Mambo niliyoyakuta Musoma yamenishangaza sana

Mambo niliyoyakuta Musoma yamenishangaza sana

Mtu Kwao

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2019
Posts
394
Reaction score
720
Wapendwa kwema na amini sote tuna endelea kuchukua tahadhari zidi ya magonjwa ya kuambukiza hasa Covid 19.

Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza Binafsi nilikuwa nakusikia tu Musoma nanilikuwa sijawahi kufika ila mwanzon mwa mwaka nimebahatika kufika uko Musoma mkoani Mara. Kiukwel nimeshangaa sana maana mawazo niliyokuwa nayo nilidhani musoma nipa ovyo lakini kumbe sivyo machache niliyoyaona ni kama ifuatavyo:

1. Miundominu, Asee huu mji upo vizuri kwenye miundominu kuanzia mitaro had barabara barabara zote za mtaa hasi katikati ya mji ni rami tu pia mpango wa mji uko vizuri sana ila stend ikikamilika basi patazidi kuvutia

2. Bei ya bidhaa, hakika bei ya bidhaa huku imenishanganza sana hasa electronic device ni ya chini mno na affordable.

3. Hali ya hewa huku ni shwari sio joto sana wala baridi sana kuna upepo wa ziwani beach nzuri pia kuna hotel za kutosha lodge ndo usiseme hakika panapendeza sana.

4. Ukarimu wa watu, yani huku watu wakarimu sana na sio wachoyo ukienda kwa mtu unakaribishwa vzr hadi unajihisi upo kwako Pia fursa za biashara ni za kumwaga Chakula cha kutosha nk.

Jamani niliyoyaona Musoma mazuri ni mengi kwa spidi hii basi huu mji miaka 10 ijayo utakuwa jiji

Ni hayo tu wakuu kama unalakuongezea kuhusu musoma karibu sana
 
Hapo nini mkuu kimekushangaza?

(1) Mji una watu 116,000 unategemea miundombinu itakuaje mibovu. Especially mji wenyewe ndio kitovu cha mkoa.

(2) Electronic bei mfano nini? Huwezi kuniambia USB flash huko itauzwa cheaper kuliko Kariakoo. Unless Kariakoo upigwe.

(3) Hali ya hewa sawa. Pako poa jioni pana ka upepo ila jua linachoma kinoma na sehemu kama stendi vumbi sana.

(4) Hapo ukarimu hapo mh ngoja nikaushe labda ulienda kwa ndugu zako. Msimamishe mtu tu njiani jifanye unamuuliza kitu uone. Kakunja sura ova unamuomba hela.

Huo mji kua jiji sio leo au kesho.
 
Hapo nini mkuu kimekushangaza?

(1) Mji una watu 116,000 unategemea miundombinu itakuaje mibovu. Especially mji wenyewe ndio kitovu cha mkoa.

(2) Electronic bei mfano nini? Huwezi kuniambia USB flash huko itauzwa cheaper kuliko Kariakoo. Unless Kariakoo upigwe.

(3) Hali ya hewa sawa. Pako poa jioni pana ka upepo ila jua linachoma kinoma na sehemu kama stendi vumbi sana.

(4) Hapo ukarimu hapo mh ngoja nikaushe labda ulienda kwa ndugu zako. Msimamishe mtu tu njiani jifanye unamuuliza kitu uone. Kakunja sura ova unamuomba hela.

Huo mji kua jiji sio leo au kesho.
Mkuu mara ya mwisho ulikuepo uko ln
 
Kwani sisi ndiyo tulikupa hizo sifa mbaya za Musoma hapo kabla?
Mpwa.
Inaonekana una stress za maisha .nakushauri uhame hapo Gongo la Mboto njoo hata Magomeni japo Kodi iko juu kidogo, Kisha tafuta young boy saizi yako achana na vibabu na Waume za watu. Mwisho acha kutumia TECNO. Hizo simu siku hizi zinatukika na wamama wa Bukoba na Sumbawanga.
 
Wapendwa kwema na amini sote tuna endelea kuchukua tahadhari zidi ya magonjwa ya kuambukiza hasa Covid 19.

Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza Binafsi nilikuwa nakusikia tu Musoma nanilikuwa sijawahi kufika ila mwanzon mwa mwaka nimebahatika kufika uko Musoma mkoani Mara. Kiukwel nimeshangaa sana maana mawazo niliyokuwa nayo nilidhani musoma nipa ovyo lakini kumbe sivyo machache niliyoyaona ni kama ifuatavyo:

1. Miundominu, Asee huu mji upo vizuri kwenye miundominu kuanzia mitaro had barabara barabara zote za mtaa hasi katikati ya mji ni rami tu pia mpango wa mji uko vizuri sana ila stend ikikamilika basi patazidi kuvutia

2. Bei ya bidhaa, hakika bei ya bidhaa huku imenishanganza sana hasa electronic device ni ya chini mno na affordable.

3. Hali ya hewa huku ni shwari sio joto sana wala baridi sana kuna upepo wa ziwani beach nzuri pia kuna hotel za kutosha lodge ndo usiseme hakika panapendeza sana.

4. Ukarimu wa watu, yani huku watu wakarimu sana na sio wachoyo ukienda kwa mtu unakaribishwa vzr hadi unajihisi upo kwako Pia fursa za biashara ni za kumwaga Chakula cha kutosha nk.

Jamani niliyoyaona Musoma mazuri ni mengi kwa spidi hii basi huu mji miaka 10 ijayo utakuwa jiji

Ni hayo tu wakuu kama unalakuongezea kuhusu musoma karibu sana
Umesahau kutembelea ofisi ya elimu mkoa wa Mara, ukutane na afisaelimu mkoa asiyejali elimu kwa mkoa wetu wa Mara.
 
Mji wa Musoma una mambo mengi mazuri sana ila unachelewa kupiga maendeleo ya kiuchumi kutokana na location yake maana mzunguko wa biashara ni miongoni mwa wazawa na wakuja wachache.

Wenyeji wakishapata wanakimbilia kujenga mwanza Pamoja na kwamba mbuga kubwa barani Afrika ya Serengeti iko jirani na Musoma,sijawahi kuona impact yake kwenye hii wilaya iliyotengwa pembezoni mwa nchi yetu.
 
Wapendwa kwema na amini sote tuna endelea kuchukua tahadhari zidi ya magonjwa ya kuambukiza hasa Covid 19.

Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza Binafsi nilikuwa nakusikia tu Musoma nanilikuwa sijawahi kufika ila mwanzon mwa mwaka nimebahatika kufika uko Musoma mkoani Mara. Kiukwel nimeshangaa sana maana mawazo niliyokuwa nayo nilidhani musoma nipa ovyo lakini kumbe sivyo machache niliyoyaona ni kama ifuatavyo:

1. Miundominu, Asee huu mji upo vizuri kwenye miundominu kuanzia mitaro had barabara barabara zote za mtaa hasi katikati ya mji ni rami tu pia mpango wa mji uko vizuri sana ila stend ikikamilika basi patazidi kuvutia

2. Bei ya bidhaa, hakika bei ya bidhaa huku imenishanganza sana hasa electronic device ni ya chini mno na affordable.

3. Hali ya hewa huku ni shwari sio joto sana wala baridi sana kuna upepo wa ziwani beach nzuri pia kuna hotel za kutosha lodge ndo usiseme hakika panapendeza sana.

4. Ukarimu wa watu, yani huku watu wakarimu sana na sio wachoyo ukienda kwa mtu unakaribishwa vzr hadi unajihisi upo kwako Pia fursa za biashara ni za kumwaga Chakula cha kutosha nk.

Jamani niliyoyaona Musoma mazuri ni mengi kwa spidi hii basi huu mji miaka 10 ijayo utakuwa jiji

Ni hayo tu wakuu kama unalakuongezea kuhusu musoma karibu sana
Electronic Device zipi za Kichina? Hizo bei iko Chini kila mahali, na bei kuwa chini nazani unajua pia sababu
 
Huitaji kufukiza jina lake fika ofisi ya elimu mkoa utakuta a Naye,ni mbabe,mpenda rushwa sana kachukua kita cha pesa kutoka kwa bosi mmoja wa bank ya crdb tawi la musoma ili amsaidie kumpa mke wa huyo bosi cheo na amefanikisha hiyo deal. Na pesa amechukua, na RAS mkoa wa Mara analijua hilo sakata ila hawamfanyii kitu huyo afisaelimu mkoa.anasema analindwa na wakubwa huko tamisemi.
 
Huitaji kufukiza jina lake fika ofisi ya elimu mkoa utakuta a Naye,ni mbabe,mpenda rushwa sana kachukua kita cha pesa kutoka kwa bosi mmoja wa bank ya crdb tawi la musoma ili amsaidie kumpa mke wa huyo bosi cheo na amefanikisha hiyo deal. Na pesa amechukua, na RAS mkoa wa Mara analijua hilo sakata ila hawamfanyii kitu huyo afisaelimu mkoa.anasema analindwa na wakubwa huko tamisemi.

Nilisikia ameamia kutoka Lindi Mwaka 2020.
 
Nilisikia ameamia kutoka Lindi Mwaka 2020.
Anasema amehamia mkoa wa Mara kwa kazi maalumu ya ya kupokea mlungula na haogopi mtu. Anauza nafasi za maafisaelimu kata kila wilaya kea mkoa mzima wa Mara. Anajiandaa kugombea ubunge mwaka 2025.
 
Wenyeji wa huo mkoa ndivyo walivyo mkuu;

Wanaonekana wakarimu sana ila kwa ukorofi wanafahamika, hapo Musoma mjini hakuna tatizo nenda huko Tarime ukajionee, kukatana mapanga ni ishu ndogo sana,

Ila wanaogopa maswala ya kupelekana polisi ukiachana na Ukorofi wao.

Vyakula vipo, huwa napenda Ugali wa Ulezi na pia ndizi mbivu nyingi sana.

Musoma ni pazuri kiasi ila ni mbali sana.
 
Back
Top Bottom