumishi wa umma wanatishuwa huko maofisini kujiepusha na mjadala wa bandari kwa hoja kuwa wanapaswa kuwa upande wa serikali iliyo waajiri?

Haya mambo si yanafanywa na ma dikteta?
Watu walipoanza kumimina sifa za kuupiga mwingi walisahau kuwa kuna nyakati mpira unatoka nje, kuotea kwa mchezaji, kukosa mkwaju wa penati, ama mchezaji kutokuwa "fit" na kucheza chini ya kiwango.

Hili la mkataba wa DPW linaendana na mchezaji kukosa mkwaju wa penati, ama kutokuwa "fit" na hatimaye kucheza chini ya kiwango.
 
Back
Top Bottom