Mambo mengine si muhimu lakini yakikosekana yanaboa

Sasa kama jirani yako naye akiwa member humu si utakuwa umeanzisha uhasama usio wa lazima??
Walimwengu wana mambo sana.
Si rahisi kujua ndio maana sikutoa code naenda wapi,lau ningetoa code natoka wapi na kuenda wapi labda kidogo inaweza kuclick kichwani
 
Kaazi kweli kweli......

Nimesafiri na treni na nazipenda zaidi kuliko basi.....

Eh bhna kule kuzoeana me na me au ke na me chapu tu

Ila kwenye mabus jau kinoma ukauzu mwingi

Ufike salama
Nashukuru boss nilifika salama around saa moja asubuhi
 
Mimi uwa siongei njiani ,haijalishi nimekaa na nani!
Wala kula kula njiani.
Kuhusu kula kula njiani tupo sawa,labda vitu kama biscuit hv,lkn sijui mahindi mara sijui nyama au misikaki hapana,labda tufike mahala kabisa hotelini sawa
 
Ila wewe
 
wazinzi huwa mnajipa tabu sana!
Wazinzi huwa mnajipa tabu sana, aysee!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…