Mambo matano ya kutia moyo kwenye tukio la muuaji Hamza

Mambo matano ya kutia moyo kwenye tukio la muuaji Hamza

SWAT wetu si Ndio FFU?

Yaani polisi zaidi ya 50 wameshindwa kumdhibiti gaidi m1?
Kuna risasi nyingi sana zilimkosa jamaa akiwa katikati ya barabara baada ya kupigwa bomu la machozi, sijaona la kujisifia hapa, tumepigwa huo ndio ukweli hatuwezi kujisifia kupoteza polisi wetu kwa yule mpumbavu mmoja
 
Kuna risasi nyingi sana zilimkosa jamaa akiwa katikati ya barabara baada ya kupigwa bomu la machozi, sijaona la kujisifia hapa, tumepigwa huo ndio ukweli hatuwezi kujisifia kupoteza polisi wetu kwa yule mpumbavu mmoja

Inashangaza jamaa yupo katikati ya barabara na alikuwa kama anaongoza magari au anajipiga kifuani tena anatamba!! Yule askari aliyekuwa getini anapambana naye alijirisk sana ,sijui kama alikuwa na bullet proof yeyote.

Jeshi letu limewekeza sana kwenye mecahanical /manual works wakti kwasasa ni ulimwengu wa technolojia ,hawana streets camera ,hawana body camera yaani wapo wapo tu,kazi wananunua magari ya maji kuwasha na makolokolo mengine yasiyo na tija.
 
Sasa huoni hapa pekee tofauti iliyopo katika muundo wa jeshi la polisi la Kenya na Tanzania? Au ushauri wako ni kutaka Tanzania iige tu kwa vile Kenya walifanya!

Ukichukua mfano wa 'Westgate', halafu ufananishe na hili tukio la mtu mmoja (at least kwa sasa, bado inajulikana ni 'lone ranger', halafu ufananishe na tukio lililopangwa na kundi la watu, bado unaonyesha kwamba matukio haya huyaelewi vizuri.
Mbona mabadiriko ya katiba hamtaki kuiga toka Kenya,mikutano ya kisiasa Uhuru wa vyombo vya habari na maandamano ya amani?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Hamza angelenga raia na.magari nafikiri ungepata picha halisi kama kweli polisi walifika kwa wakati au la .... usisifie kijingakijinga. Polisi wajipange aisee ...wapo slow sana
 
Mbona mabadiriko ya katiba hamtaki kuiga toka Kenya,mikutano ya kisiasa Uhuru wa vyombo vya habari na maandamano ya amani?

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Tutabadilisha kwa njia zetu wenyewe, hatuna lazima ya kuiga huko. Nia hili kama hujui, linakuja, halizuiliki tena.

Kwa hiyo wewe unadhani Kenya kuna amani, kwa vile hayo yote yanafanyika; au huijui Kenya wewe!
 
Naomba kuuliza, inakuaje mwananchi ambaye inawezekana hajui chochote kuhusu mambo ya usalama ndie anatoa maelekezo kwa police ili wasishambuliane.?
 
Mipolisi ya kibongo ni mipumbavu na ni mizwazwa na kama wewe ni polisi tulia sindano ikuingie...
Hawana ujuzi wala tactics za kupambana na uhalifu wa aina yeyote achilia mbali ugaidi,
Muda wote wanawaza rushwa na kama siku yupo bize ni kukamata wapinzani
Mara ngapi wanapelekeshwa na wajuzi wakujibu shootout na wanakimbilia kuita Jeshi
Fukcing useless idiots...
 
1. Polisi wamefika eneo la tukio kwa wakati na kupambana kiume. Hongereni Sana.

2. Wananchi kwa umoja wao wamezuia baadhi ya watu kutofika eneo la tukio yakiwemo magari, may be wasingewazuia waendesha magari madhara yangekuwa makubwa zaidi ikiwemo kukutana na risasi.

3. Clip zinaonyesha wananchi wamezuia polisi kushambuliana, hii ilitokea wakati wa Westgate.

4. Wananchi pamoja na kuwa kwenye hatari wametumia technology kuweka kumbukumbu. Wamekuwa waandishi wa habari, hii hali ikiendelea kwenye jamii uhalifu utakuwa unarekodiwa na ushahidi kupatikana.

5. Wananchi wamemtambua muuaji kabla ya dola na hivyo kusaidia kupatikana kwa taarifa zake,naamini itasaidia sana uchunguzi huko mbele hasa kuhusu tabia za muhusika na Kama ana watu wengine wa kariba yake.

Ushauri
Tutumie utaratibu uliotumiwa na Kenya wa kuwa na kikosi kimoja Cha kupambana na Ugaidi kinachoundwa na vyombo vyote na chenye commanding system moja.

Nakumbuka Bunge la Kenya lilipofanya tathimini ya athari za tukio la Westgate walibaini askari walipotea kwa sababu walirespond at a time lakini wakiwa na uniforms mbalimbali na wakiwa na viongozi tofauti, kila kikosi kikawa kinajifanyia kinavyoona na kufanya washambuliane ndani.

Kongole kwa jeshi la Polisi.
Kidogo washambiliane yule jamaa aliye jeruhiwa pale getini hawa kumtambua wakanda kurudi nyuma wakanda kwa shooting
 
1. Polisi wamefika eneo la tukio kwa wakati na kupambana kiume. Hongereni Sana.

2. Wananchi kwa umoja wao wamezuia baadhi ya watu kutofika eneo la tukio yakiwemo magari, may be wasingewazuia waendesha magari madhara yangekuwa makubwa zaidi ikiwemo kukutana na risasi.

3. Clip zinaonyesha wananchi wamezuia polisi kushambuliana, hii ilitokea wakati wa Westgate.

4. Wananchi pamoja na kuwa kwenye hatari wametumia technology kuweka kumbukumbu. Wamekuwa waandishi wa habari, hii hali ikiendelea kwenye jamii uhalifu utakuwa unarekodiwa na ushahidi kupatikana.

5. Wananchi wamemtambua muuaji kabla ya dola na hivyo kusaidia kupatikana kwa taarifa zake,naamini itasaidia sana uchunguzi huko mbele hasa kuhusu tabia za muhusika na Kama ana watu wengine wa kariba yake.

Ushauri
Tutumie utaratibu uliotumiwa na Kenya wa kuwa na kikosi kimoja Cha kupambana na Ugaidi kinachoundwa na vyombo vyote na chenye commanding system moja.

Nakumbuka Bunge la Kenya lilipofanya tathimini ya athari za tukio la Westgate walibaini askari walipotea kwa sababu walirespond at a time lakini wakiwa na uniforms mbalimbali na wakiwa na viongozi tofauti, kila kikosi kikawa kinajifanyia kinavyoona na kufanya washambuliane ndani.

Kongole kwa jeshi la Polisi.
Umecharaza maandiko halafu mwisho umetoa kongole kwa watuhumiwa?Hao ni watuhumiwa usiwapongeze.
 
Mi nimeoana jinsi social media ilivyoiacha mbali traditional media.

Nimefurahia ujasiri wa yule askari aliyekuwa mlangoni kwenye mlango wa ubalozi wa Ufaransa.

Mwisho nimpongeze bwana Hamza kwa kutodhuru wananchi japo alikuwa na nafasi kubwa ya kufanya hivyo na mtu kwenye position desperate kama aliyokuwanayo angeweza fanya hivyo.
Kuna mchambuzi wa BBC kutoka Kenya alisema vizuri sana. Anasema yule askari aliesogelea kile kijumba alichojifichia Hamza alikuwa jasiri sana ila alichokosea ni kutambua kwa haraka kwamba kona ya kile kijumba sio ya Pembe ni ya mduara. Pale alipokaa kumuwinda Hamza kama kijumba kingekua na kona ya pembe Hamza asingeweza kumpiga risasi. Ila sababu kona ilikuwa ya mduara Hamza akaweza kupindisha mkono wake wenye silaha na kumpiga askari bila ya askari shujaa kuona mwili wa Hamza.

Ni muhimu kusoma vizuri mazingira haraka kabla ya kusogelea adui kwa karibu kiasi kile.

Screensh.jpg
 
Back
Top Bottom