Mambo niliyoyakuta Musoma yamenishangaza sana

Kaa upazoee ndo utakuja na majibu vzr.
Chukua kiwanja ujenge na ufungue biashara.
Ukikaa miaka 5 bado majibu yako ni kama haya ulivyochambua leo basi kutakufaa an kuishi
 
Electronic Device zipi za Kichina? Hizo bei iko Chini kila mahali, na bei kuwa chini nazani unajua pia sababu
Mzigo Unatokea Uganda kupitia Majini/Majahazi inashuka bandari bubu za Ziwa Victoria bila kulipiwa ushuru zinaingia madukani. TV SAMSUNG Og, Nguo, Viatu Safi kabisa bei sawa na bureeee. Anyway unazijua bei Electronics za Zanzibar? Its the same case
 
Kaa upazoee ndo utakuja na majibu vzr.
Chukua kiwanja ujenge na ufungue biashara.
Ukikaa miaka 5 bado majibu yako ni kama haya ulivyochambua leo basi kutakufaa an kuishi
[emoji3][emoji3][emoji3] sio tu kukaa nimeshavuta na chombo nataka nioee
 
Huu mji ni wa watu wabishi! Hapa biashara zake ni China na Dubai direct.
 
Naona na wakurya na wajita nao wameanza kukumbuka kula sikuku kwako saivi Wamejazana huku
 
Hukukutana na wataalama wadada wa kijita?
 
Huo mkoa ni kila familia ina Njagu aka Ma mwela
 
Karibu mkoa wa Mara karibu Musoma mh Rais
Huku hali ni shwari kabisa wananchi wapo bize na shughuli za kujiingizia kipato na kujenga mji wao uzidi kupendeza zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibu mkoa wa Mara karibu Musoma mh Rais
Huku hali ni shwari kabisa wananchi wapo bize na shughuli za kujiingizia kipato na kujenga mji wao uzidi kupendeza zaidi
Kumbe ndiyo kwenu huko, hebu mumueleze mheshimiwa juu ya kero za wananchi wanaotakiwa kulipwa kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege.

Jamaa wanatuma taarifa kuna hujuma inafanywa huko kwenu mura.
 
Huo mkoa ni kila familia ina Njagu aka Ma mwela
Kamkoa ambako wamama hawana ving'amuzi.
Kuna mkurya nimemsikia kwa masikio yangu akisema hawezi kuoa mwanamke ambaye hajapitia kwa ngariba. Nikajisemea kimoyomoyo huyu Kaka hajawahi kufika Uvinza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…