Mambo matano ya Hayati Rais Magufuli yaliyoshtua Dunia

Mambo matano ya Hayati Rais Magufuli yaliyoshtua Dunia

Hayati Rais John Magufuli alitangaza kutekeleza sera ya kujenga uchumi wa viwanda hali itayopelekea kuwa na mahitaji makubwa ya nishati ya umeme hivyo kwa kuzingatia vyanzo vilivyopo imekuwa ni muhimu sasa kufikiria tena ujenzi wa mradi huo kama chanzo kingine muhimu cha nishati kuwezesha kufikia azma hiyo.
Alisema maneno na kutekeleza kwa vitendo. Mwamba aliweza sana.
 
Huyu kila alipokua na ziara nilikua nafuatilia sana ataongea nn, toka nijitambue jiwe ndo rais pekee aliyenifanya nimfuatilie kila atakapoonekana.

Nashangaa saiv hata sinaga habar na kumfuatilia rais
 
1. Acacia
Hayati Rais John Magufuli alipiga marufuku usafirishaji mchanga kutoka machimbo ya madini kwenda nje ya nchi, Hayati Rais Magufuli alisema wawekezaji wamekuwa wakikiuka taratibu kwa muda mrefu na kusema Tanzania imeliwa vya kutosha na kumuagiza waziri wa nishati na madini kusimamia suala hilo, wakati tangazo hilo likitoka hisa za kampuni hiyo zikashuka kwenye soko la dunia.

2. Covid 19
Hayati Rais John Magufuli aliongea akiwa Chato akajibiwa toka Washngton Dc aliuliza iweje chanjo ya Ukimwi inafanyiwa majaribio toka mwaka 1985 lakini chanjo ya Corona imefanyiwa majaribio kwa miezi saba tu? pia akawaondoa hofu Watanzania akisema, "Watu tusitishane, tunatishana mno.

Niwaombe ndugu Wakristo na Watanzania kwa ujumla wa Madhehebu yote, huu ndio wakati mzuri sana wa kumtegemea Mungu kuliko wakati wote, tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kuujenga uchumi wetu, hatuwezi kusalimu amri kwa ugonjwa huu wa Corona na kushindwa kumtegemea Mungu na tukashindwa kuendeleza uchumi wetu" amesema Rais Magufuli.

3. SGR
It is not clear why Magufuli’s government has decided to dangle only 400kms of the SGR on Turkey’s face. Some pundits think some sections of the Tanzania SGR might be considered for the Chinese, given China’s huge influence in the region, and its deep pockets for African governments. But it is also clear that Turkey is still interested in all, or at least some more of the sections.

At the January joint press conference with Magufili, Erdogan described the 400 Km request for funding put to him by the Tanzanians as “too small for me”- probably meaning he (Turkey) could do with some more –or all- sections of the SGR project.

4. Bwawa la Rufiji.
Tanzania ilikataa agizo la UNESCO la kuitaka kusitisha Ujenzi wa mradi wa Stiegler's Gorge katika pori la akiba la selous, Tanzania ilisisitiza uamuzi wake wa kuendelea na mpango wa kujenga mradi mkubwa wa kuzalisha umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge Hydro Power Project) yaliyopo ndani ya pori la akiba la Selous mbele ya wajumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia kutokana na umuhimu wake kwa maendeleo ya Watanzania,

Hayati Rais John Magufuli alitangaza kutekeleza sera ya kujenga uchumi wa viwanda hali itayopelekea kuwa na mahitaji makubwa ya nishati ya umeme hivyo kwa kuzingatia vyanzo vilivyopo imekuwa ni muhimu sasa kufikiria tena ujenzi wa mradi huo kama chanzo kingine muhimu cha nishati kuwezesha kufikia azma hiyo.

Itakumbukwa kuwa mnamo mwaka 1982 wakati pori hili (Selous) limewekwa katika orodha ya maeneo ya urithi wa dunia, Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhifadhi wa Asili (IUCN) liliutambua mradi huo wa Stiegler's Gorge kutokuwa na madhara makubwa katika uharibifu wa mazingira ukizingatia ukubwa wa pori hilo na eneo litakalotumika kujenga mradi huo.

5. CCM
Ujio wa Hayati Rais John Magufuli kama Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama ulileta mabadiliko makubwa ndani ya Chama,moja ya mabadiliko hayo ni ukaguzi wa mali za Chama na kupunguza wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama toka 500 hadi kufikia wajumbe 250.
Huyu jamaa aliowabeba ndio waliomkatisha tamaa. Waliishia kununua magari na kuhonga wanawake badala ya kufungua biashara na kufanya uwekezaji. Alifungua hadi uuzaji wa viwanja venye maji na umeme chato lakini hawakumpa support. Usiwabebe watu kwa sababu ni kabila lako au ndugu zako. Mbebe mtu kwa sababu unaona matokeo ya ushirikiano wenu katika upambanaji.
 
Namba moja hapo lilimbumia, alibana mwishowe mwenyewe akawachia baada ya watu kuminya kidogo tu.
. La pili, ka covid 19 nilimsifu msimamo wake.
 
Magufuri alikua ni Zaidi ya Rais yule alikua Moster sio binadamu wa kawaida alifanya mambo mengi mno alifanya nione wanasiasa kwamba kia ni wachumia tumbo
 
Mke, watoto, dereva wa Lisu wote ni raia wa Marekani! Aende akashinde huko USA.

Tanzania hatutaki wanafiki.

#tutashitakiwa MIGA
Mnafiki ni mamako ,aliyekuzaa nje ya ndoa na hajasema , kwa iyo lissu aliwezaje kugombea urais wa Nchi akiwa ni raia wa marekan? Na huku ulikua raia ambaye si mtanzania haruhusiw kugombea ? Umekaaje kmya lisuu kumikik nyumba na aridhi tz wakat sio mtanzania na sio mwekezaji wa kigeni? Kwa nn umekua kmya akipita kila wilaya kupiga kampein za kuinanga serikali yake na sio mtanzania?
 
1. Acacia
Hayati Rais John Magufuli alipiga marufuku usafirishaji mchanga kutoka machimbo ya madini kwenda nje ya nchi, Hayati Rais Magufuli alisema wawekezaji wamekuwa wakikiuka taratibu kwa muda mrefu na kusema Tanzania imeliwa vya kutosha na kumuagiza waziri wa nishati na madini kusimamia suala hilo, wakati tangazo hilo likitoka hisa za kampuni hiyo zikashuka kwenye soko la dunia.

2. Covid 19
Hayati Rais John Magufuli aliongea akiwa Chato akajibiwa toka Washngton Dc aliuliza iweje chanjo ya Ukimwi inafanyiwa majaribio toka mwaka 1985 lakini chanjo ya Corona imefanyiwa majaribio kwa miezi saba tu? pia akawaondoa hofu Watanzania akisema, "Watu tusitishane, tunatishana mno.

Niwaombe ndugu Wakristo na Watanzania kwa ujumla wa Madhehebu yote, huu ndio wakati mzuri sana wa kumtegemea Mungu kuliko wakati wote, tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kuujenga uchumi wetu, hatuwezi kusalimu amri kwa ugonjwa huu wa Corona na kushindwa kumtegemea Mungu na tukashindwa kuendeleza uchumi wetu" amesema Rais Magufuli.

3. SGR
It is not clear why Magufuli’s government has decided to dangle only 400kms of the SGR on Turkey’s face. Some pundits think some sections of the Tanzania SGR might be considered for the Chinese, given China’s huge influence in the region, and its deep pockets for African governments. But it is also clear that Turkey is still interested in all, or at least some more of the sections.

At the January joint press conference with Magufili, Erdogan described the 400 Km request for funding put to him by the Tanzanians as “too small for me”- probably meaning he (Turkey) could do with some more –or all- sections of the SGR project.

4. Bwawa la Rufiji.
Tanzania ilikataa agizo la UNESCO la kuitaka kusitisha Ujenzi wa mradi wa Stiegler's Gorge katika pori la akiba la selous, Tanzania ilisisitiza uamuzi wake wa kuendelea na mpango wa kujenga mradi mkubwa wa kuzalisha umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge Hydro Power Project) yaliyopo ndani ya pori la akiba la Selous mbele ya wajumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia kutokana na umuhimu wake kwa maendeleo ya Watanzania,

Hayati Rais John Magufuli alitangaza kutekeleza sera ya kujenga uchumi wa viwanda hali itayopelekea kuwa na mahitaji makubwa ya nishati ya umeme hivyo kwa kuzingatia vyanzo vilivyopo imekuwa ni muhimu sasa kufikiria tena ujenzi wa mradi huo kama chanzo kingine muhimu cha nishati kuwezesha kufikia azma hiyo.

Itakumbukwa kuwa mnamo mwaka 1982 wakati pori hili (Selous) limewekwa katika orodha ya maeneo ya urithi wa dunia, Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhifadhi wa Asili (IUCN) liliutambua mradi huo wa Stiegler's Gorge kutokuwa na madhara makubwa katika uharibifu wa mazingira ukizingatia ukubwa wa pori hilo na eneo litakalotumika kujenga mradi huo.

5. CCM
Ujio wa Hayati Rais John Magufuli kama Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama ulileta mabadiliko makubwa ndani ya Chama,moja ya mabadiliko hayo ni ukaguzi wa mali za Chama na kupunguza wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama toka 500 hadi kufikia wajumbe 250.
6. Kuwachakaza magaidi wa kibiti , rufoji na mkuranga hio ndio namba 1 kwa uzito
 
1. Acacia
Hayati Rais John Magufuli alipiga marufuku usafirishaji mchanga kutoka machimbo ya madini kwenda nje ya nchi, Hayati Rais Magufuli alisema wawekezaji wamekuwa wakikiuka taratibu kwa muda mrefu na kusema Tanzania imeliwa vya kutosha na kumuagiza waziri wa nishati na madini kusimamia suala hilo, wakati tangazo hilo likitoka hisa za kampuni hiyo zikashuka kwenye soko la dunia.

2. Covid 19
Hayati Rais John Magufuli aliongea akiwa Chato akajibiwa toka Washngton Dc aliuliza iweje chanjo ya Ukimwi inafanyiwa majaribio toka mwaka 1985 lakini chanjo ya Corona imefanyiwa majaribio kwa miezi saba tu? pia akawaondoa hofu Watanzania akisema, "Watu tusitishane, tunatishana mno.

Niwaombe ndugu Wakristo na Watanzania kwa ujumla wa Madhehebu yote, huu ndio wakati mzuri sana wa kumtegemea Mungu kuliko wakati wote, tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kuujenga uchumi wetu, hatuwezi kusalimu amri kwa ugonjwa huu wa Corona na kushindwa kumtegemea Mungu na tukashindwa kuendeleza uchumi wetu" amesema Rais Magufuli.

3. SGR
It is not clear why Magufuli’s government has decided to dangle only 400kms of the SGR on Turkey’s face. Some pundits think some sections of the Tanzania SGR might be considered for the Chinese, given China’s huge influence in the region, and its deep pockets for African governments. But it is also clear that Turkey is still interested in all, or at least some more of the sections.

At the January joint press conference with Magufili, Erdogan described the 400 Km request for funding put to him by the Tanzanians as “too small for me”- probably meaning he (Turkey) could do with some more –or all- sections of the SGR project.

4. Bwawa la Rufiji.
Tanzania ilikataa agizo la UNESCO la kuitaka kusitisha Ujenzi wa mradi wa Stiegler's Gorge katika pori la akiba la selous, Tanzania ilisisitiza uamuzi wake wa kuendelea na mpango wa kujenga mradi mkubwa wa kuzalisha umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge Hydro Power Project) yaliyopo ndani ya pori la akiba la Selous mbele ya wajumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia kutokana na umuhimu wake kwa maendeleo ya Watanzania,

Hayati Rais John Magufuli alitangaza kutekeleza sera ya kujenga uchumi wa viwanda hali itayopelekea kuwa na mahitaji makubwa ya nishati ya umeme hivyo kwa kuzingatia vyanzo vilivyopo imekuwa ni muhimu sasa kufikiria tena ujenzi wa mradi huo kama chanzo kingine muhimu cha nishati kuwezesha kufikia azma hiyo.

Itakumbukwa kuwa mnamo mwaka 1982 wakati pori hili (Selous) limewekwa katika orodha ya maeneo ya urithi wa dunia, Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhifadhi wa Asili (IUCN) liliutambua mradi huo wa Stiegler's Gorge kutokuwa na madhara makubwa katika uharibifu wa mazingira ukizingatia ukubwa wa pori hilo na eneo litakalotumika kujenga mradi huo.

5. CCM
Ujio wa Hayati Rais John Magufuli kama Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama ulileta mabadiliko makubwa ndani ya Chama,moja ya mabadiliko hayo ni ukaguzi wa mali za Chama na kupunguza wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama toka 500 hadi kufikia wajumbe 250.
Uchambuzi safi sana.
 
1. Acacia
Hayati Rais John Magufuli alipiga marufuku usafirishaji mchanga kutoka machimbo ya madini kwenda nje ya nchi, Hayati Rais Magufuli alisema wawekezaji wamekuwa wakikiuka taratibu kwa muda mrefu na kusema Tanzania imeliwa vya kutosha na kumuagiza waziri wa nishati na madini kusimamia suala hilo, wakati tangazo hilo likitoka hisa za kampuni hiyo zikashuka kwenye soko la dunia.

2. Covid 19
Hayati Rais John Magufuli aliongea akiwa Chato akajibiwa toka Washngton Dc aliuliza iweje chanjo ya Ukimwi inafanyiwa majaribio toka mwaka 1985 lakini chanjo ya Corona imefanyiwa majaribio kwa miezi saba tu? pia akawaondoa hofu Watanzania akisema, "Watu tusitishane, tunatishana mno.

Niwaombe ndugu Wakristo na Watanzania kwa ujumla wa Madhehebu yote, huu ndio wakati mzuri sana wa kumtegemea Mungu kuliko wakati wote, tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kuujenga uchumi wetu, hatuwezi kusalimu amri kwa ugonjwa huu wa Corona na kushindwa kumtegemea Mungu na tukashindwa kuendeleza uchumi wetu" amesema Rais Magufuli.

3. SGR
It is not clear why Magufuli’s government has decided to dangle only 400kms of the SGR on Turkey’s face. Some pundits think some sections of the Tanzania SGR might be considered for the Chinese, given China’s huge influence in the region, and its deep pockets for African governments. But it is also clear that Turkey is still interested in all, or at least some more of the sections.

At the January joint press conference with Magufili, Erdogan described the 400 Km request for funding put to him by the Tanzanians as “too small for me”- probably meaning he (Turkey) could do with some more –or all- sections of the SGR project.

4. Bwawa la Rufiji.
Tanzania ilikataa agizo la UNESCO la kuitaka kusitisha Ujenzi wa mradi wa Stiegler's Gorge katika pori la akiba la selous, Tanzania ilisisitiza uamuzi wake wa kuendelea na mpango wa kujenga mradi mkubwa wa kuzalisha umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge Hydro Power Project) yaliyopo ndani ya pori la akiba la Selous mbele ya wajumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia kutokana na umuhimu wake kwa maendeleo ya Watanzania,

Hayati Rais John Magufuli alitangaza kutekeleza sera ya kujenga uchumi wa viwanda hali itayopelekea kuwa na mahitaji makubwa ya nishati ya umeme hivyo kwa kuzingatia vyanzo vilivyopo imekuwa ni muhimu sasa kufikiria tena ujenzi wa mradi huo kama chanzo kingine muhimu cha nishati kuwezesha kufikia azma hiyo.

Itakumbukwa kuwa mnamo mwaka 1982 wakati pori hili (Selous) limewekwa katika orodha ya maeneo ya urithi wa dunia, Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhifadhi wa Asili (IUCN) liliutambua mradi huo wa Stiegler's Gorge kutokuwa na madhara makubwa katika uharibifu wa mazingira ukizingatia ukubwa wa pori hilo na eneo litakalotumika kujenga mradi huo.

5. CCM
Ujio wa Hayati Rais John Magufuli kama Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama ulileta mabadiliko makubwa ndani ya Chama,moja ya mabadiliko hayo ni ukaguzi wa mali za Chama na kupunguza wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama toka 500 hadi kufikia wajumbe 250.
Hayo yote kina kinana huenda wamebadili. Kuhusu wajumbe wa halmashauri kuu ilikua kitu cha kwanza kurudisha wajumbe 500 badala 250. Wamewaruhusu tena watendaji kushiriki vikao na kupiga kura jambo sio demokrasia na linaongeza gharama. Mali za chama bila shaka wako njiani kuona jinsi ya kurudishiana mali walipora ccm na zikarudishwa. Ila sins hakika kama hawafisidi mali za chama. Binafsi nachukizwa sana kuona watu waliyompinga magufuli na kumkejeli kupewa kuongoza ccm. Kwa hili mama lazima alipe.
 
1. Acacia
Hayati Rais John Magufuli alipiga marufuku usafirishaji mchanga kutoka machimbo ya madini kwenda nje ya nchi, Hayati Rais Magufuli alisema wawekezaji wamekuwa wakikiuka taratibu kwa muda mrefu na kusema Tanzania imeliwa vya kutosha na kumuagiza waziri wa nishati na madini kusimamia suala hilo, wakati tangazo hilo likitoka hisa za kampuni hiyo zikashuka kwenye soko la dunia.

2. Covid 19
Hayati Rais John Magufuli aliongea akiwa Chato akajibiwa toka Washngton Dc aliuliza iweje chanjo ya Ukimwi inafanyiwa majaribio toka mwaka 1985 lakini chanjo ya Corona imefanyiwa majaribio kwa miezi saba tu? pia akawaondoa hofu Watanzania akisema, "Watu tusitishane, tunatishana mno.

Niwaombe ndugu Wakristo na Watanzania kwa ujumla wa Madhehebu yote, huu ndio wakati mzuri sana wa kumtegemea Mungu kuliko wakati wote, tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kuujenga uchumi wetu, hatuwezi kusalimu amri kwa ugonjwa huu wa Corona na kushindwa kumtegemea Mungu na tukashindwa kuendeleza uchumi wetu" amesema Rais Magufuli.

3. SGR
It is not clear why Magufuli’s government has decided to dangle only 400kms of the SGR on Turkey’s face. Some pundits think some sections of the Tanzania SGR might be considered for the Chinese, given China’s huge influence in the region, and its deep pockets for African governments. But it is also clear that Turkey is still interested in all, or at least some more of the sections.

At the January joint press conference with Magufili, Erdogan described the 400 Km request for funding put to him by the Tanzanians as “too small for me”- probably meaning he (Turkey) could do with some more –or all- sections of the SGR project.

4. Bwawa la Rufiji.
Tanzania ilikataa agizo la UNESCO la kuitaka kusitisha Ujenzi wa mradi wa Stiegler's Gorge katika pori la akiba la selous, Tanzania ilisisitiza uamuzi wake wa kuendelea na mpango wa kujenga mradi mkubwa wa kuzalisha umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge Hydro Power Project) yaliyopo ndani ya pori la akiba la Selous mbele ya wajumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia kutokana na umuhimu wake kwa maendeleo ya Watanzania,

Hayati Rais John Magufuli alitangaza kutekeleza sera ya kujenga uchumi wa viwanda hali itayopelekea kuwa na mahitaji makubwa ya nishati ya umeme hivyo kwa kuzingatia vyanzo vilivyopo imekuwa ni muhimu sasa kufikiria tena ujenzi wa mradi huo kama chanzo kingine muhimu cha nishati kuwezesha kufikia azma hiyo.

Itakumbukwa kuwa mnamo mwaka 1982 wakati pori hili (Selous) limewekwa katika orodha ya maeneo ya urithi wa dunia, Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhifadhi wa Asili (IUCN) liliutambua mradi huo wa Stiegler's Gorge kutokuwa na madhara makubwa katika uharibifu wa mazingira ukizingatia ukubwa wa pori hilo na eneo litakalotumika kujenga mradi huo.

5. CCM
Ujio wa Hayati Rais John Magufuli kama Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama ulileta mabadiliko makubwa ndani ya Chama,moja ya mabadiliko hayo ni ukaguzi wa mali za Chama na kupunguza wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama toka 500 hadi kufikia wajumbe 250.
Labda dunia hii ya tatu( 3rd world countries)
 
Siku zake za mwishoni akiwa pale mbezi alipolalamikiwa suala la bei ya 500 kwenye choo cha stand akasema “ Kama hutaki kutoa 500 baki na mavi yako”...😜🤣
 
Pacemaker was a myth. He had no peacemaker.
Zemanda soma hapa
Screenshot_20240917_084251_Google.jpg
Screenshot_20240917_084738_Facebook.jpg
Au soma na uzi huu:-
 
1. Acacia
Hayati Rais John Magufuli alipiga marufuku usafirishaji mchanga kutoka machimbo ya madini kwenda nje ya nchi, Hayati Rais Magufuli alisema wawekezaji wamekuwa wakikiuka taratibu kwa muda mrefu na kusema Tanzania imeliwa vya kutosha na kumuagiza waziri wa nishati na madini kusimamia suala hilo, wakati tangazo hilo likitoka hisa za kampuni hiyo zikashuka kwenye soko la dunia.

2. Covid 19
Hayati Rais John Magufuli aliongea akiwa Chato akajibiwa toka Washngton Dc aliuliza iweje chanjo ya Ukimwi inafanyiwa majaribio toka mwaka 1985 lakini chanjo ya Corona imefanyiwa majaribio kwa miezi saba tu? pia akawaondoa hofu Watanzania akisema, "Watu tusitishane, tunatishana mno.

Niwaombe ndugu Wakristo na Watanzania kwa ujumla wa Madhehebu yote, huu ndio wakati mzuri sana wa kumtegemea Mungu kuliko wakati wote, tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kuujenga uchumi wetu, hatuwezi kusalimu amri kwa ugonjwa huu wa Corona na kushindwa kumtegemea Mungu na tukashindwa kuendeleza uchumi wetu" amesema Rais Magufuli.

3. SGR
It is not clear why Magufuli’s government has decided to dangle only 400kms of the SGR on Turkey’s face. Some pundits think some sections of the Tanzania SGR might be considered for the Chinese, given China’s huge influence in the region, and its deep pockets for African governments. But it is also clear that Turkey is still interested in all, or at least some more of the sections.

At the January joint press conference with Magufili, Erdogan described the 400 Km request for funding put to him by the Tanzanians as “too small for me”- probably meaning he (Turkey) could do with some more –or all- sections of the SGR project.

4. Bwawa la Rufiji.
Tanzania ilikataa agizo la UNESCO la kuitaka kusitisha Ujenzi wa mradi wa Stiegler's Gorge katika pori la akiba la selous, Tanzania ilisisitiza uamuzi wake wa kuendelea na mpango wa kujenga mradi mkubwa wa kuzalisha umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler's Gorge Hydro Power Project) yaliyopo ndani ya pori la akiba la Selous mbele ya wajumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia kutokana na umuhimu wake kwa maendeleo ya Watanzania,

Hayati Rais John Magufuli alitangaza kutekeleza sera ya kujenga uchumi wa viwanda hali itayopelekea kuwa na mahitaji makubwa ya nishati ya umeme hivyo kwa kuzingatia vyanzo vilivyopo imekuwa ni muhimu sasa kufikiria tena ujenzi wa mradi huo kama chanzo kingine muhimu cha nishati kuwezesha kufikia azma hiyo.

Itakumbukwa kuwa mnamo mwaka 1982 wakati pori hili (Selous) limewekwa katika orodha ya maeneo ya urithi wa dunia, Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhifadhi wa Asili (IUCN) liliutambua mradi huo wa Stiegler's Gorge kutokuwa na madhara makubwa katika uharibifu wa mazingira ukizingatia ukubwa wa pori hilo na eneo litakalotumika kujenga mradi huo.

5. CCM
Ujio wa Hayati Rais John Magufuli kama Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama ulileta mabadiliko makubwa ndani ya Chama,moja ya mabadiliko hayo ni ukaguzi wa mali za Chama na kupunguza wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama toka 500 hadi kufikia wajumbe 250.
#. 2 superb.
 
Back
Top Bottom