Mambo sita ambayo mwanaume yeyote anapaswa kuyasoma

Jambo la saba: Usioe wala usiishi na mwanamke kinyumba!
 
Dah Sema mwanangu nawakosa watoto wazuri aseeh
Boss iko hivi kama unawataka watoto wazuri kwa ajili ya good time jipaishe 😂😂

Ika kama unataka wa kuishi kwa shida na raha ni stahili nzur kwa maoni yangu
 
Sawa baba ottoman
 
Boss iko hivi kama unawataka watoto wazuri kwa ajili ya good time jipaishe 😂😂

Ika kama unataka wa kuishi kwa shida na raha ni stahili nzur kwa maoni yangu
Mzee baba kwa malengo niliyonayo afu nyuma Nina familia ya watu 5 nashindwa sipo radhi kufurahisha mwanamke afu familia(mzazi na wadogo zangu ) ilale njaa
 
Umeeleweka bro.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…