Mama mshari wewe!! Ha ha haaa!!Tumesha u copy and paste hata ukifutwa.
Jiwe akili zake anazijua mwenyewe na kina Bashiru+ Poleslow! Kwanza juzi kwenye dk45 ITV Bashiru alipanic vibaya full jazba.Hahaha sera ni nini?! Madaraja au kubambikia watu kesi?!
Hivi siku hizi hagawi pesa barabarani tena au zimeisha?!
Ndio shida hiyo, wakati wengine tumeanza safari ya kuendea uchumi wa kati, wengine bado wana taswira ya usafiri wa Dar Mtwara siku nne😂😂Itakua masikio yako hayasikii vizuri.Au umezoea kusikia vitu laini laini vyakudanganywa miaka nenda rudi.Mambo mazito yakupeleka nchi mbele hujayazoea.Fungua kichwa sasa uone wapi tulipokua tunakwama hadi nchi iendelee kua maskini miaka na miaka ili hali ina kila kitu.
Unaposema sio sehemu ya maswali umetumia akili kufikiri au unaendeshwa na mihemko! Unakwenda kinyume na Bashiru, aliwaambia jibuni hoja (maswali) wewe unajitoa akili eti maswali bungeni grow up dude!!Mikutano ya kampeni Sio sehemu ya maswali Ni sehemu ya kunadi sera na kuomba kura sehemu ya maswali na majibu Ni bungeni alikokuwa huko angeuliza maswali yote apewe majibu na serikali hakuuliza anakuja kuuliza Nani kwenye mikutano ya kampeni
Mkutano wa kampeni Hakuna Spika Wala waziri anapotezea muda watu tu
Anadi sera zake aombe kura . Aondoke aende Kwingine
Kwani maana na umhimu wa sera ni nini? Sera ni kurekebesha ubovu na kujenga mikakati ya kuenenda mbele kwa usahihi.Kageuza mkutano wa kampeni kijiwe Cha story badala ya kunadi sera
Toka mwanzo Hadi mwisho wa hizo point kumi Ni story tu hamna Cha sera Wala nini
Kwa hiyo hayo mambo kumi aliyoongea ndio mnahitaji wanayohitaji watanzania akichaguliwa kuwa Raisi?
Na hizo ndizo sera za Chadema aalizowaambia Wana Mbarali?
Zote naona porojo tu hamna sera hata Moja Hapo kawapotezea muda tu watu wa mbalali
Huu ni ukweli mchungu..Katika hoja hizi Mgombea wa Chama tawala lazma ajibu point moja baada ya nyingine na hii ndyo mana ya siasa. Haya sio matusi kisiasa unahitaji kujibu kublok hoja ya m pinzani wako..Vijana wa Chama fulani jitokezeni kujibu hoja hizi!!vingnevo mtajikuta mnaanza kudai eti ni matusi hili neno" matusi limegeuka mbinu ya kukwepa kumjibu "Machine Lissu "!!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Na bado!! Mtachanganyikiwa sana mwaka huu
Kwani hakuongea Sera za Chama chake ??? Kubadirisha mfumo wa utawala ni nini??? Kuifanya nyanda za juu kusini kuwa kanda maalumu ya uzalishaji wa kilimo na biashara za kilimo kwa nchi za kusini mwa Africa nini???
Kutoa Bima ya Afya kwa watu wote ni nini???? Kuwafidia wote waliohamishwa kuongeza mbuga ya ruaha ni nini????
Kwa kifupi CCM mmechanganyikiwa na hamna cha kumjibu Tundu Antiphas Lissu mnaishia kuchanganyikiwa na kutoa propaganda uchwara [emoji23]
Atajibu Hivi; Jiwe sio wa kwanza kutamba na madaraja, SGR etc. Asitumie mgongo wa madaraja kuminya uhuru wa habari, kunyanyasa wanaokosoa utawala wake as if yeye ndo Mungu wa Tz. Mwambie aache kusujudiwa kama yeye ndo mtoa oxygenBaada ya Lisu kumaliza kueleza hayo mambo kumi ukimuuliza mwana mbalali sera za Chadema Ni Nini atajibu Nini hapo?
Uitwe mdahalo ayajibu yote haya, kuondoa ukakasi.
Tumeyasikia ila bado rais atakaechaguliwa na watanzania ni John Pombe Magufuli
Tukutane hapa kuanzia asubuhi ya October 29, tukiwa tunaendelea kupata matokeo ya uchaguzi
Tumeshafika 801 ,ongeza wazaz au walez wawiliwawili ,ongeza wadogo zetu ,ongeza wake zetu na madem wetu ,na wote walio guswa na ukosefu wa ajira kwa watoto wa wanyonge. Kwa upepo huu ccm ijiandae kuanza kutumia pension.Kwa hiyo hayo mambo kumi aliyoongea ndio mnahitaji wanayohitaji watanzania akichaguliwa kuwa Raisi?
Na hizo ndizo sera za Chadema aalizowaambia Wana Mbarali?
Zote naona porojo tu hamna sera hata Moja Hapo kawapotezea muda tu watu wa mbalali
Umekurupuka.Tumesha u copy and paste hata ukifutwa.
Ongezaaaa alisikika YEHODAYA, mkuu hawa wamevurugwa mbaya. Mara upinzani umekufa saa hizi wanasema tukutane 28/10/2020 nawacheka Sana aseepoint ni 3 tu comrade:
1. chini ya awamu ya 5, kuna viashiria vya grand corruption, tena sehemu ambayo haikutarajiwa kabisa
2. chini ya awamu ya 5, kuna viashiria vya nepotism
3. hakuna jipya ambalo awamu ya 5 inalifanya ambalo halijawahi kufanywa na awamu zilizopita. so, awamu hii isinyanyase watu kwa kisingizio cha eti kufanya mambo mapya!
niongeze volume??
we wa kawe hutumii barabara ya tazara?Hahaha kwani daraja la mfugale linatusidia nini sisi watu wa kawe?
Tangu 2015 alikuwa anaimba kilomita za barabara, leo mnatuuliza zinatusaidiaje?!
Kumbe Lowasa 2015 alikuwa mgonjwa?Hahaha Magufuli angekuwa mgonjwa tunasema kakata kauli.
Kawa Lowassa wa 2015.