Mambo Kumi Marufuku kwa Wanaume!

Mambo Kumi Marufuku kwa Wanaume!

Hiyo namba 7 haijakaa sawa ila mengine yote "NDIYOOOOOOOO"
Anza kujenga kwenu kwa wazazi wako hatimae kwa wakwe,sio kosa kujenga ukweni
 
Hayo yote yanawapata kwa kuwa mnaangalia sana seating allowance na uzuri balada ya smart brain, na bado kudadadadeeeeeki.
 
1. Kusomesha mchumba

2. Kujenga nyumba kwenye kiwanja cha mwanamke/mke wako.

3. Kuweka jina la mwanamke/mke wako kwenye umiliki wa mali.

4. Kutunza fedha kwenye akaunti ya mwanamke/mke wako.

5. Kumwamini mwanamke/mke wako kwa 100% (mwamini kwa mama yako tu kwa kiwango hicho au zaidi)

6. Kumwita mke wako mama.

7. Kujenga ukweni (jenga kwa wazazi wako)

8. Kupuuza neno lolote lenye welekeo wa dharau, kejeli, au kubezwa na mwanamke/mke wako.

9. Kutegemea mapenzi kutoka kwa mwanamke/mke wako sawa sawa na unavyotamani/unavyotaka iwe.

10. Kulipa mahali kubwa na kufanya sherehe kubwa ya ndoa yako.


Bazazi!
Labda kwa wanawake wa zamani Ila si hawa wa karne hii ambao wanajitegemea kiuchumi. Yaani mm nisubiri kuwekwa jina kwenye kiwanja...so fun.
 
Umesema vema...mengine inakuwa ni akili ya kifukara.
Pata pesa mingi hayo mengine utafanya Tu automatically niligundua kuwa wanaume tusipokuwa na hela tunatafuta sana sababu za kufarijiana na kutiana moyo Mara hakuna kuhonga,Mara Hakuna kufanya sherehe kubwa kwenye harusi n.k ila hela zikikutembelea bhana naona watu wenyewe wanafanya waliyosema hawatafanya
 
1. Kusomesha mchumba

2. Kujenga nyumba kwenye kiwanja cha mwanamke/mke wako.

3. Kuweka jina la mwanamke/mke wako kwenye umiliki wa mali.

4. Kutunza fedha kwenye akaunti ya mwanamke/mke wako.

5. Kumwamini mwanamke/mke wako kwa 100% (mwamini kwa mama yako tu kwa kiwango hicho au zaidi)

6. Kumwita mke wako mama.

7. Kujenga ukweni (jenga kwa wazazi wako)

8. Kupuuza neno lolote lenye welekeo wa dharau, kejeli, au kubezwa na mwanamke/mke wako.

9. Kutegemea mapenzi kutoka kwa mwanamke/mke wako sawa sawa na unavyotamani/unavyotaka iwe.

10. Kulipa mahali kubwa na kufanya sherehe kubwa ya ndoa yako.


Bazazi!
no 6
 
Ninavyopenda kuitwa mama mimi [emoji847][emoji847] na baby daddy ananitendea haki kabisa acha aniite tu hakuna namna
 
Umesahau pia mwanaume Kwenda kuishi ukweni ni malufuku kabisa
 
Usimuamini mkeo unataka umuamini nani?
Mali zako usiweke jina lake unataka uweke nani?

Wewe ni mjinga na inaonesha Mama yako kafanyiwa hivyo.
Wanawake nao ni binadamu

Kwenye kutosomesha kwa ahadi ya ndoa sawa ila kama wasomesha kama msaada ni sawa kabisa
 
1. Kusomesha mchumba

2. Kujenga nyumba kwenye kiwanja cha mwanamke/mke wako.

3. Kuweka jina la mwanamke/mke wako kwenye umiliki wa mali.

4. Kutunza fedha kwenye akaunti ya mwanamke/mke wako.

5. Kumwamini mwanamke/mke wako kwa 100% (mwamini kwa mama yako tu kwa kiwango hicho au zaidi)

6. Kumwita mke wako mama.

7. Kujenga ukweni (jenga kwa wazazi wako)

8. Kupuuza neno lolote lenye welekeo wa dharau, kejeli, au kubezwa na mwanamke/mke wako.

9. Kutegemea mapenzi kutoka kwa mwanamke/mke wako sawa sawa na unavyotamani/unavyotaka iwe.

10. Kulipa mahali kubwa na kufanya sherehe kubwa ya ndoa yako.


Bazazi!
Yawekwe lamination tuyakute makumbusho ya taifa na ya dunia
 
Back
Top Bottom