MAMBO NAYOYA EXPERIENCE BAADA YA KUMILIKI GARI

MAMBO NAYOYA EXPERIENCE BAADA YA KUMILIKI GARI

Duuuh kwel watanzania tulio wengi tunawaza kurud nyuma sio kwenda mbele...yan gar umenunua kwa garama nabado kila siku unaweka ef 5 kwa ajil ya mafuta...huenda huna ata kiwanja,huna biashara yakukuingizia iyo ef 5 ulipe mafuta,huna pakupak ila ww unajisifia una gari???,,,et unaitwa boss,,,aya bana tajiri wasalimie mkoan uko
acha mawazo mfu..nani alikwambia kumiliki gar lazima ujenge kwanza?
 
Mimi namiliki RAV 4 Old Model, budget yangu ya mafuta ni TZS 120,000 kwa mwenzi. Najaza TZS 60,000 mwanzoni mwa mwezi na TZS 60,000 nyingine katikati ya mwezi. Kwa matumizi ya kwenda kazini na ofisini yananitosha.

Huyo wa TZS 5,000 kwa siku bado iko juu kulinganisha na bajeti yangu. Anyway nyie wa Dar es Salama mnaishi mno mbali na eneo la kazi ndio maana mnaona TZS 5,000 haitoshi
Sana bwana, naona wewe unakaa karibu na unakofanyia kazi hongera sana.....haina shida
 
Bora angesema elfu 10 kwa siku ningemuelewa
Guys wengine hatupo dar ambapo kwa siku unaweza zunguka na gari zaidi ya 40 kilometers, Kuwasha Ac kwa jili ya joto, kusubiri foleni(kunakula mafuta), n.k naishi sehem ambayo kwa siku naendesha gari mizunguko yote haizidi 10 km sina haja ya Ac maana hakuna joto sana na wala hakuna foleni,
 
Unaanza na misiba kila la kheri
I couldn't agree more. Tatizo watu wanaishi maisha wasifiwe huku ndani anaumia na kuminyana vibayaa
Wengi wanamponda jamaa lakini mi sioni sababu.. Its his life, what do they care? Mshaurini positively..
Seriously Mimi nikiangaliaga foleni dar, naona wengi wanaendesha hizo gari wanazozidharau humu, tena vidume vimeshiba.. Wakija humu wanajifanya wao wanaendesha maVX.. Nyie watu Mungu anawaona kwa unafiki wenu
Hizo brevis dar watu wanazitafutia wateja kwa bei chee wakanunue hiyo Carina kubana matumizi na hawapati wateja..
Wacha wafu wazike wafu wenzao..
 
Point of correction a motor vehicle is an asset and not a liability!!! Because it belongs to him(the owner) and can last for a long period of time. However it may depreciate.
It can be liability if it adds nothing into ya pockets.
 
Hizi comments zimenichekesha mno. Kiongozi wala usijali, kama unaishi mji kama Dar, gari nyingi ni aina hizo, IST, PASSO, STARLET, RAUM, CARINA...in fact wengi wanamiliki gari za wastani wa CC;1200-1500, huwa tunaona mibaba iloshiba ipo ndani ya passo... wala usijali maneno ya watu humu.
 
Duuuh kwel watanzania tulio wengi tunawaza kurud nyuma sio kwenda mbele...yan gar umenunua kwa garama nabado kila siku unaweka ef 5 kwa ajil ya mafuta...huenda huna ata kiwanja,huna biashara yakukuingizia iyo ef 5 ulipe mafuta,huna pakupak ila ww unajisifia una gari???,,,et unaitwa boss,,,aya bana tajiri wasalimie mkoan uko
Kwa hiyo na wewe unajisifia una kiwanja? Tajiri wewe au sio? Acha kupangia watu maisha
 
Back
Top Bottom