Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazee hujui ni kwa nini watu wanachanja? Just arrived from the Mars? Welcome to the world!Hayo machanjo yanakusaidia nini?
Mkuu hata mimi cheti ntapata bila kuchanjaUkipata cheti bila kuchanja ndiyo ujanja? Unamdanganya nani?
Didn't you hear me? I said welcome to the world!NAKUULIZA TENA: Hayo machanjo yanakusaidia nini?
Kichanjwa bila kupata cheti itakupa shida mbele ya safari kama wewe ni mtu wa kusafiri nje ya nchi, hakikisha unapata chetiLeo nimechanjwa katika mji mmojawapo wa wilaya. Nilifanya booking online na tarehe yangu niliyochagua ilikuwa jana bahati mbaya jana hawakufungua. Nilichokiona ni:
- Pamoja na kueleza kuwa nilikuwa na booking online lakini hiyo haikuwa na uzito ila nilipewa fomu ya kujaza.
- Mtumishi alikuwa mmoja huku akifanya kazi ya usajili na kuchanja na kuna wakati alizidiwa.
- Makundi maalum ya watu walioainishwa katika awamu hii hayajawa wazi sana kwani nimeshuhuida mtu wa umri chini ya 40 na ambaye hana ugonjwa wowote akiomba achanjwe (Picha za Jokate zimevuruga mambo)
- Hapakuwa na faragha na kila mtu alikuwa akiulizwa unatumia dawa yoyote au una ugonjwa wowote
- Mwamko ni mkubwa na vituo vya kuchanjia vijipange vizuri.
- Pamoja na kuchanja lakini sina kitambulisho chochote kuthibitisha kuwa nimechanja
- Kwa kuwa vitambulisho vya uraia na liseni za udereva zinatumika ingefaa pawe na app ambayo ingerahisisha kwani kwa ujazaji ule nina mashaka kuwa makosa yatakuwa mengi na data entry itakuwa na shida.
Siku ukichanja useme na usije kusema ulikua sijui China maana bila chanjo utakusikia tuu huko kote..Sichanji
Mr kuna kikadi kidogo cha njano huwa yule aliyekuchanja anajaza alafu unaondoka nacho, wewe hichi hukupewa?Pamoja na kuchanja lakini sina kitambulisho chochote kuthibitisha kuwa nimechanja
Chanjeni mbuga kiasi cha kutoshaLeo nimechanjwa katika mji mmojawapo wa wilaya. Nilifanya booking online na tarehe yangu niliyochagua ilikuwa jana bahati mbaya jana hawakufungua. Nilichokiona ni:
- Pamoja na kueleza kuwa nilikuwa na booking online lakini hiyo haikuwa na uzito ila nilipewa fomu ya kujaza.
- Mtumishi alikuwa mmoja huku akifanya kazi ya usajili na kuchanja na kuna wakati alizidiwa.
- Makundi maalum ya watu walioainishwa katika awamu hii hayajawa wazi sana kwani nimeshuhuida mtu wa umri chini ya 40 na ambaye hana ugonjwa wowote akiomba achanjwe (Picha za Jokate zimevuruga mambo)
- Hapakuwa na faragha na kila mtu alikuwa akiulizwa unatumia dawa yoyote au una ugonjwa wowote
- Mwamko ni mkubwa na vituo vya kuchanjia vijipange vizuri.
- Pamoja na kuchanja lakini sina kitambulisho chochote kuthibitisha kuwa nimechanja
- Kwa kuwa vitambulisho vya uraia na liseni za udereva zinatumika ingefaa pawe na app ambayo ingerahisisha kwani kwa ujazaji ule nina mashaka kuwa makosa yatakuwa mengi na data entry itakuwa na shida.
[emoji23][emoji23] wanisamehe tu kwa hili..Madalali wa chanjo wanajaribu kutupia nyavu ili maboya wanase
Kwahiyo kukataa kuchanja ni utaahira?! Achs dharau zako bibie kila mmoja anajua anachokufanya, unataka kusema kujua test tube ndy uende kuchanja?? Come on usiingilie Maisha ya watu mrembo... mkuu nenda kachanje; afya ni yako! Ukiyasikiliza hayo mataahira yasiyojua hata "test tube" inafananaje utapotea.
Hahahaha unaua mkuuNyie chanjeni, sisi tuliogoma kuchanja tutashapata hivyo vyeti ambavyo nyie hamjapewa...