Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Mambo matatu husabibisha maradhi katika mwili:
1:Kuzungumza sana.
2:Kulala sana.
3:Kula sana.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Daima tuitumie fursa yetu ya uhai ipasavyo,
tusipoteze wakati wetu katika kuzungumza sana kusikokuwa na faida,tusipoteze muda wetu katika
kula ,wala tusilale mpaka kuvuka kiwango.
1:Kuzungumza sana.
2:Kulala sana.
3:Kula sana.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Daima tuitumie fursa yetu ya uhai ipasavyo,
tusipoteze wakati wetu katika kuzungumza sana kusikokuwa na faida,tusipoteze muda wetu katika
kula ,wala tusilale mpaka kuvuka kiwango.

