Mambo saba ya kufahamu kuhusu jua

Mkuu muelezee maeneo ambayo serikali haziruhusu kusogea maana ni extension ya nje ya raman ya dunia .yaan sawa na useme zanzibar ni duara ila serikali hairuhusu yeyote kusafir nje ya km 10 za bahari
chief hdbu tupe nondo za hiyo kitu
 
I agree with you 100%. What you see is what you get. Wanasema mwezi ni kama plasma..
Ukicheki theory ya van Allen belt. Utajua moon landing ilikua fake. Walifanya area 51.
 
 
Ila nikusahihishe Galaxy siyo asteroid,..Galaxy nikubwa kuliko hata jua.,..Yaani Galaxy moja inauwezo ikabeba hata viJUA milioni hadi billion
 
Lazima iwe hivyo kwenye chungwa coz kutakuwa na kitu kama bermudar iwe nchi kavu au majini lakini kwenye kitovu cha chungwa ni ngumu kupitika kutokana huo mzunguko ni sehemu isiyoendeka lazima watu waikwepe tu na kwa maelezo hayo yako naanza kuamini haya mambo ni kweli

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
I agree with you 100%. What you see is what you get. Wanasema mwezi ni kama plasma..
Ukicheki theory ya van Allen belt. Utajua moon landing ilikua fake. Walifanya area 51.
Mbona walishaprove hii kwamba inawezekana kabisa kuivuka hiyo belt ya mionzi hatari
 
Nilimuelewa mtoa mada lakini wewe nimeshindwa kabisa kukuelewa, unazungumzia theory au uhalisia kwamba jua litafikia ukomo? Kama ni kweli jaribu kufafanua huo utafiti uliufanyaje mpaka kufikia hitimisho kwamba jua litafika mwisho.
 
Watu wengi hawafahamu lakini jua linamove pamoja na sayari zote across the galaxy.
Duh! Brain zingine huwezi kuziita ni za kijinga, bali ni za kipumbavu ambazo hazistahili hata kujiongesha mbele za watu kwa kuandika chochote. Huyu mpuuzi eti anachangia mada nzito kwa utafiti aliofanya kwa kutumia macho yake bila msaada wowote. Huyu mjinga akiingia kwenye gari akiona miti inatembea atasema gar limesimama isipokuwa miti ndiyo inayotenbea
 
Here's the quote you wanted. I hope you happy now.
 
Twende kazi twende kazi... Enhe
 
Shida ya nyie mnaobishana na Science(kweli) hamleti majibu yenu nyie ni kupinga tu.
Kizuri zaidi kuwa dunia inazungushwa pande na kona zote. Nguvu ya msukumo ni moja na ina push sehemu zote kwa wakati mmoja
Majibu yake (sio hitimisho) hujayaona kweli?
 
duuuuuh plasma tena
Mheshimiwa mwezi ni daktari kama dunia hii inayoishi juu yake. Ni daktari ndogo inayozunguka daktari kubwa. Ni mtoto wa dunia yaani anaifuta dunia. Ni 'jiwe' kama mawe mengine. Hivi tunavyoongea kuna sample kutoka mwezini ziko dunia ambazo zimechukuliwa kutoka mwezini. Siku zote ukipewa taarifa ya ujuzi fulani jiulize swali moja tu: Huyo anayekueleza habari hiyo yeye ana ujuzi wa kuaminika kiasi gani? (Authority) Mambo mengine ni wajinga wametoa maoni yao tu, hawana wanachojua.
 
Kwanini kyela linapiga sana harafu hapo tukuyu linazingua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…