Mambo muhimu niliyojifunza katika maisha yangu ya kuajiriwa

finally nime maliza kusoma hii story binafsi nimejifunza vitu vingi nimepata picha ya maisha ya maofisini pia ni mejifunza kuto kujisahau kama big
 
Hongera kwa kupata kazi na pia uandishi mzuri wa wasifu. Mwajiri yoyote atavutiwa na hili
 
Nukta.
 
Andiko Refu Sana. Ila linavutia Sana.. Maisha!
 
Jamaa wa Nilivyoona baada ya kufunguliwa macho Apitie hapa asome huu uzi mwenzake alivyotililika bila mbambamba
 
Brother ningependa kujua kuhusu ile kazi ya Dr K.J alivyofariki ile kampuni iliendelea kupiga kazi au ilikufa?
 
Hongera mkuubahati nayo ilikuwa sana upande wako
 

Nitarudi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…