Mambo mawili ya kushangaza na kuvutia kuhusu Rais wa ROC (Taiwan) Tsai ing-wen

Mambo mawili ya kushangaza na kuvutia kuhusu Rais wa ROC (Taiwan) Tsai ing-wen

Huu ni uvunjaji wa sheria za haki za binadamu na Jamii Forum

Inaonesha ni kwa jinsi gani hauna akili kichwani mwako, kujadili watu badala ya kujadili mawazo.

Nia yako na ajenda yako imeshajulikana, unapushi kwa nguvu kubwa ajenda za chama chako CCP, unavuka mipaka mpaka unaingilia personal privacy za watu
Una matatizo.你必須改變你的習慣
 
Kuna Jamhuri ya China na kuna Jamhuri ya watu wa China.

Tsai ing-wen ni Rais wa Jamhuri ya China, Xi Jinping ni Rais wa Jamhuri ya watu wa China.
Asante kwa ufafanuzi leo ndio nimejua
 
  • Thanks
Reactions: TPP
Back
Top Bottom