Mambo muhimu ya kuzingatia katika uendeshaji wa kampuni

Ni kweli kama ujapeleka penalty zipo ila hii amnesty ni lazima uombe ukionyesha hiyo penalty na fine ni ipi.

QUOTE="dickchiller, post: 28279058, member: 83999"]Kama ulianzisha ukaacha kufanya kazi hata mwaka bila kupeleka taarifa kuna penati au ndio msamaha kunausika?[/QUOTE]
 
Kama repoti ya world bank imetoka tunaendelea vizuri kiuchumi. Tujenge nchi yetu nzuri Tanzania
 
Mmoja ya issue kubwa inaonekana katika kuendesha biashara zetu ni kuzijengea mifumo ambayo itazifanya zifanye kazi hata kama wamiliki hawapo. Imeonekana kuwa jambo gumu kidogo kwa biashara nyinigi. Ushauri wangu anza kwa kuajiri watu makini ili biashara yako ikuwe ni ukweli usiopingika kwamba kuna wakati lazima utengeneze mifumo ili biashara ikuwe.
 
Habari zimebaki siku chache sana za kutumia msamaha wa Penalty na Interest jamii tufanye jambo
 
Kwa mfano nimesajili kampuni brela lakini haijafanya kazi(sijaanza biashara )mpaka mwaka umepita,je nitapigwa fine na brela ?

Kwa kuongezea ni kwamba kampuni itafikia tamati kisheria ikiwa haijaanza kufanya biashara mwaka mmoja tangu siku ya kusajiliwa. Hii ni kutokana na kifungu namba 279(1)(b) cha Companies Act.
279. (1) A company may be wound up by the court if:
(b) the company does not commence its business within a year from
its incorporation or suspends its business for a whole year;
 
Bado najiuliza hivi kweli wenye makampuni na wafanyabiashara wameelewa kweli kitu kikubwa ambacho serikali wametoa kuhusu kusamehe penaty na interest mwamko bado ni mdogo sana shime tujitokeze kuchukua hii fursa
 
SDL utalipa tu mpaka pale utakapokuwa na wafanyakazi wanne na zaidi hayo ndio matakwa ya sheria. Kwahiyo kama mko wawili tu hamna haya ya SDL. Na rate ya mwaka huu ni 4.5% Ahsante

Nini maana ya SDL? Please help
 
Nini maana ya SDL? Please help
SDLKirefu chake ni Skill Development Levy. Ni tozo inayolipwa kwa ajili ya kuendeleza watu ndio maana kila mwajiri mwenye kuajiri watu 4 na kuendelea anatakiwa kupeleka. Hii hela inaenda VETA kwaajili ya kusaidia watu wetu.
 
SDLKirefu chake ni Skill Development Levy. Ni tozo inayolipwa kwa ajili ya kuendeleza watu ndio maana kila mwajiri mwenye kuajiri watu 4 na kuendelea anatakiwa kupeleka. Hii hela inaenda VETA kwaajili ya kusaidia watu wetu.

Okay Asante sana. So mpaka uajiri watu zaidi ya wanne.
 
Kaka barikiwa sana. Mimi ni mhanga wa kodi, returns za VAT nazifanya vema, ila cash sijapeleka muda, hata makadirio yangu.. nataka kutumia hii nafasi ya msamaha nione nilipo....then nihakikishe nafanya yote niapaswayo hata biashara ikienda kombo.
 
Watu niwanne na kuendelea na sio zaidi ya wanne. Maana ukiweka hiyo itakuwa 5 na kuendelea ya zaidi ya wanne.
QUOTE="Jombii, post: 28986161, member: 30759"]Okay Asante sana. So mpaka uajiri watu zaidi ya wanne.[/QUOTE]
 
Tukiwa tunaelekea wiki ya mwisho kabisa ya kuchukua fursa kwa makampuni kusamehewa Riba na Adhabu naomba wadau mchukue fursa hii inaweza isirudi siku za karibuni. Nawatakiwa wiki njema
 
Tukiwa tunaelekea wiki ya mwisho kabisa ya kuchukua fursa kwa makampuni kusamehewa Riba na Adhabu naomba wadau mchukue fursa hii inaweza isirudi siku za karibuni. Nawatakiwa wiki njema
Habari mkuu nataka kusajili either kampuni au jina la bishara.
1. Nini tofauti ya hivyo na zinatumika vipi.
2. Sina partner ni Mimi mwenyewe ( sole proprietor) documents gani niwe nazo.
3.gharama za kusajili kampuni ni bei gani na jina la biashara ni bei gani.
4. Any info kujazia hapo.
Ahsante
 
Mkuu hili wazo ni pana sana. Kwa manufaa ya wengine ningeomba mjadala huu uendelee hapa hapa. Swala la kodi ni swala pana na linatutesa wengi mno, ningependa uendelee kudadavua hapa hapa.
 
Kuna jamaa alikuwa anajsifia kuwa wao wanakampuni afu hakuna walichokuwa wanakfanya ingawaje wamesajili kampuni,nahis sahv wanaisoma namba
 
Dah Nina kampuni mfukoni yapata miaka sita Sasa, nilihofu Sana kwenda brela kuisajili, kwa sabb za mwenendo was biashara nchini. Mkuu biashara kufa au kuimarika inaeza tegemea na utawala unaoongoza dola wakat huo? Na je ktk indicator za uchumi kuimarika, kudorola au kudumaa ..tz Sasa hivi uchumi wetu ukoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…