Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
huwezi itenganisha chadema na mboweMnaweza kumshambulia Mbowe na Mkaiacha Chadema bado mkaeleweka, hizo ndio Kampeni za uchaguzi na zinafahamika.
Lakini kuihusisha Chadema na Mauaji ya Mzee Ally Kibao achilia mbali kwamba si kweli lakini pia mnatenda dhambi mbaya sana na ya kijinga iliyojaa makusudi ya bila sababu, Hakika dhambi hii mtailipia
Maneno yote haya ya ramli chonganishi hutokana na tatizo la msingi la kutowajibika ipasavyo kwa vyombo vya dola (usalama) au ukosefu wa utashi wa kisiasa.Sasa kama lissu anaushahidi tayari na hataki kuutoa anaanza kusingizia marehemu inaleta picha gani?
Uongo na uzandiki tu. Lissu amwage huo ushahidi alionao marehemu wa nini tena. Ndiyo yale yale kwenye kesi yake ya kupigwa risasi tuliwashutumu polisi kama wangekufa wasinge fanya kazi za kipelelezi.?
Mpaka hapo unataka utajiwe jina???Mbona hamtaji jina sasa?
CCM wameingia kwa mikono miwili kwenye huu uchaguziMods upuuzi kama huu kwanini mnauacha?
Mmmh!1.Nchimbi alimsafisha Mbowe mapema sana
View: https://youtube.com/shorts/VuTy8LLhe4s?si=PHahPqXk2sRY40B_
2.Mzee kibao hakuwa mtu wa mitandaoni na msemaji sana kama tulivyoona kwa watekwaji wengine
3.Kauli ya Tundu lissu kuwa alikuwa na ushahidi wa Rushwa ya Abdul
4.Historia za matukio ya nyuma ya Ben Saanane, Chacha Wange , kuondoka kwa Zitto kabwe na Dr slaa
Naweza kukosea kama jamaa hamtaji jina.Mpaka hapo unataka utajiwe jina???
Huwezi hata kujiongeza.