Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Umeisikiliza hotuba?Hapo kwenye kugusa maisha ya watu ni kweli, maana hata ile tumbuatumbua ni kugusa maisha, wale waliosomea ualimu na hawakuajiriwa ni kugusa maisha,
Umeisikiliza hotuba lakini?1.Kuondoka wakati hahitajiki.
2.Kuteka wapinzani wake.
3.Kutesa wapinzani wake.
4.Kuua wapinzani wake kama akina Ben saanane.
5.Kuua vyombo vya habari.
6.Kuua uhuru wa kujieleza.
7.Kuiba kura.
8.Kuua biashara za watu kupitia sera mbovu za uchumi.
9.Kudanganya katika takwimu za uchumi wa nchi.
10.Kuweka mihimili yote mitatu mfukoni mwake.
11.Kuua uchumi wa nchi.
12.Kuua watu kwa Corona kupitia leadership negligence.
13.Kuhakikisha kuwa akina Ben Saanane na Azory Gwanda walikipata cha mtema kuni.
14.Ukabila kwa kuhamishia rasilimali nyingi za nchi Chato na kujaza wasukuma serikalini.
15 Ukanda kwa kupeleka SGR mwanza wakati siyo economic strategic zone.
16.Ubaguzi wa rangi kwa kuwakandia wanawake weusi.
17.Kugandamiza demokrasia kwa kukataza vyama vya upinzani kufanya siasa wakati CCM kufanya siasa ni ruksa.
18.Kunyanyasa malaika-watoto wa kike wasirudi shule wakipata mimba.
19.Ufisadi wa kutisha kwa kufanya miradi mikubwa bila budget kupita bungeni.
20.Wizi wa kutisha wa mali ya uma kupitia Mayanga constructions LTD.
Unazungumzia hizi hotuba za wezi wenzake na wanyanyasaji wenzake?Umeisikiliza hotuba lakini?
Sikiliza basi hata matukio ya hotuba utaelewaMimi naweka zangu.
1. Roho mbaya
Kuchukia kuajiri watu serikalini, kutopandisha watu mishahara hii ni tafsiri ya roho mbaya....
Ukidikiliza wewe inatoshaSikiliza basi hata matukio ya hotuba utaelewa
Wewe mchagga wewe1.Kuondoka wakati hahitajiki.
2.Kuteka wapinzani wake kama akina Azory Gwanda.
3.Kutesa wapinzani wake.
4.Kuua wapinzani wake na wakosoaji wake kama akina Ben saanane na kuwapiga wapinzani wake risasi kama ilivyokuwa kwa Tindu Lissu.
5.Kuua vyombo vya habari.
6.Kuua uhuru wa kujieleza.
7.Kuiba kura.
8.Kuua biashara za watu kupitia sera mbovu za uchumi.
9.Kudanganya katika takwimu za uchumi wa nchi.
10.Kuweka mihimili yote mitatu mfukoni mwake.
11.Kuua uchumi wa nchi kupitia sheria mbovu za uwekezaji.
12.Kuua watu kwa Corona kupitia leadership negligence.
13.Kuhakikisha kuwa akina Ben Saanane na Azory Gwanda walikipata cha mtema kuni.
14.Ukabila kwa kuhamishia rasilimali nyingi za nchi Chato na kujaza wasukuma serikalini.
15 Ukanda kwa kupeleka SGR mwanza wakati siyo economic strategic zone.
16.Ubaguzi wa rangi kwa kuwakandia wanawake weusi.
17.Kugandamiza demokrasia kwa kukataza vyama vya upinzani kufanya siasa wakati CCM kufanya siasa ni ruksa.
18.Kunyanyasa malaika-watoto wa kike wasirudi shule wakipata mimba.
19.Ufisadi wa kutisha kwa kufanya miradi mikubwa bila budget kupita bungeni.
20.Wizi wa kutisha wa mali ya uma kupitia Mayanga constructions LTD.
21.Kubambikizia kesi za kuhujumu uchumi wapinzani wake nchi nzima.
Mchaga wa Chato!Wewe mchagga wewe
Hotuba zisikudanganye, binadamu ni wanafki sna, jk hakuupend kabisa uongoz wa mwamba ndio mana alikuwa akimpiga sana madongo kiaina na yeye kuitwa anawashwa washwa, jk ameamua tu kutumia uungwana wake bt naamini ata yeye wiki hii amechangia san kumaliza stock ya tblUmeisikiliza hotuba?
[emoji16][emoji16][emoji16]Hapo kwenye kugusa maisha ya watu ni kweli, maana hata ile tumbuatumbua ni kugusa maisha, wale waliosomea ualimu na hawakuajiriwa ni kugusa maisha,
Naked trueMimi naweka zangu.
1. Roho mbaya
Kuchukia kuajiri watu serikalini, kutopandisha watu mishahara hii ni tafsiri ya roho mbaya.
2. Ukatili
Mauji ya watu, kujeruhi na kutesa watu huu ni ukatili.
3. Ubinafsi.
Kuipendelea Chato kisa ndiko alikozaliwa, waziri wa madini kutoka chato na muidhinishaji fedha mkuu kuwa mpwa wako na kuwapendelea wasukuma ktk nafasi mbalimbali kama mkuu wa majeshi, mganga mkuu wa serikali na wengineo huu ni ushahidi kwamba the late was selfish.