#COVID19 Mambo niliyoyaona baada ya kupata chanjo leo

Ww ndio basi tena tushakupoteza
 
hongera mkuu, ngoja tuone misukule ya kawe itakaa na msimamo mpaka lini
Watu si wanatafutia umaarufu kwa migongo ya watu. Na namuombea mama hasimguse kabisa ampuzie kabisa, ili aibu ibaki kwake mwenyewe. Eti nae mchungaji! Hovyo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…