Uchaguzi 2020 Mambo makubwa matatu ambayo Bernad Camilius Membe anamzidi Tundu Antipas Lissu!

Mnatafuta mtu dhaifu ili mmwangushe asubuhi tu? Tunawaletea chuma cha pua mhangaike nacho, mtajibeba haki ya nani mwaka huu! Mwenye moyo fake mwambieni ajiandae kisaikolojia!
watajua hawajui yaani
 
Sasa ulitaka aende chama gani mkuu
 
Mosi, Membe ni mwana diplomasia aliyebobea

Pili, Membe mwana intelejensia

Tatu, Membe ni mwana seminari

Hayo maeneo matatu hutoa watu wenye maono hata kama unaangukia kwenye kundi moja kati ya hayo.

Maendeleo hayana vyama!
Wewe sema tu unamsema JPM kupitia mgongo wa Lissu shauri yako utatekwa
 
Kwa member Jpm ataenda kulala, uchaguzi utakuwa umekwisha
 
Mosi, Membe ni mwana diplomasia aliyebobea

Pili, Membe mwana intelejensia

Tatu, Membe ni mwana seminari

Hayo maeneo matatu hutoa watu wenye maono hata kama unaangukia kwenye kundi moja kati ya hayo.

Maendeleo hayana vyama!
Membe hakufaa na hafai,lissu alifaa but nilimtoa akilini tangu aliposimama na acacia(nilitilia hofu uzalendo wake),2025-twende na Jacob-namuona jasiri,msimamizi na mtekelezaji maono,hayumbishwi,yupo makini.-nyalandu hafai akaongoze marekani
 
membe hayupo masikioni wala moyoni mwa mtu yoyote labda wanaccm waliojeruhiwa
 
Hee hivi kumbe kupita seminari ni dili ehx?
 
Mosi, Membe ni mwana diplomasia aliyebobea

Pili, Membe mwana intelejensia

Tatu, Membe ni mwana seminari

Hayo maeneo matatu hutoa watu wenye maono hata kama unaangukia kwenye kundi moja kati ya hayo.

Maendeleo hayana vyama!
Vigezo vya kipumbavu. Eti mwanaseminari. Kwani anakuja kuongoza kanisa? Kigezo cha udini? Kwa kigezo hicho tu kura yangu hana. #Lissu forever
 
Acha kutupotezea muda......... Acha membe afanye kazi aliyojia upinzani alafu January a naomba radhi anarudi ccm.....

LISSU is far better than magufuli than membe
 
Mosi, Membe ni mwana diplomasia aliyebobea

Pili, Membe mwana intelejensia

Tatu, Membe ni mwana seminari

Hayo maeneo matatu hutoa watu wenye maono hata kama unaangukia kwenye kundi moja kati ya hayo.

Maendeleo hayana vyama!
Umenikumbusha digrii nne za Mwakyembe vile wajumbe wa darasa la saba walivyo mtenda
 
Mosi, Membe ni mwana diplomasia aliyebobea

Pili, Membe mwana intelejensia

Tatu, Membe ni mwana seminari

Hayo maeneo matatu hutoa watu wenye maono hata kama unaangukia kwenye kundi moja kati ya hayo.

Maendeleo hayana vyama!
Sawa Yohana Mbatizaji ila mwambie Boss wako kwamba Maendeleo hayana vyama.
 
Mnatafuta mtu dhaifu ili mmwangushe asubuhi tu? Tunawaletea chuma cha pua mhangaike nacho, mtajibeba haki ya nani mwaka huu! Mwenye moyo fake mwambieni ajiandae kisaikolojia!
Kumbe pacemaker zinafanyakazi kwakutumia nguvu ya sumaku ya ardhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…