Aaa wapi, tembo hawezi kuuliwa na mamba, Wakongo wanasema "nguvu ya mamba kumai", na mamba kesha tolewa majini. Ila picha ya kwanza dogo kafyata mkonga wake!
Unachokisema ni sawa,lakini kumbuka kuwa tembo tayari ameshajeruhiwa vibaya kwenye mkonga wake na uwenda baadaye alipoteza maisha,kwa kuwa tembo hutegemea kwa kiasi kikubwa mkonga wake katika maisha yake ya kila siku!
Nafahamu hapa ni habari za picha. Ngoja nitoke nje kidogo kwa wapenzi wa hizi vita.
Angalia hii vita ilivyokuwa ngumu maana hiyo ya Tembo na mamba ni cha mtoto......
Video imeangalia na watu zaidi ya milioni 50.
Khaaa!!!!!!!!!
Naona hapa, dogo kaamua kumsaidia mama yake... si mchezo!