Mambo ni Shwari, Hakuna tena Matamko ya Pasaka kutoka kwa Wakatoliki na ACT(Umoja wa Makanisa).

Mambo ni Shwari, Hakuna tena Matamko ya Pasaka kutoka kwa Wakatoliki na ACT(Umoja wa Makanisa).

uran

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
10,392
Reaction score
15,948
Naona mambo sasa yamekaa sawa.

Yale matamko yaliyokuwa yanatolewa na Makanisa (TEC) na Ule Muunganiko wa Makanisa mengine hasa kipindi cha Pasaka, Yametulia kabisa.

Huu Mwaka hakuna kanisa lenye tamko.

Achilia mbali hali mbaya ya Uchumi inayolikumba taifa kwa sasa.

Inamaana Wameshakubali sasa kucheza ngoma ya watawala?
 
TEC imepoa sana kwa kweli,
Sukari juu
 
Naona mambo sasa yamekaa sawa.

Yale matamko yaliyokuwa yanatolewa na Makanisa (TEC) na Ule Muunganiko wa Makanisa mengine hasa kipindi cha Pasaka, Yametulia kabisa.

Huu Mwaka hakuna kanisa lenye tamko.

Achilia mbali hali mbaya ya Uchumi inayolikumba taifa kwa sasa.

Inamaana Wameshakubali sasa kucheza ngoma ya watawala?
Tecc kikundi cha mabwabwa tu,
Samia ni jemedari hatishwi na wagalatia wenye chuki
 
Kuna wimbo wa Bima sema ni nasikia ukionesha kadi ya Chama unapewa Vip treatment acha tungoje TEC waongee wafokewe si tushangilie
 
Naona mambo sasa yamekaa sawa.

Yale matamko yaliyokuwa yanatolewa na Makanisa (TEC) na Ule Muunganiko wa Makanisa mengine hasa kipindi cha Pasaka, Yametulia kabisa.

Huu Mwaka hakuna kanisa lenye tamko.

Achilia mbali hali mbaya ya Uchumi inayolikumba taifa kwa sasa.

Inamaana Wameshakubali sasa kucheza ngoma ya watawala?
Achana na haya mambo mkuu
 
Watoe tamko juu mapadre na maaskofu kutoa baraka kwa wapenzi wa jinsi moja. Hapo ndiyo nitaamini wako silias na matamko.
 
Back
Top Bottom