Neurologist
JF-Expert Member
- Nov 5, 2020
- 518
- 1,296
Yote ni makubwa sanaFikra gani umetumia kuona
Umaskini, wizi, uongo, ubishi na upagani kuwa ni mambo madogo?
Makubwa ni yapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote ni makubwa sanaFikra gani umetumia kuona
Umaskini, wizi, uongo, ubishi na upagani kuwa ni mambo madogo?
Makubwa ni yapi?
Unasound kama babu tale[emoji28]jamani mie ako mbunge ni maarufu jimboni kwangu ila kwa sababu hupendi siasa unaona ni umaarufu wa kijinga.
Km haitoshi Dr wa kina mama pekee wilayani.ke wananijua kwako unaona ni ujinga mweee!!!
Bora uende tu kwa kweli!!
Ila km nimekupenda nakuroga tu!! Ukilazimisha nang'oa kizazi kibingwa.utarudi tu kuwa mke wa pili tasa ndo raha yangu.
Mie nikupende halafu uniletee ujinga eti oooh! Maarufu wa kijinga mweee!! Subiri...nakuroga jini kiuno halina dawa utazunguka weee hutazaa!!
Walah!! Utajamba kifukuto nakwambia usicheze na hisia za mapenzi wewe!! Au bado mtoto. Nini??!!
Haijalishi mwaya!!! lkn bado nasisitiza. Mapenzi yanauma km donda la leoleo wewe! Moyo unavuja damu nyekundu kisa?.Unasound kama babu tale[emoji28]