Mambo machache niliyoyaona mkoa wa Geita

Mambo machache niliyoyaona mkoa wa Geita

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Na haya ni mambo machache niliyoyaona na kujifunza nilipokuwa mkoani Geita.

(1) watu hawawezi kuutambua utajiri wako au kuuthamini uwezo wako wa kifedha kama hujaingia bar ukawanunulia watu pombe au unywe pombe kwa kiasi kikubwa mpaka ulewe.

(2) kila mwanamke hujiona ni wa thamani kubwa sana kwa sababu wao huamini mchimbaji yeyote wa madini akiwa na fedha starehe yake ya kwanza ni kuzini na mwanamke na kulewa pombe.

(3) asilimia kubwa ya vijana na wanawake wanaumwa magonjwa ya zinaa kama kaswende na kisonono japokuwa wengi wao hawajitambui na wakati mwingine wengine hufikia kuizoea hali hiyo ya miwasho sehemu za siri na kutoa uchafu (usaha au majimaji) angalizo ukiwa mkoa wa geita kinga ni muhimu zaidi ya chakula usiende peku.

(4) ni mkoa wenye madini kila sehemu lakini wazawa ni masikini wa kutupwa na wananuka changamoto hata ukipishana nao barabarani na ndio wenye chuki kubwa na wageni wakiamini wageni wanakuja kuwanyang'anya fursa zao, ukiwa mjanjanja kama mwizukulu mgikuru tegemea kupigwa vita kila kona.
 
Ukiiweka Geita kwenye kundi la masikini, siku ukifika Lindi utakufwaaa!

Wasukuma shida yao inafahamika ni moja tu, ushamba. Ila mengine umewasingizia. Hakuna sehemu yenye watu wakarimu na wachapakazi kama huko usukumani.

Ukishindwa kuelewana na wasukuma, hakuna utakaeweza kuelewana nae!
 
Mtu mfupi huijui Geita wewe na huna hela huna uwezo wa kutembelea viwanja vyenye hadhi.

Nitajie viwanja viwili vyenye hela
Geita hakuna kiwanja chenye hadhi.....na mji ulikuwa hauna ghorofa la maana toka uhuru..ni juzi tu ndugu yangu mjaruo bwana otonde kawatoa kimasomaso kwa kuwajengea otonde plaza😁😁...kama nasema uongo kataa
 
acha uongo mdogo wangu’ nipo Geita hapa miaka yote wala sijawah kuona hayo unayoyasema.
 
Hata umasikini ambalo ni janga la nchi nao hujauona miaka yote hiyo?
 
Geita mjini kabisa yaani mjini panazidiwa hata na kata ya Tabata
 
Back
Top Bottom