Mambo manne ambayo yanaonesha uwezekano wa Mzee kibao kwamba alitekwa na wasiojulikana kwa kushirikiana na CHADEMA

huwezi itenganisha chadema na mbowe
 
Maneno yote haya ya ramli chonganishi hutokana na tatizo la msingi la kutowajibika ipasavyo kwa vyombo vya dola (usalama) au ukosefu wa utashi wa kisiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…