#COVID19 Mambo niliyoyaona baada ya kupata chanjo leo

#COVID19 Mambo niliyoyaona baada ya kupata chanjo leo

Kwa hiyo ukitaka kwenda kwa malkia Elizaberth watakujuaje umeliwa ndugu
 
Leo nimechanjwa katika mji mmojawapo wa wilaya. Nilifanya booking online na tarehe yangu niliyochagua ilikuwa jana bahati mbaya jana hawakufungua. Nilichokiona ni:
  1. Pamoja na kueleza kuwa nilikuwa na booking online lakini hiyo haikuwa na uzito ila nilipewa fomu ya kujaza.
  2. Mtumishi alikuwa mmoja huku akifanya kazi ya usajili na kuchanja na kuna wakati alizidiwa.
  3. Makundi maalum ya watu walioainishwa katika awamu hii hayajawa wazi sana kwani nimeshuhuida mtu wa umri chini ya 40 na ambaye hana ugonjwa wowote akiomba achanjwe (Picha za Jokate zimevuruga mambo)
  4. Hapakuwa na faragha na kila mtu alikuwa akiulizwa unatumia dawa yoyote au una ugonjwa wowote
  5. Mwamko ni mkubwa na vituo vya kuchanjia vijipange vizuri.
  6. Pamoja na kuchanja lakini sina kitambulisho chochote kuthibitisha kuwa nimechanja
  7. Kwa kuwa vitambulisho vya uraia na liseni za udereva zinatumika ingefaa pawe na app ambayo ingerahisisha kwani kwa ujazaji ule nina mashaka kuwa makosa yatakuwa mengi na data entry itakuwa na shida.
Kichanjwa bila kupata cheti itakupa shida mbele ya safari kama wewe ni mtu wa kusafiri nje ya nchi, hakikisha unapata cheti
 
Genge la Magufuli linalotaka tusichanje ionekane alikuwa right litabaki yatima.

Mimi kesho naenda kuchanja.
 
Wapuuzi mtakuja kujuta
Endeleeni kujikuta wajanja now
 
Leo nimechanjwa katika mji mmojawapo wa wilaya. Nilifanya booking online na tarehe yangu niliyochagua ilikuwa jana bahati mbaya jana hawakufungua. Nilichokiona ni:
  1. Pamoja na kueleza kuwa nilikuwa na booking online lakini hiyo haikuwa na uzito ila nilipewa fomu ya kujaza.
  2. Mtumishi alikuwa mmoja huku akifanya kazi ya usajili na kuchanja na kuna wakati alizidiwa.
  3. Makundi maalum ya watu walioainishwa katika awamu hii hayajawa wazi sana kwani nimeshuhuida mtu wa umri chini ya 40 na ambaye hana ugonjwa wowote akiomba achanjwe (Picha za Jokate zimevuruga mambo)
  4. Hapakuwa na faragha na kila mtu alikuwa akiulizwa unatumia dawa yoyote au una ugonjwa wowote
  5. Mwamko ni mkubwa na vituo vya kuchanjia vijipange vizuri.
  6. Pamoja na kuchanja lakini sina kitambulisho chochote kuthibitisha kuwa nimechanja
  7. Kwa kuwa vitambulisho vya uraia na liseni za udereva zinatumika ingefaa pawe na app ambayo ingerahisisha kwani kwa ujazaji ule nina mashaka kuwa makosa yatakuwa mengi na data entry itakuwa na shida.
Chanjeni mbuga kiasi cha kutosha
 
Muhimu chanjo kama umechnjwa hayo mambo ya cheti ACHANA NAYO maadam DAWA imekuingia sawasawa.

Zingatia kuuliza ile chanjo ya pili itaingia lini? Isije kuwa batch hii, zingine ikawa kusuasua.
Mi nimechanja single kick
 
... mkuu nenda kachanje; afya ni yako! Ukiyasikiliza hayo mataahira yasiyojua hata "test tube" inafananaje utapotea.
Kwahiyo kukataa kuchanja ni utaahira?! Achs dharau zako bibie kila mmoja anajua anachokufanya, unataka kusema kujua test tube ndy uende kuchanja?? Come on usiingilie Maisha ya watu mrembo
 
Mimi nimepata meseji kwenye simu yangu kwamba nimechanja wakati sijaenda! Hii imekaaje?
 
Back
Top Bottom