ndandambuli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 948
- 641
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona unanitisha sasa ?
Kwahiyo ww tajiri
Labda kwa wanawake wa zamani Ila si hawa wa karne hii ambao wanajitegemea kiuchumi. Yaani mm nisubiri kuwekwa jina kwenye kiwanja...so fun.1. Kusomesha mchumba
2. Kujenga nyumba kwenye kiwanja cha mwanamke/mke wako.
3. Kuweka jina la mwanamke/mke wako kwenye umiliki wa mali.
4. Kutunza fedha kwenye akaunti ya mwanamke/mke wako.
5. Kumwamini mwanamke/mke wako kwa 100% (mwamini kwa mama yako tu kwa kiwango hicho au zaidi)
6. Kumwita mke wako mama.
7. Kujenga ukweni (jenga kwa wazazi wako)
8. Kupuuza neno lolote lenye welekeo wa dharau, kejeli, au kubezwa na mwanamke/mke wako.
9. Kutegemea mapenzi kutoka kwa mwanamke/mke wako sawa sawa na unavyotamani/unavyotaka iwe.
10. Kulipa mahali kubwa na kufanya sherehe kubwa ya ndoa yako.
Bazazi!
Pata pesa mingi hayo mengine utafanya Tu automatically niligundua kuwa wanaume tusipokuwa na hela tunatafuta sana sababu za kufarijiana na kutiana moyo Mara hakuna kuhonga,Mara Hakuna kufanya sherehe kubwa kwenye harusi n.k ila hela zikikutembelea bhana naona watu wenyewe wanafanya waliyosema hawatafanya
no 61. Kusomesha mchumba
2. Kujenga nyumba kwenye kiwanja cha mwanamke/mke wako.
3. Kuweka jina la mwanamke/mke wako kwenye umiliki wa mali.
4. Kutunza fedha kwenye akaunti ya mwanamke/mke wako.
5. Kumwamini mwanamke/mke wako kwa 100% (mwamini kwa mama yako tu kwa kiwango hicho au zaidi)
6. Kumwita mke wako mama.
7. Kujenga ukweni (jenga kwa wazazi wako)
8. Kupuuza neno lolote lenye welekeo wa dharau, kejeli, au kubezwa na mwanamke/mke wako.
9. Kutegemea mapenzi kutoka kwa mwanamke/mke wako sawa sawa na unavyotamani/unavyotaka iwe.
10. Kulipa mahali kubwa na kufanya sherehe kubwa ya ndoa yako.
Bazazi!
Umeua mkuuNever love another woman as long as your mom loves you.
Yawekwe lamination tuyakute makumbusho ya taifa na ya dunia1. Kusomesha mchumba
2. Kujenga nyumba kwenye kiwanja cha mwanamke/mke wako.
3. Kuweka jina la mwanamke/mke wako kwenye umiliki wa mali.
4. Kutunza fedha kwenye akaunti ya mwanamke/mke wako.
5. Kumwamini mwanamke/mke wako kwa 100% (mwamini kwa mama yako tu kwa kiwango hicho au zaidi)
6. Kumwita mke wako mama.
7. Kujenga ukweni (jenga kwa wazazi wako)
8. Kupuuza neno lolote lenye welekeo wa dharau, kejeli, au kubezwa na mwanamke/mke wako.
9. Kutegemea mapenzi kutoka kwa mwanamke/mke wako sawa sawa na unavyotamani/unavyotaka iwe.
10. Kulipa mahali kubwa na kufanya sherehe kubwa ya ndoa yako.
Bazazi!