Mambo matatu muhimu unapoamua kuanza na jambo kubwa kwa maombi

Mambo matatu muhimu unapoamua kuanza na jambo kubwa kwa maombi

Joined
Jun 30, 2023
Posts
11
Reaction score
38
1: Maombi yatakufanya uangalie mambo kama Mungu anavyoaangalia sio kama watu wa kawaida wanavyoona. Hivyo huamasisha uthubutu.

Mwanzo 18:14
Kuna neno gani lililo gumu la kumshinda BWANA?

2: Maombi yatabadilisha mtazamo wako juu ya ukubwa na ugumu wa lengo lako. Yatakufanya uone inawezekana hata kama dalili hazionyeshi hivyo.

Marko 11:24
Kwa sababu hiyo nawaambia, Yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu.

3: Maombi yanaondoa uwezekano wa kukata tamaa unapoona ulichopanga hakiendi kama ulivyotarajia.

Luka 18:1
Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.

Anza kuchanganya malengo na mipango yako na maombi.
 
1: Maombi yatakufanya uangalie mambo kama Mungu anavyoaangalia sio kama watu wa kawaida wanavyoona. Hivyo huamasisha uthubutu.

Mwanzo 18:14
Kuna neno gani lililo gumu la kumshinda BWANA?

2: Maombi yatabadilisha mtazamo wako juu ya ukubwa na ugumu wa lengo lako. Yatakufanya uone inawezekana hata kama dalili hazionyeshi hivyo.

Marko 11:24
Kwa sababu hiyo nawaambia, Yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu.

3: Maombi yanaondoa uwezekano wa kukata tamaa unapoona ulichopanga hakiendi kama ulivyotarajia.

Luka 18:1
Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.

Anza kuchanganya malengo na mipango yako na maombi.
Kuna muda inatupasa tuanze kuishi uhalisia na Sio kwa imani.
Maombi ni kujiongelesha wewe mwenyewe
 
Back
Top Bottom