Mambo machache niliyojifunza kutoka kwa Wahubiri wa FAITH, LOVE and MIRACLES hapa Mkoani Dar es Salaam

Hata huko Kukazwa Kwako 24/7 pia huwa nakupigia Promo au? Nasubiri Jibu ili nimalize Kazi kwani naona umenitafuta Siku nyingi na unataka Kupata kile Unachokitafuta.
Sasa Mrembo, mbona umepotea moja kwa moja? Nimeshakujibu hapo juu! Au bado umetingwa na majukumu ya kuwapikia chai hao Wahubiri wako?

NB: Usisahau kuwaomba kwenda nao huko kwa Mabeberu walikotoka. Maana kiukweli unatuongezea tu idadi ya watu kutokana na mchango wako mdogo kwa Taifa hili.
 
Siku zote wajinga ndiyo waliwao. Mimi ni wa kwenda kwenye mahubiri!!
Kuna wanaopenda mahubiri na wengine pombe, wanawake z mpira z mziki, etc. Hakuna aliye bora zaidi ya mwingine as long as hawavunji sheria za nchi hapo siwezi washangaa
 
Yaani badala ya kuitetea ndiyo umeidhalilisha zaidi hiyo dini.
 
Wajinga ndiyo waliwao....bwana jinga inauma ufikieie vizur
 
naona kuna watu wamejaaa wanaandikisha watu sijui wnagawa vitu au sijui wanakusanya sadaka wanasimamisha mpaka gari ni wafnyakazi wa hilo kundi naona mmoja wao ni wewe unapiga promo . wanazurura tu wamejaa kule jnagwani mpaka mpka ilr road ya kuelekea kiggo
 
Wewe ni mtakatifu, unayesubiri kurudi kwa Bwana Yesu mara ya pili?

Naona boriti kwenye jicho lako huku ukijitahidi kutoa kibanzi machoni kwa wengine.
 

Attachments

  • VID_20210613_164230.mp4
    11.1 MB
  • VID_20210613_164209.mp4
    11 MB
The day africans wataacha kuamini dini za kuletewa ndio siku ujinga utaisha na kila mmoja kuwa responsible na maisha yake hivyo taifa kuendelea na kuwekeza kwenye technology badala ya imani.

Au africa itaendelea kuongea umasikini milele.
 
The day africans wataacha kuamini dini za kuletewa ndio siku ujinga utaisha na kila mmoja kuwa responsible na maisha yake hivyo taifa kuendelea na kuwekeza kwenye technology badala ya imani.

Au africa itaendelea kuongea umasikini milele.
Ni asilimia 10 pekee waliobakia awaamini thus ujinga ungalipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…