Amrish Puri
JF-Expert Member
- Dec 11, 2016
- 274
- 379
acha mawazo mfu..nani alikwambia kumiliki gar lazima ujenge kwanza?Duuuh kwel watanzania tulio wengi tunawaza kurud nyuma sio kwenda mbele...yan gar umenunua kwa garama nabado kila siku unaweka ef 5 kwa ajil ya mafuta...huenda huna ata kiwanja,huna biashara yakukuingizia iyo ef 5 ulipe mafuta,huna pakupak ila ww unajisifia una gari???,,,et unaitwa boss,,,aya bana tajiri wasalimie mkoan uko
Sana bwana, naona wewe unakaa karibu na unakofanyia kazi hongera sana.....haina shidaMimi namiliki RAV 4 Old Model, budget yangu ya mafuta ni TZS 120,000 kwa mwenzi. Najaza TZS 60,000 mwanzoni mwa mwezi na TZS 60,000 nyingine katikati ya mwezi. Kwa matumizi ya kwenda kazini na ofisini yananitosha.
Huyo wa TZS 5,000 kwa siku bado iko juu kulinganisha na bajeti yangu. Anyway nyie wa Dar es Salama mnaishi mno mbali na eneo la kazi ndio maana mnaona TZS 5,000 haitoshi
Jamani amesema ni t iPasso hiyo ndio utaweka buku 5 wese mkuu
Bora angesema elfu 10 kwa siku ningemuelewaumenunua vitz,ist,starlet,raum au swift?? maana ndo zinaweza kuhimili hayo mafuta ya buku5
Guys wengine hatupo dar ambapo kwa siku unaweza zunguka na gari zaidi ya 40 kilometers, Kuwasha Ac kwa jili ya joto, kusubiri foleni(kunakula mafuta), n.k naishi sehem ambayo kwa siku naendesha gari mizunguko yote haizidi 10 km sina haja ya Ac maana hakuna joto sana na wala hakuna foleni,Bora angesema elfu 10 kwa siku ningemuelewa
I couldn't agree more. Tatizo watu wanaishi maisha wasifiwe huku ndani anaumia na kuminyana vibayaaUnaanza na misiba kila la kheri
It can be liability if it adds nothing into ya pockets.Point of correction a motor vehicle is an asset and not a liability!!! Because it belongs to him(the owner) and can last for a long period of time. However it may depreciate.
Bac watu watakupoda za urithiMimi nina miaka 25, nina apartments zang napangisha kimara suka...Kuna parking nzur kwa ajil ya gar lako.
Karbu.
mim 2km kwenda na kurudi. Kadiria natumia mafuta ya kiasi gani kwa mwezi
Kwa hiyo na wewe unajisifia una kiwanja? Tajiri wewe au sio? Acha kupangia watu maishaDuuuh kwel watanzania tulio wengi tunawaza kurud nyuma sio kwenda mbele...yan gar umenunua kwa garama nabado kila siku unaweka ef 5 kwa ajil ya mafuta...huenda huna ata kiwanja,huna biashara yakukuingizia iyo ef 5 ulipe mafuta,huna pakupak ila ww unajisifia una gari???,,,et unaitwa boss,,,aya bana tajiri wasalimie mkoan uko