Mambo Manne ya Kujifunza Kwa Vijana wa Pangoni

Mambo Manne ya Kujifunza Kwa Vijana wa Pangoni

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Sura hii kama inavyojulikana inahusu vijana wa pangoni....lakini kuna matukio mengine ambayo ni mafunzo tosha katika Maisha yetu ya kila siku,na ndio maana imesisitizwa tuisome kila siku ya ijumaa.

Funzo la Kwanza - siku zote tusitetereke katika kumwabudu Mwenyezi Mungu ambaye ndie WA kweli,tuilinde Imani yetu thabiti na tusiichanganye na ushirikina,,,,kama tulivyoona vijana hawa WA pangoni walikuwa katika jamii ambayo ni watu wachache Sana ndio walimwamini Mungu wa kweli na jamii kubwa ilikuwa inaabudu miungu ya uongo,,,,wakaona ili wasalimike na Imani Yao wakaona Bora waende wakajifiche pangoni kuliko kuiharibu Imani Yao,,,,,na siku zote ukimwamini Mwenyezi Mungu hakika atakulinda,basi Mola wao akawajaalia usingizi ndani ya pango lile na walikaa mule pangoni takribani miaka 309,na baadae akaja kuwaamsha na kukuta jamii ya pale imebadilika na watu wote Wanamwamini Mungu Mmoja,,,,na katika tukio Hilo la kukaa Miaka yote usingizini na kuja kuamshwa, Allah anasema hiyo ni ishara Kwa wale ambao hawaamini hiyo siku ya kiama kuwa hakika IPO na itakuja bilashaka.

Funzo la pili - fitina ya Mali, kuna bwana mmoja alijaaliwa mabustani mawili ambayo katikati yake kuna mito,kulikuwa na mizabibu na mitende na matunda mbali mbali,hakika bustani ilibarikiwa na kusheheni mazao,,,akiwa na mwenzake katika bustani yake,alijigamba kuwa yeye ana Mali nyingi na watoto wengi kuliko huyo mwenzake,na akasema kuwa hadhani kama kiama kitatokea na akaenda mbele zaidi Kwa kusema kuwa hata kikitokea basi atapewa Mali nyingi zaidi ya hizo.Hakika Mali zilimfanya akufuru na kusahau hiyo yote ni neema ya Mola wake,na mwenzake akamwambia Lau kuwa baada ya kuona Mimi Nina Mali kidogo kuliko wewe,basi ungesema hakuna hila wala nguvu isipokuwa Kwa Mwenyezi Mungu na alitakalo huwa,lakini huenda ukajitapa Kwa Mali nyingi na Mola wako akaja futilia mbali bustani yako! Na ndio Hicho kilicho tokea, Mola wake akaleta tufani na kulimalizia mbali shamba lake akabaki kujuta Kwa kauli zake.

Tukijaaliwa Utajiri na Mali basi inatakiwa tumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa neema aliyotujaalia na wala tusikufuru Kwa kuona kuwa Ni ujanja wetu na tuitumie Mali hiyo katika njia yake inayompendeza ili tupate mwisho mwema.

Funzo la Tatu - Cheo au Uongozi,,, hivi vitu ni dhamana hivyo basi hatuna budi kuvitumia Kwa uadilifu Sana,,,hapa tunaonyeshwa Dhurqarnain alikuwa ni mfalme muadilifu Sana alikuwa anatembea maeneo mbali mbali kuwasaidia watu wenye uhitaji,na alitumia Cheo chake Kwa hekima na Busara,,,,alipofika katika vilima viwili aliwakuta watu ambao walitaka msaada dhidi ya yajuju na majuju,hawa walikuwa watu ambao walikuwa wanaleta uharibufu katika ardhi,hivyo Dhurqarnain akaombwa kuwadhibiti hawa watu,basi aliwajengea ukuta wa Chuma na kumimina Shaba juu yake,wale watu wabaya wakashindwa kuukwea ule ukuta,na utakuja kuvunjwa na Mwenyezi Mungu siku ya kiama. Na siku zote mfalme huyu hakumsahau Mola wake,,,,hivyo Kwa dhamana yoyote utakayo pewa basi hekima na Busara viwe sehemu ya Uongozi wako.


Funzo la nne - Ni fitna ya Elimu,,, hapa tunakutana na habari ya Nabii Musa na bwana Khizir. Nabii Musa kwakuwa alikuwa anaongea na Mwenyezi Mungu basi alijiona kuwa yeye ndio binadamu mwenye elimu kubwa zaidi,,,lakini Mola wake akamkutanisha na mja wake mmoja Anaitwa Khizir huyu amejaaliwa elimu zaidi kuliko ya Musa,na anajua mambo yajayo au ya ghaibu,IPO siku nitagusia mambo yake aliyomfundisha Musa,Ila hapa ni kuelezea Tu kuwa Kwa kila mjuzi kuna mjuzi zaidi. Na hata uwe na elimu kiasi gani basi Mwenyezi Mungu ndio mjuzi zaidi,,,kwahiyo tuitumie elimu zetu kuleta faida Kwa jamii zetu.

Ni hayo Tu!
 
Wale vijana walipoamka wakakuta mifupa ya mbwa wao na sarafu walikua nayo walipoenda kutafutia mahitaji baada ya kuamka wakaambiwa hii pesa yenu Haina thamani kwa sasa(ilishapitwa na wakati),ndicho kilichowajuza kuwa walilala miaka mingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wao walijua wamekaa siku moja au nusu ya siku na hivi ndivyo tunavyoambiwa kuwa siku ya kufufuliwa tutajiona kama tumekaa makaburini siku moja au nusu siku,,,,,Mwenyezi Mungu pekee ndo alijua wamekaa miaka hiyo.

Yeah Hicho nacho kiliwajuza ingawa hawakujua idadi ya miaka waliyokaa
 
Kweli mkuu,Lau kuwa wangelala Bila kugeuzwa Kwa hiyo miaka 309 bilashaka hata kuoza baadhi ya sehemu ya mwili kungetokea,,,,ndio maana hata Leo wale wagonjwa ambao hawajiwezi hugeuzwa geuzwa pia
Ukiisoma quran kwa kutulia utaamini kweli kile si kitabu Cha binaadam,Qur'an 96:15-16 ubongo wa mbele hutumika kudanganya,imelenga hapo hapo,4:56 receptors za maumivu...hivi vitu hata walikua na mtume saw hawakuvielewa walisoma tu nihwand na hijaz
 
Sura hii kama inavyojulikana inahusu vijana wa pangoni....lakini kuna matukio mengine ambayo ni mafunzo tosha katika Maisha yetu ya kila siku,na ndio maana imesisitizwa tuisome kila siku ya ijumaa.

Funzo la Kwanza - siku zote tusitetereke katika kumwabudu Mwenyezi Mungu ambaye ndie WA kweli,tuilinde Imani yetu thabiti na tusiichanganye na ushirikina,,,,kama tulivyoona vijana hawa WA pangoni walikuwa katika jamii ambayo ni watu wachache Sana ndio walimwamini Mungu wa kweli na jamii kubwa ilikuwa inaabudu miungu ya uongo,,,,wakaona ili wasalimike na Imani Yao wakaona Bora waende wakajifiche pangoni kuliko kuiharibu Imani Yao,,,,,na siku zote ukimwamini Mwenyezi Mungu hakika atakulinda,basi Mola wao akawajaalia usingizi ndani ya pango lile na walikaa mule pangoni takribani miaka 309,na baadae akaja kuwaamsha na kukuta jamii ya pale imebadilika na watu wote Wanamwamini Mungu Mmoja,,,,na katika tukio Hilo la kukaa Miaka yote usingizini na kuja kuamshwa, Allah anasema hiyo ni ishara Kwa wale ambao hawaamini hiyo siku ya kiama kuwa hakika IPO na itakuja bilashaka.

Funzo la pili - fitina ya Mali, kuna bwana mmoja alijaaliwa mabustani mawili ambayo katikati yake kuna mito,kulikuwa na mizabibu na mitende na matunda mbali mbali,hakika bustani ilibarikiwa na kusheheni mazao,,,akiwa na mwenzake katika bustani yake,alijigamba kuwa yeye ana Mali nyingi na watoto wengi kuliko huyo mwenzake,na akasema kuwa hadhani kama kiama kitatokea na akaenda mbele zaidi Kwa kusema kuwa hata kikitokea basi atapewa Mali nyingi zaidi ya hizo.Hakika Mali zilimfanya akufuru na kusahau hiyo yote ni neema ya Mola wake,na mwenzake akamwambia Lau kuwa baada ya kuona Mimi Nina Mali kidogo kuliko wewe,basi ungesema hakuna hila wala nguvu isipokuwa Kwa Mwenyezi Mungu na alitakalo huwa,lakini huenda ukajitapa Kwa Mali nyingi na Mola wako akaja futilia mbali bustani yako! Na ndio Hicho kilicho tokea, Mola wake akaleta tufani na kulimalizia mbali shamba lake akabaki kujuta Kwa kauli zake.

Tukijaaliwa Utajiri na Mali basi inatakiwa tumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa neema aliyotujaalia na wala tusikufuru Kwa kuona kuwa Ni ujanja wetu na tuitumie Mali hiyo katika njia yake inayompendeza ili tupate mwisho mwema.

Funzo la Tatu - Cheo au Uongozi,,, hivi vitu ni dhamana hivyo basi hatuna budi kuvitumia Kwa uadilifu Sana,,,hapa tunaonyeshwa Dhurqarnain alikuwa ni mfalme muadilifu Sana alikuwa anatembea maeneo mbali mbali kuwasaidia watu wenye uhitaji,na alitumia Cheo chake Kwa hekima na Busara,,,,alipofika katika vilima viwili aliwakuta watu ambao walitaka msaada dhidi ya yajuju na majuju,hawa walikuwa watu ambao walikuwa wanaleta uharibufu katika ardhi,hivyo Dhurqarnain akaombwa kuwadhibiti hawa watu,basi aliwajengea ukuta wa Chuma na kumimina Shaba juu yake,wale watu wabaya wakashindwa kuukwea ule ukuta,na utakuja kuvunjwa na Mwenyezi Mungu siku ya kiama. Na siku zote mfalme huyu hakumsahau Mola wake,,,,hivyo Kwa dhamana yoyote utakayo pewa basi hekima na Busara viwe sehemu ya Uongozi wako.


Funzo la nne - Ni fitna ya Elimu,,, hapa tunakutana na habari ya Nabii Musa na bwana Khizir. Nabii Musa kwakuwa alikuwa anaongea na Mwenyezi Mungu basi alijiona kuwa yeye ndio binadamu mwenye elimu kubwa zaidi,,,lakini Mola wake akamkutanisha na mja wake mmoja Anaitwa Khizir huyu amejaaliwa elimu zaidi kuliko ya Musa,na anajua mambo yajayo au ya ghaibu,IPO siku nitagusia mambo yake aliyomfundisha Musa,Ila hapa ni kuelezea Tu kuwa Kwa kila mjuzi kuna mjuzi zaidi. Na hata uwe na elimu kiasi gani basi Mwenyezi Mungu ndio mjuzi zaidi,,,kwahiyo tuitumie elimu zetu kuleta faida Kwa jamii zetu.

Ni hayo Tu!
Swadakta, hivi huo ukuta ambao aliujenga Dhurqarinain upo Nchi gani mkuu?
Kuna kisa kimoja pia kwenye Quran, Kuna vijana baba yao enzi za uhai wake alikuwa akivuna mazao kwenye mashamba yake huwa anawapa masikini pia, Sasa alivyokufa baba yao wakaapizana kuwa kamwe hawatowapa masikin hata punje ya nafaka,

Basi siku moja wanaongozana kwenda shambani alfajiri Tena wakiambizana kuwa hawatowapa kitu chochote masikini wa huo mji ktk mazao yao,

Basi bwana kufika kwenye shamba lao walihisi labda wamepotea sio hapo😂, kilichotokea Mungu alihamrisha kimbunga usiku kikafyekelea mbali mazao yote.
 
Swadakta, hivi huo ukuta ambao aliujenga Dhurqarinain upo Nchi gani mkuu?
Kuna kisa kimoja pia kwenye Quran, Kuna vijana baba yao enzi za uhai wake alikuwa akivuna mazao kwenye mashamba yake huwa anawapa masikini pia, Sasa alivyokufa baba yao wakaapizana kuwa kamwe hawatowapa masikin hata punje ya nafaka,

Basi siku moja wanaongozana kwenda shambani alfajiri Tena wakiambizana kuwa hawatowapa kitu chochote masikini wa huo mji ktk mazao yao,

Basi bwana kufika kwenye shamba lao walihisi labda wamepotea sio hapo😂, kilichotokea Mungu alihamrisha kimbunga usiku kikafyekelea mbali mazao yote.
Mpaka 1930 linalosemekana kuwa geti/lango la huo ukuta lilikuwepo,Soma tafsir ya kiingereza ya yusuf Ali kaeleza lilipo kwenye maelezo pale chini
 
Ukiisoma quran kwa kutulia utaamini kweli kile si kitabu Cha binaadam,Qur'an 96:15-16 ubongo wa mbele hutumika kudanganya,imelenga hapo hapo,4:56 receptors za maumivu...hivi vitu hata walikua na mtume saw hawakuvielewa walisoma tu nihwand na hijaz
Kweli mkuu,,,ndio maana kuna watu wataburuzwa Kwa kushikwa paji la uso,na kuhusu maumivu ndio maana tunaambiwa tutabadilishiwa ngozi kila baada ya ngozi kuungua inakuja nyingine,,,Mwenyezi Mungu atujaalie mwisho mwema.

Sayansi ndio inasaidia aya za Qur'an kueleweka au kufanunuliwa vizuri,,,mfano stages za mimba tumboni,Kwa kila siku arobaini yanatokea mabadiliko.

Tuje kwenye uchafu WA zinaa,,imesemwa zinaa ni uchafu kwasababu inaleta madhara ya kiafya Kwa binadamu, sayansi inasema hivi Kwa kawaida mke na mume wakikutana kimwili,basi ujue shahawa za kiume huwa zimezoeleka katika tupu ya mwanamke,kwahiyo wale bacteria WA mwanamke ukeni wanafahamiana na bacteria wa mwanaume kwakuwa wameshazeana kila siku,,,,sasa mwanaume mwingine akimuingilia mwanamke huyo,basi bacteria wake wanakuwa wageni au wavamizi, hivyo wale wenyeji wanapambana na hawa viumbe wapya na matokeo yake wengine wanakimbia na kuingia kupitia vitundu vidogo Sana na Kuleta magonjwa ya zinaa,mfano wake ni kama kinga ya mwili inapofanya kazi,vikiingia vimelea wapya Tu mwilini basi mara moja kinga ya mwili inapambana na hao wageni.

Kwahiyo hata mwanaume akiwa na wake wanne maadamu ni yeye pekee ndio ana waingilia hao wake zake basi hakuna madhara ya kiafya,Ila akatokea mwanaume mwengine akaingilia Kati basi hapo madhara yatatokea,,,,na ndio maana hekima ya eda pamoja na kujua kama mwanamke ana mimba lkn pili,kile kipindi cha kama miezi mitatu kupita basi wale bacteria WA mume WA zamani wanapotea na hivyo kumfanya mume mpya kuanza na mfumo wake fresh kabisa,,,huyo ndio Mwenyezi Mungu.
 
Sura hii kama inavyojulikana inahusu vijana wa pangoni....lakini kuna matukio mengine ambayo ni mafunzo tosha katika Maisha yetu ya kila siku,na ndio maana imesisitizwa tuisome kila siku ya ijumaa.

Funzo la Kwanza - siku zote tusitetereke katika kumwabudu Mwenyezi Mungu ambaye ndie WA kweli,tuilinde Imani yetu thabiti na tusiichanganye na ushirikina,,,,kama tulivyoona vijana hawa WA pangoni walikuwa katika jamii ambayo ni watu wachache Sana ndio walimwamini Mungu wa kweli na jamii kubwa ilikuwa inaabudu miungu ya uongo,,,,wakaona ili wasalimike na Imani Yao wakaona Bora waende wakajifiche pangoni kuliko kuiharibu Imani Yao,,,,,na siku zote ukimwamini Mwenyezi Mungu hakika atakulinda,basi Mola wao akawajaalia usingizi ndani ya pango lile na walikaa mule pangoni takribani miaka 309,na baadae akaja kuwaamsha na kukuta jamii ya pale imebadilika na watu wote Wanamwamini Mungu Mmoja,,,,na katika tukio Hilo la kukaa Miaka yote usingizini na kuja kuamshwa, Allah anasema hiyo ni ishara Kwa wale ambao hawaamini hiyo siku ya kiama kuwa hakika IPO na itakuja bilashaka.

Funzo la pili - fitina ya Mali, kuna bwana mmoja alijaaliwa mabustani mawili ambayo katikati yake kuna mito,kulikuwa na mizabibu na mitende na matunda mbali mbali,hakika bustani ilibarikiwa na kusheheni mazao,,,akiwa na mwenzake katika bustani yake,alijigamba kuwa yeye ana Mali nyingi na watoto wengi kuliko huyo mwenzake,na akasema kuwa hadhani kama kiama kitatokea na akaenda mbele zaidi Kwa kusema kuwa hata kikitokea basi atapewa Mali nyingi zaidi ya hizo.Hakika Mali zilimfanya akufuru na kusahau hiyo yote ni neema ya Mola wake,na mwenzake akamwambia Lau kuwa baada ya kuona Mimi Nina Mali kidogo kuliko wewe,basi ungesema hakuna hila wala nguvu isipokuwa Kwa Mwenyezi Mungu na alitakalo huwa,lakini huenda ukajitapa Kwa Mali nyingi na Mola wako akaja futilia mbali bustani yako! Na ndio Hicho kilicho tokea, Mola wake akaleta tufani na kulimalizia mbali shamba lake akabaki kujuta Kwa kauli zake.

Tukijaaliwa Utajiri na Mali basi inatakiwa tumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa neema aliyotujaalia na wala tusikufuru Kwa kuona kuwa Ni ujanja wetu na tuitumie Mali hiyo katika njia yake inayompendeza ili tupate mwisho mwema.

Funzo la Tatu - Cheo au Uongozi,,, hivi vitu ni dhamana hivyo basi hatuna budi kuvitumia Kwa uadilifu Sana,,,hapa tunaonyeshwa Dhurqarnain alikuwa ni mfalme muadilifu Sana alikuwa anatembea maeneo mbali mbali kuwasaidia watu wenye uhitaji,na alitumia Cheo chake Kwa hekima na Busara,,,,alipofika katika vilima viwili aliwakuta watu ambao walitaka msaada dhidi ya yajuju na majuju,hawa walikuwa watu ambao walikuwa wanaleta uharibufu katika ardhi,hivyo Dhurqarnain akaombwa kuwadhibiti hawa watu,basi aliwajengea ukuta wa Chuma na kumimina Shaba juu yake,wale watu wabaya wakashindwa kuukwea ule ukuta,na utakuja kuvunjwa na Mwenyezi Mungu siku ya kiama. Na siku zote mfalme huyu hakumsahau Mola wake,,,,hivyo Kwa dhamana yoyote utakayo pewa basi hekima na Busara viwe sehemu ya Uongozi wako.


Funzo la nne - Ni fitna ya Elimu,,, hapa tunakutana na habari ya Nabii Musa na bwana Khizir. Nabii Musa kwakuwa alikuwa anaongea na Mwenyezi Mungu basi alijiona kuwa yeye ndio binadamu mwenye elimu kubwa zaidi,,,lakini Mola wake akamkutanisha na mja wake mmoja Anaitwa Khizir huyu amejaaliwa elimu zaidi kuliko ya Musa,na anajua mambo yajayo au ya ghaibu,IPO siku nitagusia mambo yake aliyomfundisha Musa,Ila hapa ni kuelezea Tu kuwa Kwa kila mjuzi kuna mjuzi zaidi. Na hata uwe na elimu kiasi gani basi Mwenyezi Mungu ndio mjuzi zaidi,,,kwahiyo tuitumie elimu zetu kuleta faida Kwa jamii zetu.

Ni hayo Tu!
Vijana wa pangoni ni akina Nani
 
Swadakta, hivi huo ukuta ambao aliujenga Dhurqarinain upo Nchi gani mkuu?
Kuna kisa kimoja pia kwenye Quran, Kuna vijana baba yao enzi za uhai wake alikuwa akivuna mazao kwenye mashamba yake huwa anawapa masikini pia, Sasa alivyokufa baba yao wakaapizana kuwa kamwe hawatowapa masikin hata punje ya nafaka,

Basi siku moja wanaongozana kwenda shambani alfajiri Tena wakiambizana kuwa hawatowapa kitu chochote masikini wa huo mji ktk mazao yao,

Basi bwana kufika kwenye shamba lao walihisi labda wamepotea sio hapo😂, kilichotokea Mungu alihamrisha kimbunga usiku kikafyekelea mbali mazao yote.
Ni kweli mkuu,,,Mwenyezi Mungu ndio bingwa wakupindua hila za viumbe wake,alifanya hivyo kuwaadabisha.

Kuhusu huo ukuta upo wapi kama nimesahau hivi,lkn baada ya Dhurqarnain kutoka katika bahari nyeusi ndio akaingia Kwa hao JuJu na majuju, ukijua bahari nyeusi iko wapi utapata picha ya eneo hilo
 
Back
Top Bottom