Umesahau ku-switch accounts!TEC imepoa sana kwa kweli,
Sukari juju
Tecc kikundi cha mabwabwa tu,Naona mambo sasa yamekaa sawa.
Yale matamko yaliyokuwa yanatolewa na Makanisa (TEC) na Ule Muunganiko wa Makanisa mengine hasa kipindi cha Pasaka, Yametulia kabisa.
Huu Mwaka hakuna kanisa lenye tamko.
Achilia mbali hali mbaya ya Uchumi inayolikumba taifa kwa sasa.
Inamaana Wameshakubali sasa kucheza ngoma ya watawala?
sawa ngoja teck wenyewe wajeKuna wimbo wa Bima sema ni nasikia ukionesha kadi ya Chama unapewa Vip treatment acha tungoje TEC waongee wafokewe si tushangilie
🤣😁🤣😁 double acconts zinaruhusiwa ila uswitch accountTEC imepoa sana kwa kweli,
Sukari juu
Achana na haya mambo mkuuNaona mambo sasa yamekaa sawa.
Yale matamko yaliyokuwa yanatolewa na Makanisa (TEC) na Ule Muunganiko wa Makanisa mengine hasa kipindi cha Pasaka, Yametulia kabisa.
Huu Mwaka hakuna kanisa lenye tamko.
Achilia mbali hali mbaya ya Uchumi inayolikumba taifa kwa sasa.
Inamaana Wameshakubali sasa kucheza ngoma ya watawala?
Mambo yamekwisha kabisaMama alienda Vatican, mambo yote yakamalizwa huko.