Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Umeona eehMadalali wa chanjo wanajaribu kutupia nyavu ili maboya wanase
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eehMadalali wa chanjo wanajaribu kutupia nyavu ili maboya wanase
Hii vijana wa siku hizi mnaita BOTH TEAM TO SCORE [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi nimepata meseji kwenye simu yangu kwamba nimechanja wakati sijaenda! Hii imekaaje?
Ww ndio basi tena tushakupotezaLeo nimechanjwa katika mji mmojawapo wa wilaya. Nilifanya booking online na tarehe yangu niliyochagua ilikuwa jana bahati mbaya jana hawakufungua. Nilichokiona ni:
- Pamoja na kueleza kuwa nilikuwa na booking online lakini hiyo haikuwa na uzito ila nilipewa fomu ya kujaza.
- Mtumishi alikuwa mmoja huku akifanya kazi ya usajili na kuchanja na kuna wakati alizidiwa.
- Makundi maalum ya watu walioainishwa katika awamu hii hayajawa wazi sana kwani nimeshuhuida mtu wa umri chini ya 40 na ambaye hana ugonjwa wowote akiomba achanjwe (Picha za Jokate zimevuruga mambo)
- Hapakuwa na faragha na kila mtu alikuwa akiulizwa unatumia dawa yoyote au una ugonjwa wowote
- Mwamko ni mkubwa na vituo vya kuchanjia vijipange vizuri.
- Pamoja na kuchanja lakini sina kitambulisho chochote kuthibitisha kuwa nimechanja
- Kwa kuwa vitambulisho vya uraia na liseni za udereva zinatumika ingefaa pawe na app ambayo ingerahisisha kwani kwa ujazaji ule nina mashaka kuwa makosa yatakuwa mengi na data entry itakuwa na shida.
Ona jinga hili
I said welcome to the world!
Ona jinga hili!
Watu si wanatafutia umaarufu kwa migongo ya watu. Na namuombea mama hasimguse kabisa ampuzie kabisa, ili aibu ibaki kwake mwenyewe. Eti nae mchungaji! Hovyo sana.hongera mkuu, ngoja tuone misukule ya kawe itakaa na msimamo mpaka lini
Usalama gani tena mkuu? ukitaja utakuwa umerahisisha hayo mapungufu yatarekebishwaKwa sababu za kiusalama sitaitaja wilaya