Uchaguzi 2020 Mambo Kumi niliyoyasikia leo kwa mara ya kwanza kuhusu Tanzania kutoka kwa Tundu Lissu akiwa Mbarali

Huyu jamaa tukimchagua kazi yake itakuwa kupita tu mitaani akiimba Uhuru na Maendeleo😂😂 maana pamoja na story zake tamu hasemi yeye atafanyaa nini tukimpatia nchi.
Anaikomboa nchi kutoka ukoloni wa mweusi mwenzetu
 
Kwa kuficha mikataba ya manunuzi makubwa? Hivi mmelishwa nini wenzetu?
 
Acha kubwabwaja we ng'ombe ambae upo uchumi kati wa buku7......
Lissu atawanyoosha haki ya nani........ Huoni mgombea wako anakopi sera na ahadi za Tundu Lissu?
 
Kageuza mkutano wa kampeni kijiwe Cha story badala ya kunadi sera
Toka mwanzo Hadi mwisho wa hizo point kumi Ni story tu hamna Cha sera Wala nini
Sera ni kutopeleka Maendeleo majimbo ya upinzani.

Pombe chizi kweli
 
Kwa hiyo hayo mambo kumi aliyoongea ndio mnahitaji wanayohitaji watanzania akichaguliwa kuwa Raisi?

Na hizo ndizo sera za Chadema aalizowaambia Wana Mbarali?
Zote naona porojo tu hamna sera hata Moja Hapo kawapotezea muda tu watu wa mbalali
Acha kuropoka kama punguani bwana alikuambia mambo 10 aliyosikoa siyo sera! Mbona yule PUNGUANI WENU anajibu ? Mbona yye anaongelea bima ya afya ipo kwenye ilani ya Ccm?
Usituletee ujuha wako hapa
 
Yanawahusu Nini watu wa Mbalali alipokuwa akihutubia? Kaanza kugeuza mikutano ya kampeni vijiwe vya story
Anayeweza kugeuza uwanja wa watu elfu kumi kuwa kijiwe na kuweza kupata kusikilizwa yeye,sii mchezo.Sasa tuambie wote hao umeona hawana akili.Au ujumbe hapa Nini.
 
Watanzania wampe kura kwa Sera gani hapo itakayowasaidia?. Yeye atafanya nini?. Chadema saccos sio ya kuwaamini kabisa.
 
KUMI NA MOJA: chadema ilipokea ruzuku ya mil 300, michango ya wabunge lakini yote iliishia kwa mwenyekiti baada ya mmachame kujimilikisha chama
 


hakuna cha maana sasa apo cha kumjibu sasa, kama ni kuanzisha mbuga za wanyama, mapato ya watalii mpaka saahv yanaeleweka ni billions of money, the 2nd after south africa kwa mapato ya utalii and 3rd africa
- viwanja vya ndege obvious they are all success stories

so speech nzima ni pumba
 
Anachosema Lissu ni kweli kabisa na anayetakiwa kujibu ni Magufuli mwenyewe siyo hao vilaza wa CCM wanaojibu kwa niaba yake humu kwenye jf. Hawa vilaza wanaojibu tuhuma ambazo hawazijui mpaka wanamfanya mtuhumiwa kuonekana mbele ya Umma naye ni kilaza kwa kushindwa kujibu tuhuma zinazomkabili. Hii inaendelea kuonyesha kuwa Rais alioko madarakani hana uwezo wa kukabiliana uso kwa uso kwa hoja na wapinzani wake wote na Chama chake wanajua hivyo ndo maana hawataki kusikia mambo ya midahalo na mahojiano mubashara. Stiegler's Gorge ilikuwa Maradi wa Nyerere wala hakushindwa kutekeleza kama CCM wanavyodai bali aliheshimu mikataba ya Kimataifa ambayo nchi yetu iliridhia badala yake alijenga Mtera. SGR ni Mradi wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki yenye nia ya kuunganisha nchi wanachama na bahari ili nchi nne wanachama zisizo na bahari ziweze kutumia bandari mbili zilizopo. TAZARA ilijengwa na Nyerere na kuunganisha ya Kati na ya Tanga ambayo iliwezesha treni itoke Arusha mpaka Kigoma lakini, kama ATC ilivyokufa, ikafa Magufuli akiwa Waziri wa Serikali ya CCM. Kama Rais hawezi kujibu tuhuma mwenyewe, kuna Msemaji wa Serikali au Ikulu kuna Msemaji wa Rais na Chamani kuna Katibu Mkuu, hao wote wangeweza kutumika kujibu, kuhoji, kufafanua tuhuma zote kwa niaba yake badala ya hao vilaza watafuta uteuzi. Mtindo wa kuteua wafanyakazi Serikalini kwa kutegemea uungaji mkono juhudi ungeachwa ili watu wateuliwe kwa ujuzi, uwezo na uzoefu wao wanaopatijana kwa Search Team.
 

Kwenye bunge kibogoyo atauliza maswali hayo apate majibu? Hapo yuko kwenye bunge la ukweli ambalo ni wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…