Mambo niliyogundua kutokana na maandamano nchini Kenya

Mambo niliyogundua kutokana na maandamano nchini Kenya

Mkumbwa Jr

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2016
Posts
2,668
Reaction score
3,751
Wanajukwaa hongereni kwa majukumu ya hapa na pale. Wenye changamoto nawapa pole na kuwatia moyo kwamba wasikate tamaa wakazane kupambana.

Hivi karibuni Kenya ililipuka kwa vurugu za vijana wakiandamana kupinga muswada wa fedha wa 2024/2025. Mengi tumeyaona kwenye mitandao ya kijamii na nimegundua mambo kadhaa.

1: Kwa mtazamo wangu nikama vile askari (baadhi yao)walikua wanaunga mkono maandamano. Maana mpaka mtu kwenda kumwambia askari nifanye chochote uone 😂😂😂😂 sijui kama ni Tanzania ingekuaje

2: Yale maji ya washawasha waliyokua wakitumia askari nadhani hayakua makali. Au yanaweza yakawa sawa na maji yaliyokua kwenye magari ya zimamoto.

3: Aidha nimegundua kwamba Kenya ni nchi ambayo siku za mbeleni haitakua na viongozi wezi, wababe, wafujaji, wenye kibri na dhuluma dhidi ya wananchi.

4: Nimegundua kwamba Kenya kwa asilimia kubwa wanafuatilia siasa, vijana kwa wazee na katika kusimamia haki hawaogopi.

5. Suala la ukada na uchawa hakina nafasi kubwa sana kwenye haki za wakenya tofauti na nchi nyingine za afrika mashabiki

Kwamaana nyingine naweza kusema vijana wa Kenya(maarufu kama Generation Z)hawatapoa mpaka Kenya yenyewe na viongozi wake wapoe.
 
Wanajukwaa hongereni kwa majukumu ya hapa na pale. Wenye changamoto nawapa pole na kuwatia moyo kwamba wasikate tamaa wakazane kupambana.

Hivi karibuni Kenya ililipuka kwa vurugu za vijana wakiandamana kupinga muswada wa fedha wa 2024/2025. Mengi tumeyaona kwenye mitandao ya kijamii na nimegundua mambo kadhaa.
1: Kwamtazamo wangu nikama vile askari (baadhi yao)walikua wanaunga mkono maandamano. Maana mpaka mtu kwenda kumwambia askari nifanye chochote uone 😂😂😂😂 sijui kama ni Tanzania ingekuaje

2: Yale maji ya washawasha waliyokua wakitumia askari nadhani hayakua makali. Au yanaweza yakawa sawa na maji yaliyokua kwenye magari ya zimamoto.
3: Aidha nimegundua kwamba Kenya ni nchi ambayo siku za mbeleni haitakua na viongozi wezi,wababe,wafujaji,wenye kibri na dhuluma dhidi ya wananchi.

4: Nimegundua kwamba Kenya kwaasilimia kubwa wanafuatilia siasa vijana kwa wazee na katika kusimamia haki hawaogopi.
5. Suala la ukada na uchawa hakina nafasi kubwa sana kwenye haki za wakenya tofauti na nchi nyingine za afrika mashabiki

Kwamaana nyingine naweza kusema vijana wa Kenya hawatapoa mpaka Kenya yenyewe na viongozi wake wapoe
Youth power
 
umeanzisha ligi, wakati hao wakunya hawana ata ardhi ya kumiliki wenyewe yaani uhuru wao ni wa makaratasi wewe unawapigia mapambio hao vibaraka wa wazungu?
Sijaunga mkono upande wowote. Nimeeleza mtazamo wangu
 
Sema pia waandamaji wengi ni wezi na hawana akili kabisa
kenya.jpg
 
Kuna watu wengi sana wamepoteza Mali zao kupitia maandamano hasa wenye maduka
Anyway bob alisema a hungry man is an angry man hii Haina tz Wala Kenya Kuna mstari ukiuvuka mbona utaona watu wanainuka vibaya
 
Kuna watu wengi sana wamepoteza Mali zao kupitia maandamano hasa wenye maduka
Anyway bob alisema a hungry man is an angry man hii Haina tz Wala Kenya Kuna mstari ukiuvuka mbona utaona watu wanainuka vibaya
Binadamu yeyote ni mnyama hivyo anaweza akafanya unyama. Watu wasikilizwe na wajibiwe hoja zao
 
Serikali inayojishtukia kwamba ina uwalakini katika utendaji plus makandokando, huwa haina meno, hata kama inayo huwa inang'ata kwa hofu sana.

Unawatwangaje raia ambao unajua kabisa wako almost 100% correct?
 
Wanajukwaa hongereni kwa majukumu ya hapa na pale. Wenye changamoto nawapa pole na kuwatia moyo kwamba wasikate tamaa wakazane kupambana.

Hivi karibuni Kenya ililipuka kwa vurugu za vijana wakiandamana kupinga muswada wa fedha wa 2024/2025. Mengi tumeyaona kwenye mitandao ya kijamii na nimegundua mambo kadhaa.
1: Kwamtazamo wangu nikama vile askari (baadhi yao)walikua wanaunga mkono maandamano. Maana mpaka mtu kwenda kumwambia askari nifanye chochote uone 😂😂😂😂 sijui kama ni Tanzania ingekuaje

2: Yale maji ya washawasha waliyokua wakitumia askari nadhani hayakua makali. Au yanaweza yakawa sawa na maji yaliyokua kwenye magari ya zimamoto.
3: Aidha nimegundua kwamba Kenya ni nchi ambayo siku za mbeleni haitakua na viongozi wezi,wababe,wafujaji,wenye kibri na dhuluma dhidi ya wananchi.

4: Nimegundua kwamba Kenya kwaasilimia kubwa wanafuatilia siasa vijana kwa wazee na katika kusimamia haki hawaogopi.
5. Suala la ukada na uchawa hakina nafasi kubwa sana kwenye haki za wakenya tofauti na nchi nyingine za afrika mashabiki

Kwamaana nyingine naweza kusema vijana wa Kenya(maarufu kama Generation Z)hawatapoa mpaka Kenya yenyewe na viongozi wake wapoe
eti umegundua
acha utapeli mkuu
 
Wanajukwaa hongereni kwa majukumu ya hapa na pale. Wenye changamoto nawapa pole na kuwatia moyo kwamba wasikate tamaa wakazane kupambana.

Hivi karibuni Kenya ililipuka kwa vurugu za vijana wakiandamana kupinga muswada wa fedha wa 2024/2025. Mengi tumeyaona kwenye mitandao ya kijamii na nimegundua mambo kadhaa.
1: Kwamtazamo wangu nikama vile askari (baadhi yao)walikua wanaunga mkono maandamano. Maana mpaka mtu kwenda kumwambia askari nifanye chochote uone 😂😂😂😂 sijui kama ni Tanzania ingekuaje

2: Yale maji ya washawasha waliyokua wakitumia askari nadhani hayakua makali. Au yanaweza yakawa sawa na maji yaliyokua kwenye magari ya zimamoto.
3: Aidha nimegundua kwamba Kenya ni nchi ambayo siku za mbeleni haitakua na viongozi wezi,wababe,wafujaji,wenye kibri na dhuluma dhidi ya wananchi.

4: Nimegundua kwamba Kenya kwaasilimia kubwa wanafuatilia siasa vijana kwa wazee na katika kusimamia haki hawaogopi.
5. Suala la ukada na uchawa hakina nafasi kubwa sana kwenye haki za wakenya tofauti na nchi nyingine za afrika mashabiki

Kwamaana nyingine naweza kusema vijana wa Kenya(maarufu kama Generation Z)hawatapoa mpaka Kenya yenyewe na viongozi wake wapoe
Subiri tuone
Ila nilichogundua watanzania wanaoshabikia vurugu za kenya hawana uelewa wa siasa wala sio wapenzi wa siasa ila wamedandia siasa baada ya kuona kuna maandamano ndio maana hata michango yao humu inashangaza. Wengi wana weledi katika mabishano ya simba na yanga habari za wapenzi wa wasanii mbalimbali kwamba mtu hata akiachika leo wao wanajua, mtu anaweza kuodhesha wapenzi wote msanii allowahi kutembea nao. na umbea. Watu wasioweza hata kuchambua issue yeyote ya kisiasa.
Hata uchaguzi utakaokuja 2025 wanaweza wasipge kura .

Kuwa key board warrior kwao ni ujanja..

Nchi hii ukombozi wa kweli dhidi ya ufisadi uko mbali sana kwa aina hii ya watu.

Wanasiasa wa Tanganyika waraendelea kupeta maana wanajua watanganyika ni kama kaa ( crabs) ukiwaweka katika kapu ukaondoka ukirudi utawakuta wamo humo humo maana kila kaa mmoja anamvuta mwenzake anayejaribu kupanda juu ya kapu ili atoke katika kapu..

Kwa Tanganyika labda watoto wanaozaliwa kuanzia miaka hii ya 2020 na kuendelea waje walete nabadilko wakiwa watu wazima lakini sio aina hii ya hawa waliozaliwa miaka 2000 kurudi nyuma ( mtazamo wqngu).
 
U
umeanzisha ligi, wakati hao wakunya hawana ata ardhi ya kumiliki wenyewe yaani uhuru wao ni wa makaratasi wewe unawapigia mapambio hao vibaraka wa wazungu?
Lipoma mpaka darasa la ngapi? Kawapigania kwenye nn?,yeye ametoabobservation yake kuhusu maandamano ya Kenya tu
Tuache ukasuku
 
U

Lipoma mpaka darasa la ngapi? Kawapigania kwenye nn?,yeye ametoabobservation yake kuhusu maandamano ya Kenya tu
Tuache ukasuku
umekula maharagwe umevimbiwa unakuja kutujambia jambia humu siyo?
 
Back
Top Bottom