Mambo mengine si muhimu lakini yakikosekana yanaboa

Mambo mengine si muhimu lakini yakikosekana yanaboa

Mie huwa napenda kukaa na wadada zaidi nikisafiri. Niliwahi kukaa na mkaka, sijui ni nguo hazikukauka๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ ile harufu ilinitesaa nikahama siti.
 
Muombe konda akubadilishie seat, unaacha kuomba ufike salama unakokwenda unatamani yutiayi ๐Ÿ˜
Mwezi wa saba nlienda Moshi safari ya usiku chuma BM nlikaaa na mzee swala 5++ yule mzee sijui Ile ni kama anatafuna vitunguu Swaum karafuu na manini sijui Yale hata sikufika mbali nliongea na konda akafanya maarifa
 
One time natoka Manyara naenda Dar safari ya usiku kwenye siti yupo binti wa kiIraqw na watoto wawili. Mmoja ni kachanga na mwingine yupo kwenye umri wa miaka 4 au 5 hivi.

Mwanzo nikaghafilika, halafu nikajiambia hakuna namna huyu angeweza mkatia mwanae siti halafu asimkatie. So nikaacha akae dirishani halafu nikakaa kalio moja ili mwanae awe anakaa angalau asipakatwe muda wote.

Nafikiri hicho ndiyo kitu best nimefanya nikiwa safarini.
 
One time natoka Manyara naenda Dar safari ya usiku kwenye siti yupo binti wa kiIraqw na watoto wawili. Mmoja ni kachanga na mwingine yupo kwenye umri wa miaka 4 au 5 hivi.

Mwanzo nikaghafilika, halafu nikajiambia hakuna namna huyu angeweza mkatia mwanae siti halafu asimkatie. So nikaacha akae dirishani halafu nikakaa kalio moja ili mwanae awe anakaa angalau asipakatwe muda wote.

Nafikiri hicho ndiyo kitu best nimefanya nikiwa safarini.
Kwa hakika umefanya kitu kizuri sana boss, sometime hauhitaji gharama kubwa kushow love,naamini kabisa uliikamilisha siku yake vizur sana
 
Huyu mwamba analala balaa,tulipiga mwanzo mbili tatu story fresh tu,ila mwamba analala balaa,now kalala tena
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒHuyo itakuwa kakaaang kabisa nilivo na bahat mbaya nikikaa na mwanaume km hajaomba namba tukifika bas ataanza maongez nje ya safari ninachofanyaga ni kulala had kieleweeke Yani usingiz unaisha najifunika na mtandio usoni njifnya nimelala ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒHuyo itakuwa kakaaang kabisa nilivo na bahat mbaya nikikaa na mwanaume km hajaomba namba tukifika bas ataanza maongez nje ya safari ninachofanyaga ni kulala had kieleweeke Yani usingiz unaisha najifunika na mtandio usoni njifnya nimelala ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ukikaa na mimi ni Swagga mwanzo mwisho, utajikuta tu Mrembo unasema tuchukue room ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Š๐Ÿพ
 
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒHuyo itakuwa kakaaang kabisa nilivo na bahat mbaya nikikaa na mwanaume km hajaomba namba tukifika bas ataanza maongez nje ya safari ninachofanyaga ni kulala had kieleweeke Yani usingiz unaisha najifunika na mtandio usoni njifnya nimelala ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ila mko wengi kuna mmoja jana alikuwa amekaa mbele mbele,dereva anasema tukitoka hapa mafinga tutachimba dawa morogoro,yeye hana habar kajifunika tu,nikajisemea kuna mwendo kama wa masaa matano muache ajikaushe akipata pee atajua pa kuchimbia dawa
 
Ukikaa na mimi ni Swagga mwanzo mwisho, utajikuta tu Mrembo unasema tuchukue room ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Š๐Ÿพ
Huo mda huupati Yan nalala nikiamka kuchimba dawa Nachukua chakula nikimaliza kula nalala Tena Tena usiombe nikae dirishan nakuwekea mgongo kabisa napandisha najifanya usingiz umekolea ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Kuna mmoja uvumilivu ukamshinda akauliza dada unaumwa nikamwambia Jana nilikesha najiandaa safar Ilikuwa ghafla ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚hivo nimechoka
 
One time natoka Manyara naenda Dar safari ya usiku kwenye siti yupo binti wa kiIraqw na watoto wawili. Mmoja ni kachanga na mwingine yupo kwenye umri wa miaka 4 au 5 hivi.

Mwanzo nikaghafilika, halafu nikajiambia hakuna namna huyu angeweza mkatia mwanae siti halafu asimkatie. So nikaacha akae dirishani halafu nikakaa kalio moja ili mwanae awe anakaa angalau asipakatwe muda wote.

Nafikiri hicho ndiyo kitu best nimefanya nikiwa safarini.
Hali hii niliwahikutana nayo nimepanda gari pale chalinze kwenda mwanza , mara baada ya kukaa kwenye siti mama mwenye watoto wawili akaja , mtoto mmoja wa miezi huyu mwingine kama miaka miwili, daaa nikachoka akili nikasema safari imeshakua ndefu hii nikamsaidia mtoto naye akauliza nashuka wapi nikasema nyegezi naye pia akasema anashuka nyegezi nikajiambia moyoni hapa hakuna namna nilimbeba mtoto mpka tunafika mwanza niko hoi lkn hakukuwa na namna zaidi ya kumsaidia
 
Ila mko wengi kuna mmoja jana alikuwa amekaa amekaa mbele mbele,dereva anasema tukitoka hapa mafinga tutachumba dawa morogoro,yeye hana habar kajifunika tu,nikajisemea kuna mwendo kama wa masaa matano muache ajikaushe akipata pee atajua pa kuchimbia dawa
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Mm nakuwa silali nasikia kilakitu navaa ushungi hivo nachofanya nausogeza usoni ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Huo mda huupati Yan nalala nikiamka kuchimba dawa Nachukua chakula nikimaliza kula nalala Tena Tena usiombe nikae dirishan nakuwekea mgongo kabisa napandisha najifanya usingiz umekolea ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Kuna mmoja uvumilivu ukamshinda akauliza dada unaumwa nikamwambia Jana nilikesha najiandaa safar Ilikuwa ghafla ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚hivo nimechoka
Hahah nimekumbuka nilitoka dom mpka Moro nimelala yule baba ikabidi anaiulize Dada unaumwa malaria?
 
Back
Top Bottom