Mambo mawili ya kushangaza na kuvutia kuhusu Rais wa ROC (Taiwan) Tsai ing-wen

Una matatizo.你必須改變你的習慣
 
Kuna Jamhuri ya China na kuna Jamhuri ya watu wa China.

Tsai ing-wen ni Rais wa Jamhuri ya China, Xi Jinping ni Rais wa Jamhuri ya watu wa China.
Asante kwa ufafanuzi leo ndio nimejua
 
Reactions: TPP
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…