Uchaguzi 2020 Mambo Kumi niliyoyasikia leo kwa mara ya kwanza kuhusu Tanzania kutoka kwa Tundu Lissu akiwa Mbarali

Sawa.

Lamini oia, kwa Tanzania ya sasa kodi inaweza kutumika kama fimbo ya kisiasa.

Kodi inatakiwa kuwa wazi, inatakiwa ilipwe na wote na inatakiwa iwe sawa na uzalishaji.

Tanzania hayo yote hayazingatiwi.

Simtetei Mzee Mkono, nasema mapungufu ya kimfumo yanayozaa naswali kwa mtu yeyote mwenye kesi ya kodi.
 
Sawa Msukule wa Mbowe...
Angaikeni mumtengenezee ruzuku aipige kama kawa...

Viva Magu 2020 to 2030
 
Sawa Msukule wa Mbowe...
Angaikeni mumtengenezee ruzuku aipige kama kawa...

Viva Magu 2020 to 2030
Toa uzwazwa wako wa kihutu mkuu....

We msukule wa lumumba unataka ushahidi gani zaidi..... Mwambie aweke wazi mikataba na malipo..... Mtoto wa dada mlipaji na mtwasi ndo anayepewa kandarasi zote....


Ccm wakeshauza nchi kwa wazungu mikataba yote ni ya kinyonyaji....
Magufuli ndo kaja kupiga dili zaidi......yeye binafsi amenunua ndege kwa usiri mkubwa kwa manufaa yake yy na wazungu......

Ufisadi na magufuli ni dhahiri sn tunachosubiria ni actual figures tu...

Nyie ng'ombe ccm hakuna rafiki wa wazungu zaidi ya maccm.....
 
Lia na Lissu apate urais japo haiwezikanii... jililie na hali yako.
Sintakuita zwazwa wala mzukule...

Mungu ametubariki kwa kutupa Magu

Viva Magu 2020 to 2030
 


Fafanua hapo kwenye red tafadhali
 
Lia na Lissu apate urais japo haiwezikanii... jililie na hali yako.
Sintakuita zwazwa wala mzukule...

Mungu ametubariki kwa kutupa Magu

Viva Magu 2020 to 2030
Toa uzwazwa wako wa kihutu mkuu....

We msukule wa lumumba unataka ushahidi gani zaidi..... Mwambie aweke wazi mikataba na malipo..... Mtoto wa dada mlipaji na mtwasi ndo anayepewa kandarasi zote....


Ccm wakeshauza nchi kwa wazungu mikataba yote ni ya kinyonyaji....
Magufuli ndo kaja kupiga dili zaidi......yeye binafsi amenunua ndege kwa usiri mkubwa kwa manufaa yake yy na wazungu......

Ufisadi na magufuli ni dhahiri sn tunachosubiria ni actual figures tu...

Nyie ng'ombe ccm hakuna rafiki wa wazungu zaidi ya maccm.....
 
Viva Magu 2020 to 2030
 
Viva Magu 2020 to 2030
Toa uzwazwa wako wa kihutu mkuu....

We msukule wa lumumba unataka ushahidi gani zaidi..... Mwambie aweke wazi mikataba na malipo..... Mtoto wa dada mlipaji na mtwasi ndo anayepewa kandarasi zote....


Ccm wakeshauza nchi kwa wazungu mikataba yote ni ya kinyonyaji....
Magufuli ndo kaja kupiga dili zaidi......yeye binafsi amenunua ndege kwa usiri mkubwa kwa manufaa yake yy na wazungu......

Ufisadi na magufuli ni dhahiri sn tunachosubiria ni actual figures tu...

Nyie ng'ombe ccm hakuna rafiki wa wazungu zaidi ya maccm.....
 
SERA hapo ni nini jamani? Au mnalishwa uongo na uzushi usio na kichwa?! Katika hali hiyo hasa kwenye mikutano ya hadhara anybody can say any LIES, hakuna maswali! Sasa hilo la Standard Gauge, ni nini, nayo hiyo ni hoja; ni kweli zipo hizo alizozitaja LAKINI SI ZA UMEME, hiyo ndiyo tofauti! Halafu mtu na akili zake anasema hilo ni kati ya mambo kumi ambayo alikuwa hajayasikia maishani mwake! Kama ni kweli basi tuna safari ndefu sana ya kuelimishana humu JF. Hili ni humu JF je huko kwa wananchi wa kawaida itakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…