Mambo niliyoyakuta Musoma yamenishangaza sana

Mambo niliyoyakuta Musoma yamenishangaza sana

Kamkoa ambako wamama hawana ving'amuzi.
Kuna mkurya nimemsikia kwa masikio yangu akisema hawezi kuoa mwanamke ambaye hajapitia kwa ngariba. Nikajisemea kimoyomoyo huyu Kaka hajawahi kufika Uvinza.
Haha haha wote wamepigwa na kitu chenye ncha kali ndio maana wanawaza pesa tu
 
Hapo nini mkuu kimekushangaza?

(1) Mji una watu 116,000 unategemea miundombinu itakuaje mibovu. Especially mji wenyewe ndio kitovu cha mkoa.

(2) Electronic bei mfano nini? Huwezi kuniambia USB flash huko itauzwa cheaper kuliko Kariakoo. Unless Kariakoo upigwe.

(3) Hali ya hewa sawa. Pako poa jioni pana ka upepo ila jua linachoma kinoma na sehemu kama stendi vumbi sana.

(4) Hapo ukarimu hapo mh ngoja nikaushe labda ulienda kwa ndugu zako. Msimamishe mtu tu njiani jifanye unamuuliza kitu uone. Kakunja sura ova unamuomba hela.

Huo mji kua jiji sio leo au kesho.
Acha unaa mimi nimepita mji huo.
Kiujumla watu wa Musoma ni wakarimu, sema ukiingia na sera zako mbaya za kwingineko, utaondoka nazo.
 
Back
Top Bottom