Mambo tuliokua tunadanywa/kudhania kipindi cha utoto!

Mambo tuliokua tunadanywa/kudhania kipindi cha utoto!

Ukinyooshea kaburi kidole ni lazima uking'ate la sivyo ziwa la mama yako linafanya nini? Malizieni kwa pamoja

Ukimkata mjusi mkia na mkia ukawa unatatarika sharti utamke "mwenyewe mwenyewe mwenyewe" kwa spid ya kuendana na mkia unavyotatarika mpaka utakapotulia kwakua ule mkia unakua unakufanya nini? Malizieni kwa pamoja

Ukifanya kosa na ukataka lisahaulike vidole unavifanya nini? Malizieni kwa pamoja
Mimi nakumbuka walikua wakisema ukinyoshea kaburi kidole,kidole kinapinda hivyo tulikua tunakunja ngumi ndo tunanyooshea makaburii kumuelekeza MTU!
 
Hahahaha umenikumbusha neno spesheli
Mama angu aliniambia mdogo wangu walimuokota pembezoni mwa bahari..kuna siku mdogo angu alininyea kwenye spesheli langu..nikaanza kumlilia Mama twende pembezoni mwa bahari tumrudishe Yule mdogo wangu ..tukamuokote mwingine..[emoji23][emoji23] utoto bwana
 
Mimi nilikua nawaza kama nitaweza kuendesha gari huku nikiwa naongea[emoji23][emoji23]
 
Mimi nilikua nawaza kama nitaweza kuendesha gari huku nikiwa naongea[emoji23][emoji23]
Hahaha kwahio ulihisi gariii ni kitu gani katika zile imaginations zako ?
 
Hiyo ya kununua watoto karibu kila mtu alidanganywa
Sisi tuliambiwa uking'oa jino wakati wa kutupa ni lazima utamke maneno la sivyo halioti
Nywele ni lazima utupe chooni ukitupa ovyo hazioti
Hahahaaa.....umenikumbusha mbali....nling'oa jino asubuh shulen nikaliweka mkononi had nliporud hom ili tu nkalitupe juu bati.....eti la sivyo halioti!
 
Hahaha utoto bhn anyway wazee wa zamani kwa zle mbinu zao za kuwafunza watoto zilikua konkii sna tofauti na sasa hiv
Hahahaaa.....umenikumbusha mbali....nling'oa jino asubuh shulen nikaliweka mkononi had nliporud hom ili tu nkalitupe juu bati.....eti la sivyo halioti!
 
Back
Top Bottom