Mambo matano ya Hayati Rais Magufuli yaliyoshtua Dunia

Mambo matano ya Hayati Rais Magufuli yaliyoshtua Dunia

Qumanina yani Sare za CCM zilikuwa zinafaa kuchukulia mkopo benki benki ipi kwanza? Benki ya mama yko au ya hyo mzee wenu Yani watu km nyie ubongo wenu umejaa makamasi
Njoo ukalie mafinga yangu iringa naona nyegezi umezidiwa na watu mnsegerema wewe maku yomama suzuki!
 
JPM alikua mlaghai sana, mbona yeye alikua anatumia Pacemaker, yaani badala ya kumtegemea Mungu amponye Moyo, yeye alikua anategemea betri ya mzungu imsaidie kusukuma Moyo!! Alafu anajibaraguza kuwa kuvaa barakoa au kutumia chanjo ni kutomtegemea Mungu.

No wonder wafuasi wake wengi ni elimu ndogo.
Nimecheka kama mazuri, lakini uko logical.
 
Umesahau ujinga wake wa Machiavellian politics ukaiingiza nchi migogoro ya uvunjaji mikataba na nchi kushtakiwa kwenye mahakama za kimataifa ambapo nchi iliangukia pua na kupata madeni sababu kule hakuna majaji wa kupigiwa simu kupindisha hukumu

Hivyo njia pekee ni nyie kukamuliwa tozo na kodi zisizo na maana yoyote ili kulipia madeni.

 
1. Acacia
Hayati Rais John Magufuli alipiga marufuku usafirishaji mchanga kutoka machimbo ya madini kwenda nje ya nchi, Hayati Rais Magufuli alisema wawekezaji wamekuwa wakikiuka taratibu kwa muda mrefu na kusema Tanzania imeliwa vya kutosha na kumuagiza waziri wa nishati na madini kusimamia suala hilo, wakati tangazo hilo likitoka hisa za kampuni hiyo zikashuka kwenye soko la dunia.

2. Covid 19
Hayati Rais John Magufuli aliongea akiwa Chato akajibiwa toka Washngton Dc aliuliza iweje chanjo ya Ukimwi inafanyiwa majaribio toka mwaka 1985 lakini chanjo ya Corona imefanyiwa majaribio kwa miezi saba tu? pia akawaondoa hofu Watanzania akisema, "Watu tusitishane, tunatishana mno.

Niwaombe ndugu Wakristo na Watanzania kwa ujumla wa Madhehebu yote, huu ndio wakati mzuri sana wa kumtegemea Mungu kuliko wakati wote, tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kuujenga uchumi wetu, hatuwezi kusalimu amri kwa ugonjwa huu wa Corona na kushindwa kumtegemea Mungu na tukashindwa kuendeleza uchumi wetu" amesema Rais Magufuli.

3. SGR
It is not clear why Magufuli’s government has decided to dangle only 400kms of the SGR on Turkey’s face. Some pundits think some sections of the Tanzania SGR might be considered for the Chinese, given China’s huge influence in the region, and its deep pockets for African governments. But it is also clear that Turkey is still interested in all, or at least some more of the sections.

At the January joint press conference with Magufili, Erdogan described the 400 Km request for funding put to him by the Tanzanians as “too small for me”- probably meaning he (Turkey) could do with some more –or all- sections of the SGR project.

4. Bwawa la Rufiji.
Tanzania ilikataa agizo la UNESCO la kuitaka kusitisha Ujenzi wa mradi wa Stiegler's Gorge katika pori la akiba la selous, Tanzania ilisisitiza uamuzi wake wa kuendelea na mpango wa kujenga mradi mkubwa wa kuzalisha umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge Hydro Power Project) yaliyopo ndani ya pori la akiba la Selous mbele ya wajumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia kutokana na umuhimu wake kwa maendeleo ya Watanzania,

Hayati Rais John Magufuli alitangaza kutekeleza sera ya kujenga uchumi wa viwanda hali itayopelekea kuwa na mahitaji makubwa ya nishati ya umeme hivyo kwa kuzingatia vyanzo vilivyopo imekuwa ni muhimu sasa kufikiria tena ujenzi wa mradi huo kama chanzo kingine muhimu cha nishati kuwezesha kufikia azma hiyo.

Itakumbukwa kuwa mnamo mwaka 1982 wakati pori hili (Selous) limewekwa katika orodha ya maeneo ya urithi wa dunia, Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhifadhi wa Asili (IUCN) liliutambua mradi huo wa Stiegler's Gorge kutokuwa na madhara makubwa katika uharibifu wa mazingira ukizingatia ukubwa wa pori hilo na eneo litakalotumika kujenga mradi huo.

5. CCM
Ujio wa Hayati Rais John Magufuli kama Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama ulileta mabadiliko makubwa ndani ya Chama,moja ya mabadiliko hayo ni ukaguzi wa mali za Chama na kupunguza wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama toka 500 hadi kufikia wajumbe 250.
7.Rais wa kwanza kichaa duniani
 
6.Vitendo vya utekaji vilibuka ghafla na watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha na viroba vyenye miili ya watu vilianza kuokotwa mtoni na kwenye fukwe za bahari,serikali ilitumia nguvu kubwa kuwatafuta watu wasiojulikana waliokuwa wakihusishwa na vitendo hivyo bila mafanikio.
 
1. Acacia
Hayati Rais John Magufuli alipiga marufuku usafirishaji mchanga kutoka machimbo ya madini kwenda nje ya nchi, Hayati Rais Magufuli alisema wawekezaji wamekuwa wakikiuka taratibu kwa muda mrefu na kusema Tanzania imeliwa vya kutosha na kumuagiza waziri wa nishati na madini kusimamia suala hilo, wakati tangazo hilo likitoka hisa za kampuni hiyo zikashuka kwenye soko la dunia.

2. Covid 19
Hayati Rais John Magufuli aliongea akiwa Chato akajibiwa toka Washngton Dc aliuliza iweje chanjo ya Ukimwi inafanyiwa majaribio toka mwaka 1985 lakini chanjo ya Corona imefanyiwa majaribio kwa miezi saba tu? pia akawaondoa hofu Watanzania akisema, "Watu tusitishane, tunatishana mno.

Niwaombe ndugu Wakristo na Watanzania kwa ujumla wa Madhehebu yote, huu ndio wakati mzuri sana wa kumtegemea Mungu kuliko wakati wote, tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kuujenga uchumi wetu, hatuwezi kusalimu amri kwa ugonjwa huu wa Corona na kushindwa kumtegemea Mungu na tukashindwa kuendeleza uchumi wetu" amesema Rais Magufuli.

3. SGR
It is not clear why Magufuli’s government has decided to dangle only 400kms of the SGR on Turkey’s face. Some pundits think some sections of the Tanzania SGR might be considered for the Chinese, given China’s huge influence in the region, and its deep pockets for African governments. But it is also clear that Turkey is still interested in all, or at least some more of the sections.

At the January joint press conference with Magufili, Erdogan described the 400 Km request for funding put to him by the Tanzanians as “too small for me”- probably meaning he (Turkey) could do with some more –or all- sections of the SGR project.

4. Bwawa la Rufiji.
Tanzania ilikataa agizo la UNESCO la kuitaka kusitisha Ujenzi wa mradi wa Stiegler's Gorge katika pori la akiba la selous, Tanzania ilisisitiza uamuzi wake wa kuendelea na mpango wa kujenga mradi mkubwa wa kuzalisha umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge Hydro Power Project) yaliyopo ndani ya pori la akiba la Selous mbele ya wajumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia kutokana na umuhimu wake kwa maendeleo ya Watanzania,

Hayati Rais John Magufuli alitangaza kutekeleza sera ya kujenga uchumi wa viwanda hali itayopelekea kuwa na mahitaji makubwa ya nishati ya umeme hivyo kwa kuzingatia vyanzo vilivyopo imekuwa ni muhimu sasa kufikiria tena ujenzi wa mradi huo kama chanzo kingine muhimu cha nishati kuwezesha kufikia azma hiyo.

Itakumbukwa kuwa mnamo mwaka 1982 wakati pori hili (Selous) limewekwa katika orodha ya maeneo ya urithi wa dunia, Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhifadhi wa Asili (IUCN) liliutambua mradi huo wa Stiegler's Gorge kutokuwa na madhara makubwa katika uharibifu wa mazingira ukizingatia ukubwa wa pori hilo na eneo litakalotumika kujenga mradi huo.

5. CCM
Ujio wa Hayati Rais John Magufuli kama Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama ulileta mabadiliko makubwa ndani ya Chama,moja ya mabadiliko hayo ni ukaguzi wa mali za Chama na kupunguza wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama toka 500 hadi kufikia wajumbe 250.
Huyu ndiye mfano mzuri wa kuigwa [kiuongozi/kutawala pia]na wanasiasa wote waroho na wenye uchu wa madaraka.
Na kwa wale wanaojiona [wanaojiita wasomi],wajifunze maana halisi ya usomi kwa JP.MAGUFULI,kisha wajitathimini.
 
So what, mbona aliruhusu makinikia yasafirishwe, akaruhusu kesi zifanyike tena huko nje sio Tanzania, akawapa wazungu 86% ya hisa za kampuni mpya ya Twiga Minerals. Pia aliyekua VP wa ACACIA ambaye alituaminisha ni fisadi sio tu alimuachia huru ila alimpa na ubunge huko Njombe. Huyu JPM mnamkuza ila hakuna alichobadili kwenye madini. Hata ukuta alipojenga unaambiwa na CAG kuwa wizi ndio uliongezeka maana chanzo hakikua ukuta, kwani walinzi hawahongeki?. Yule jamaa alikua anatumia nguvu kuliko akili.
🥂💐🗼🎁👌👍👊🤝👏🙏
 
1. Acacia
Hayati Rais John Magufuli alipiga marufuku usafirishaji mchanga kutoka machimbo ya madini kwenda nje ya nchi, Hayati Rais Magufuli alisema wawekezaji wamekuwa wakikiuka taratibu kwa muda mrefu na kusema Tanzania imeliwa vya kutosha na kumuagiza waziri wa nishati na madini kusimamia suala hilo, wakati tangazo hilo likitoka hisa za kampuni hiyo zikashuka kwenye soko la dunia.

2. Covid 19
Hayati Rais John Magufuli aliongea akiwa Chato akajibiwa toka Washngton Dc aliuliza iweje chanjo ya Ukimwi inafanyiwa majaribio toka mwaka 1985 lakini chanjo ya Corona imefanyiwa majaribio kwa miezi saba tu? pia akawaondoa hofu Watanzania akisema, "Watu tusitishane, tunatishana mno.

Niwaombe ndugu Wakristo na Watanzania kwa ujumla wa Madhehebu yote, huu ndio wakati mzuri sana wa kumtegemea Mungu kuliko wakati wote, tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kuujenga uchumi wetu, hatuwezi kusalimu amri kwa ugonjwa huu wa Corona na kushindwa kumtegemea Mungu na tukashindwa kuendeleza uchumi wetu" amesema Rais Magufuli.

3. SGR
It is not clear why Magufuli’s government has decided to dangle only 400kms of the SGR on Turkey’s face. Some pundits think some sections of the Tanzania SGR might be considered for the Chinese, given China’s huge influence in the region, and its deep pockets for African governments. But it is also clear that Turkey is still interested in all, or at least some more of the sections.

At the January joint press conference with Magufili, Erdogan described the 400 Km request for funding put to him by the Tanzanians as “too small for me”- probably meaning he (Turkey) could do with some more –or all- sections of the SGR project.

4. Bwawa la Rufiji.
Tanzania ilikataa agizo la UNESCO la kuitaka kusitisha Ujenzi wa mradi wa Stiegler's Gorge katika pori la akiba la selous, Tanzania ilisisitiza uamuzi wake wa kuendelea na mpango wa kujenga mradi mkubwa wa kuzalisha umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge Hydro Power Project) yaliyopo ndani ya pori la akiba la Selous mbele ya wajumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia kutokana na umuhimu wake kwa maendeleo ya Watanzania,

Hayati Rais John Magufuli alitangaza kutekeleza sera ya kujenga uchumi wa viwanda hali itayopelekea kuwa na mahitaji makubwa ya nishati ya umeme hivyo kwa kuzingatia vyanzo vilivyopo imekuwa ni muhimu sasa kufikiria tena ujenzi wa mradi huo kama chanzo kingine muhimu cha nishati kuwezesha kufikia azma hiyo.

Itakumbukwa kuwa mnamo mwaka 1982 wakati pori hili (Selous) limewekwa katika orodha ya maeneo ya urithi wa dunia, Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhifadhi wa Asili (IUCN) liliutambua mradi huo wa Stiegler's Gorge kutokuwa na madhara makubwa katika uharibifu wa mazingira ukizingatia ukubwa wa pori hilo na eneo litakalotumika kujenga mradi huo.

5. CCM
Ujio wa Hayati Rais John Magufuli kama Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama ulileta mabadiliko makubwa ndani ya Chama,moja ya mabadiliko hayo ni ukaguzi wa mali za Chama na kupunguza wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama toka 500 hadi kufikia wajumbe 250.
.

Alijuwa pia kuwa 80% ya Watanzania ni wajinga, yaani hawana uwezo wa kuchambua ukweli na uwongo, hivyo basi kila alichosema wakakiamini na wanakiamini hadi leo. Kuna wajinga wanaamini eti aliishinda COVID-19 wakati yeye mwenyewe na akina Kikazi wamekufa kwa COVID-19 kwa jinsi walivyoipuuza.

Magufuli amefanya UFISADI mkubwa sana na kikundi cha wateule wake wachache lakini bado Watanzania wanamuona ni "shujaa" licha ya CAG kuonyesha discrepancies kubwa kwenye Ripoti ya 2020/21.

Magufuli aliiba mpaka uchaguzi wa vitongoji wa 2019 na uchaguzi Mkuu wote still watu wamesahau wanasema eti alikuwa mzalendo.

Kuna maeneo alisema kwa kuwa walichagua wapinzani basi hapeleki miradi ya maendeleo, nako kuna wajinga wakiambiwa eti mafuta yamepanda bei, wanasema angekuwako Magufuli yasingepanda.

No doubt Magufuli alimaster sana the art of propaganda. Alizishika media zote, hadi za nje kuna wakati ikatangazwa kwamba hazipaswi kurusha maudhui ya ndani bila kibali.

Media zote nchi, binafsi na zile za serikali hadi zile ambazo ziko tu online ambazo hazina usajili wa serikali zilijaa woga kumtaja Magufuli katika namna ambayo isingempendeza. Media nchini ziliimba mapambio ya kumsifu na kumtukuza mawizo mpaka machweo.

Propaganda za Magufuli zinanikumbusha propaganda za Adolf Hilter, Joseph Stalin na Mao Ze Dong. Hawa watu walikuwa na uwezo mkubwa sana wa kuaminisha mambo ambayo hayapo, walikuwa na uwezo wa kupandikiza nadharia zao na imani zao juu ya kadamnasi na ikaamini vivyo, huku nyuma ya pazia wakiwa na mauzauza yao kibao.

Magufuli alitupiga wapi? Kwanza alijifanya Rais wa wanyonge, akijua kwamba watanzania wengi over 40% tuko chini ya mstari wa umasikini wa $1 kwa siku, masikini wengi tulimpenda sana tukidhani ni mwenzetu lakini katu, hakuwa mwenzetu, JPM alikuwa tajiri sana.

Magufuli alijua kwamba watanzania hatupendi mafisadi, wengi tunadhani umasikini wetu kuna watu wanatuibia serikalini. JPM akaona atangaze nao vita kali, tukamsahau yeye ambaye alijilimbikizia mali nyingi sana, huku tukijua kwamba anapambana na mafisadi kwa ajili yetu, kumbe ni kwa ajili yake kwani kila alipotaifisha mali zao, zikawa zake na jamaa zake.

JPM master the art of public manipulation. Kwenye ziara zake alisimama barabarani, alizungumza na watu, akatoa fedha hadharani kwa watu wa hali ya chini, alitembelea hospitali na kutoa misaada hadharani kwa watu waliokuwa na hali ngumu huku kila media ikimulika. Vitendo vile vimewalevya wengi kudhani kwamba JPM was saviour, tukasahau kabisa na yeye ni mwanadamu mwenye tamaa na uchu, aliweza kufanya chochote pasi nasi kujua kuwa mali zetu zinaibwa na kuwekezwa kwenye hotels zake, real estate, mashamba na kuficha fedha nje ya nchi. Mtoto wa dada yake, aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya fedha Dotto James alifanya kazi kubwa sana kusafirisha fedha za mjomba wake nje.

Naona leo wakimkumbuka sana. Nasikitika sana kuona wengi wakimkumbuka JPM pasi na wao kujua kwamba bado wamo kwenye dimbwi la mning'inio wa propaganda za JMP. Ila kama tungejua uozo na madudu aliyofanya nyuma ya pazi, pengine tungezinduka kutoka kwenye hangover hiyo. Tuishie hapo.
 
.

Alijuwa pia kuwa 80% ya Watanzania ni wajinga, yaani hawana uwezo wa kuchambua ukweli na uwongo, hivyo basi kila alichosema wakakiamini na wanakiamini hadi leo. Kuna wajinga wanaamini eti aliishinda COVID-19 wakati yeye mwenyewe na akina Kikazi wamekufa kwa COVID-19 kwa jinsi walivyoipuuza.

Magufuli amefanya UFISADI mkubwa sana na kikundi cha wateule wake wachache lakini bado Watanzania wanamuona ni "shujaa" licha ya CAG kuonyesha discrepancies kubwa kwenye Ripoti ya 2020/21.

Magufuli aliiba mpaka uchaguzi wa vitongoji wa 2019 na uchaguzi Mkuu wote still watu wamesahau wanasema eti alikuwa mzalendo.

Kuna maeneo alisema kwa kuwa walichagua wapinzani basi hapeleki miradi ya maendeleo, nako kuna wajinga wakiambiwa eti mafuta yamepanda bei, wanasema angekuwako Magufuli yasingepanda.

No doubt Magufuli alimaster sana the art of propaganda. Alizishika media zote, hadi za nje kuna wakati ikatangazwa kwamba hazipaswi kurusha maudhui ya ndani bila kibali.

Media zote nchi, binafsi na zile za serikali hadi zile ambazo ziko tu online ambazo hazina usajili wa serikali zilijaa woga kumtaja Magufuli katika namna ambayo isingempendeza. Media nchini ziliimba mapambio ya kumsifu na kumtukuza mawizo mpaka machweo.

Propaganda za Magufuli zinanikumbusha propaganda za Adolf Hilter, Joseph Stalin na Mao Ze Dong. Hawa watu walikuwa na uwezo mkubwa sana wa kuaminisha mambo ambayo hayapo, walikuwa na uwezo wa kupandikiza nadharia zao na imani zao juu ya kadamnasi na ikaamini vivyo, huku nyuma ya pazia wakiwa na mauzauza yao kibao.

Magufuli alitupiga wapi? Kwanza alijifanya Rais wa wanyonge, akijua kwamba watanzania wengi over 40% tuko chini ya mstari wa umasikini wa $1 kwa siku, masikini wengi tulimpenda sana tukidhani ni mwenzetu lakini katu, hakuwa mwenzetu, JPM alikuwa tajiri sana.

Magufuli alijua kwamba watanzania hatupendi mafisadi, wengi tunadhani umasikini wetu kuna watu wanatuibia serikalini. JPM akaona atangaze nao vita kali, tukamsahau yeye ambaye alijilimbikizia mali nyingi sana, huku tukijua kwamba anapambana na mafisadi kwa ajili yetu, kumbe ni kwa ajili yake kwani kila alipotaifisha mali zao, zikawa zake na jamaa zake.

JPM master the art of public manipulation. Kwenye ziara zake alisimama barabarani, alizungumza na watu, akatoa fedha hadharani kwa watu wa hali ya chini, alitembelea hospitali na kutoa misaada hadharani kwa watu waliokuwa na hali ngumu huku kila media ikimulika. Vitendo vile vimewalevya wengi kudhani kwamba JPM was saviour, tukasahau kabisa na yeye ni mwanadamu mwenye tamaa na uchu, aliweza kufanya chochote pasi nasi kujua kuwa mali zetu zinaibwa na kuwekezwa kwenye hotels zake, real estate, mashamba na kuficha fedha nje ya nchi. Mtoto wa dada yake, aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya fedha Dotto James alifanya kazi kubwa sana kusafirisha fedha za mjomba wake nje.

Naona leo wakimkumbuka sana. Nasikitika sana kuona wengi wakimkumbuka JPM pasi na wao kujua kwamba bado wamo kwenye dimbwi la mning'inio wa propaganda za JMP. Ila kama tungejua uozo na madudu aliyofanya nyuma ya pazi, pengine tungezinduka kutoka kwenye hangover hiyo. Tuishie hapo.
Wewe ni miongoni mwa wachache sana kati ya wengi waliomkubali na kumhitaji JPM,Msiba wake uliudhihirishia ulimwengu hivyo.Matukio ya kutekwa na kupotea kwa watu,ilianza na kushamiri utawala wa awamu ya4 na hata kwenye awamu hii [ya 6]pia yamekuwepo na yataendelea kuwepo ikiwa serikali haita dhamiria kukomesha.Hoja ya msingi hapa ni kuwa ,huyu MAMA/BIBI haeleweki,hakubaliki na haitajiki tena.
 
Wewe ni miongoni mwa wachache sana kati ya wengi waliomkubali na kumhitaji JPM,Msiba wake uliudhihirishia ulimwengu hivyo.Matukio ya kutekwa na kupotea kwa watu,ilianza na kushamiri utawala wa awamu ya4 na hata kwenye awamu hii [ya 6]pia yamekuwepo na yataendelea kuwepo ikiwa serikali haita dhamiria kukomesha.Hoja ya msingi hapa ni kuwa ,huyu MAMA/BIBI haeleweki,hakubaliki na haitajiki tena.
Eti msiba wake ulidhihirisha ulimwengu kuwa wanamkubali? My foot. Watu walijaa kwenda kujidhihirishia kuwa DIKTETA kweli amekufa??

Kama humuelewi Mama au humkubali kasage chupa unywe, ufe tukuzike karibu na JPM
 
1. Acacia
Hayati Rais John Magufuli alipiga marufuku usafirishaji mchanga kutoka machimbo ya madini kwenda nje ya nchi, Hayati Rais Magufuli alisema wawekezaji wamekuwa wakikiuka taratibu kwa muda mrefu na kusema Tanzania imeliwa vya kutosha na kumuagiza waziri wa nishati na madini kusimamia suala hilo, wakati tangazo hilo likitoka hisa za kampuni hiyo zikashuka kwenye soko la dunia.

2. Covid 19
Hayati Rais John Magufuli aliongea akiwa Chato akajibiwa toka Washngton Dc aliuliza iweje chanjo ya Ukimwi inafanyiwa majaribio toka mwaka 1985 lakini chanjo ya Corona imefanyiwa majaribio kwa miezi saba tu? pia akawaondoa hofu Watanzania akisema, "Watu tusitishane, tunatishana mno.

Niwaombe ndugu Wakristo na Watanzania kwa ujumla wa Madhehebu yote, huu ndio wakati mzuri sana wa kumtegemea Mungu kuliko wakati wote, tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kuujenga uchumi wetu, hatuwezi kusalimu amri kwa ugonjwa huu wa Corona na kushindwa kumtegemea Mungu na tukashindwa kuendeleza uchumi wetu" amesema Rais Magufuli.

3. SGR
It is not clear why Magufuli’s government has decided to dangle only 400kms of the SGR on Turkey’s face. Some pundits think some sections of the Tanzania SGR might be considered for the Chinese, given China’s huge influence in the region, and its deep pockets for African governments. But it is also clear that Turkey is still interested in all, or at least some more of the sections.

At the January joint press conference with Magufili, Erdogan described the 400 Km request for funding put to him by the Tanzanians as “too small for me”- probably meaning he (Turkey) could do with some more –or all- sections of the SGR project.

4. Bwawa la Rufiji.
Tanzania ilikataa agizo la UNESCO la kuitaka kusitisha Ujenzi wa mradi wa Stiegler's Gorge katika pori la akiba la selous, Tanzania ilisisitiza uamuzi wake wa kuendelea na mpango wa kujenga mradi mkubwa wa kuzalisha umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge Hydro Power Project) yaliyopo ndani ya pori la akiba la Selous mbele ya wajumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia kutokana na umuhimu wake kwa maendeleo ya Watanzania,

Hayati Rais John Magufuli alitangaza kutekeleza sera ya kujenga uchumi wa viwanda hali itayopelekea kuwa na mahitaji makubwa ya nishati ya umeme hivyo kwa kuzingatia vyanzo vilivyopo imekuwa ni muhimu sasa kufikiria tena ujenzi wa mradi huo kama chanzo kingine muhimu cha nishati kuwezesha kufikia azma hiyo.

Itakumbukwa kuwa mnamo mwaka 1982 wakati pori hili (Selous) limewekwa katika orodha ya maeneo ya urithi wa dunia, Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhifadhi wa Asili (IUCN) liliutambua mradi huo wa Stiegler's Gorge kutokuwa na madhara makubwa katika uharibifu wa mazingira ukizingatia ukubwa wa pori hilo na eneo litakalotumika kujenga mradi huo.

5. CCM
Ujio wa Hayati Rais John Magufuli kama Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama ulileta mabadiliko makubwa ndani ya Chama,moja ya mabadiliko hayo ni ukaguzi wa mali za Chama na kupunguza wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama toka 500 hadi kufikia wajumbe 250.
Alimfukuza CAG baada ya ukaguzi kugundua tri.4 hazionekani

Nilichogundua Hakupenda awepo mwinzi zaidi yake
 
JPM alikua mlaghai sana, mbona yeye alikua anatumia Pacemaker, yaani badala ya kumtegemea Mungu amponye Moyo, yeye alikua anategemea betri ya mzungu imsaidie kusukuma Moyo!! Alafu anajibaraguza kuwa kuvaa barakoa au kutumia chanjo ni kutomtegemea Mungu.

No wonder wafuasi wake wengi ni elimu ndogo.
Pacemaker was a myth. He had no peacemaker.
 
Back
Top Bottom